Najuta kujirahisisha kwa jimama la benki kuu

Hapa kazini tumeshamjua na wamem foward dia ujumbe wako. Umeshaharibu kazi kijana, jiandae kisaikolojia huna wiki moja mbele kimeshaota nyasi
Benki kuu ni taasisi kubwa haina watu wajinga kama wewe. Hamna mtu ametajwa kwa jina wala wajihi, pia hii taarifa haijathibitishwa kama ni ya kweli au changamsha genge.

Grow up muzi a.k.a vuzi
 
Malengo YAKO ni yapi kwa miaka yote uliyoishi apooo,,,,huna ndugu wa karibu,,,huyo mama hana mme.....tupe majawabu hapa tuone
Kwa sasa malengo yangu ni kufunga naye ndoa, nimpe sumu nirithi mali zake.

Ndugu yangu wa karibu ndio huyuhuyu mama maana ndugu walipoona niko na mama over age, wakafuta undugu.
 
Vijana wengi hufa mapema au kuharibu future yao kwa tamaa za kupenda majimama yenye kazi kubwa. Hapo hujampenda huyo mama bali umeipenda kazi yake. Mpende mtu akiwa katika uasili wake na sii kwa kazi
 
Vijana wengi hufa mapema au kuharibu future yao kwa tamaa za kupenda majimama yenye kazi kubwa. Hapo hujampenda huyo mama bali umeipenda kazi yake. Mpende mtu akiwa katika uasili wake na sii kwa kazi
Nampendaaaa usinifundishe maisha
 
😂😂😂 Mkuu hizi ni chai, don't take it seriously
 
Huyo jimama nae ni binadamu jaman, anastahili raha kama wengine. Muoe kabs iwe imetoka hiyo. Maisha yenyewe ndo haya magumu hivi!!
 
Unakula chips mayai za dar halafu unakimbilia mechi nzito. Utakufa!
 
Poleee!! Chukua hatuaaa sasa au unawaza maishaa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…