Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Demu wangu hakuwa hata anajua kama duniani kuna jukwaa la JF,

Nikamshawishi ajiunge na akajiunga, tokea ajiunge wanajukwaa wengi wa kiume wamekuwa wakimsumbua sana kwa pm, wakipiga mistari,

Wengine wamefikia hatua hadi ya kumtumia namba za simu, nikitembelea profile yake nakuta vistors kibao wa kiume.

Kama mnavyojua miluzi mingi humpoteza mbwa, ninahofu anaweza nipotea kwa mtindo huu, kinachonitisha zaidi niliamua kutengeneza ID asiyoijua nami nikaanza kumtongoza, kanitumia namba yake na ninachat naye sana na ameshaonesha dalili zote za kunikubali, mtihani ni kuonana naye, naogopa kuweka appointment halafu kweli atokee, nitazimia.

Mpango mzima kama vipi ufe tu! Au kama unajiweza tafta bas...a akitokea kweli unammaliza!
 
Demu wangu hakuwa hata anajua kama duniani kuna jukwaa la JF,

Nikamshawishi ajiunge na akajiunga, tokea ajiunge wanajukwaa wengi wa kiume wamekuwa wakimsumbua sana kwa pm, wakipiga mistari,

Wengine wamefikia hatua hadi ya kumtumia namba za simu, nikitembelea profile yake nakuta vistors kibao wa kiume.

Kama mnavyojua miluzi mingi humpoteza mbwa, ninahofu anaweza nipotea kwa mtindo huu, kinachonitisha zaidi niliamua kutengeneza ID asiyoijua nami nikaanza kumtongoza, kanitumia namba yake na ninachat naye sana na ameshaonesha dalili zote za kunikubali, mtihani ni kuonana naye, naogopa kuweka appointment halafu kweli atokee, nitazimia.
Cheki sasa umewashtua wengi waliokuwa wakichati....! Kila mmoja sasa anahofia kukubali akihofia huenda sio mgeni...!
 
niupe mimi hiyo akaunti nyako mpya, halafu nikutane nae. acha uboya wewe nani kakwambia uwe na password ya mchumba wako, unatafuta kufa mapema bure kwa presha, mwanamke kutongozwa ni kawaida, kukubali ni msimamo wake, ila wewe unaweza msababishia akakubali kwa matendo yako mabovu.
 
Naomba ucheki kwenye pm za demu wako kama jamaa yangu nae katongoza...si unajua id yake!!!
 
Kwa hiyo unatuambia kwamba demu wako kiruka njia ama?
 
Back
Top Bottom