Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Unaogopa mtu kulia?
Shida sio wanangu ni watoto wa dada wasije wakasema nawanyanyasa. Hii shida wazazi wao ndio wameikuza huwa hawawakatazi watoto wao hata wakizingua sasa mimi nikiwaletea ngumu naona maneno yataanza ndio sababu huwa nawaacha tu wakimaliza likizo wanasepa kwao.
 
Kawa kama zombi

Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu sebleni.

Sasa Kuna ndugu yangu huyu kamaliza form 4 mwaka jana anaenda kuanza chuo mwezi huu alikuja kunisalimia mwezi wa 7 hivi, aliiona hio ps na akaanza kuitumia, ilibidi akae siku 4 lakini game lilimnogea alikaa wiki, anavyoondoka aliniomba sana nimpe mashine, nikampa ila nikamwambia aitunze atairudisha akienda chuo.

Mwezi uliopita nimepigiwa simu na mama yake analalamika nimemuharibu mtoto wake, muda mwingi anacheza ps, kulala saa Saba usiku, kapoteza umakini na kawa kama Teja.

Ilibidi mama yake amnyang'anye hio ps kaifungia sehemu anayoijua yeye kaniambia siku nikiihitaji atanisafirishia.

Baada ya kufungiwa hio ps dogo akaanza kwenda kucheza kwa rafiki zake wenye ps, muda ambao marafiki zake hawapo kaanza kwenda kwenye frem za mtaani wanazochezesha ps kwa hela.

Sasa huku kwenye frem wanazochezesha ps huwa wanalipia pesa kwahiyo dogo kaanza kuiba Hela nyumbani Ili aende kucheza, kukiwa hakuna pesa anaweza kuuza vitu vidogo vidogo, baba yake alipogundua alimtembezea kipigo cha haja lakini bado hasikii.
Yeah umeshaharibu kijana wa watu.
 
Kawa kama zombi

Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu sebleni.

Sasa Kuna ndugu yangu huyu kamaliza form 4 mwaka jana anaenda kuanza chuo mwezi huu alikuja kunisalimia mwezi wa 7 hivi, aliiona hio ps na akaanza kuitumia, ilibidi akae siku 4 lakini game lilimnogea alikaa wiki, anavyoondoka aliniomba sana nimpe mashine, nikampa ila nikamwambia aitunze atairudisha akienda chuo.

Mwezi uliopita nimepigiwa simu na mama yake analalamika nimemuharibu mtoto wake, muda mwingi anacheza ps, kulala saa Saba usiku, kapoteza umakini na kawa kama Teja.

Ilibidi mama yake amnyang'anye hio ps kaifungia sehemu anayoijua yeye kaniambia siku nikiihitaji atanisafirishia.

Baada ya kufungiwa hio ps dogo akaanza kwenda kucheza kwa rafiki zake wenye ps, muda ambao marafiki zake hawapo kaanza kwenda kwenye frem za mtaani wanazochezesha ps kwa hela.

Sasa huku kwenye frem wanazochezesha ps huwa wanalipia pesa kwahiyo dogo kaanza kuiba Hela nyumbani Ili aende kucheza, kukiwa hakuna pesa anaweza kuuza vitu vidogo vidogo, baba yake alipogundua alimtembezea kipigo cha haja lakini bado hasikii.
Mimi nashangaa sijawahi kuvutiwa na huo mchezo kabisa wakati watu niliokuwa nao walipenda sana mchezo huo, huo na pool table, na yote sijui kucheza

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Shida sio wanangu ni watoto wa dada wasije wakasema nawanyanyasa. Hii shida wazazi wao ndio wameikuza huwa hawawakatazi watoto wao hata wakizingua sasa mimi nikiwaletea ngumu naona maneno yataanza ndio sababu huwa nawaacha tu wakimaliza likizo wanasepa kwao.
Aiseee pole
 
Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
Hahaha
 
Vijana wa KiChina walikuwa addicted na hii kitu mpaka Serikali ikaingilia kati
Tuache utani mkuu, PS ni kitu kingine. Utaichukulia simple endapo tu Games ambazo unazo umewahi kuzicheza na hakuna kitu ila ndo nacheza FIFA master league au Call of Duty hivi mwendo wa mission ni hatari ile game.
 
haya mambo ya kulea watoto kimayai ndio mwisho wa siku tunazalisha watoto mabwabwa. yani hadi toto linashinda kutwa kwenye ps naww upo hapo?
 
Mkuu ni freemason na agenda zao za siri. Walianzisha haya magemu kimaksudi tu. Haya ma whatsapp TikTok, fb, tinder l, mastercard, visa, visa electron, fifa, worldcup, epl, dstv, KFC, McDonald's, Netflix, western union etc ni wao. Yani freemason wanavuruga sana akili za madogo. Haya magemu ya ps Smart911 anayajulia sana.
Sasa Macdonald na KFC zimefata Nini kwenye freemason🤣🤣🤣 mkuu umekula lakini? Usikute ni njaa inakupelekesha?
 
Kawa kama zombi

Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu sebleni.

Sasa Kuna ndugu yangu huyu kamaliza form 4 mwaka jana anaenda kuanza chuo mwezi huu alikuja kunisalimia mwezi wa 7 hivi, aliiona hio ps na akaanza kuitumia, ilibidi akae siku 4 lakini game lilimnogea alikaa wiki, anavyoondoka aliniomba sana nimpe mashine, nikampa ila nikamwambia aitunze atairudisha akienda chuo.

Mwezi uliopita nimepigiwa simu na mama yake analalamika nimemuharibu mtoto wake, muda mwingi anacheza ps, kulala saa Saba usiku, kapoteza umakini na kawa kama Teja.

Ilibidi mama yake amnyang'anye hio ps kaifungia sehemu anayoijua yeye kaniambia siku nikiihitaji atanisafirishia.

Baada ya kufungiwa hio ps dogo akaanza kwenda kucheza kwa rafiki zake wenye ps, muda ambao marafiki zake hawapo kaanza kwenda kwenye frem za mtaani wanazochezesha ps kwa hela.

Sasa huku kwenye frem wanazochezesha ps huwa wanalipia pesa kwahiyo dogo kaanza kuiba Hela nyumbani Ili aende kucheza, kukiwa hakuna pesa anaweza kuuza vitu vidogo vidogo, baba yake alipogundua alimtembezea kipigo cha haja lakini bado hasikii.
Hiki kitu ni very addictive,sema tu ninyi watu mpo very ignorant of Satan's schemes.Unfortunately you have been duped into believing that it is development,it is not.Halafu mkiambiwa ukweli you rush into saying,that is conspiracy theory." Ngoja tuwaache mzidi kuharibikiwa.
 
Back
Top Bottom