Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Upo sahihi rafiki. Ninachowaza unahisi nini kifanyike kupunguza huu uraibu maana hali inazidi kuwa mbaya
Kwa watoto wadogo ni rahisi sana kuwalinda wasipate urahibu ingawaje pia inahitaji nguvu za pamoja za jamii!!

Kama una watoto wadogo, na mwenyewe sio mpenzi wa games, basi huna haja ya kununua hizo PS... what for?! Alternatively, unaweza kuwapangia ratiba kama unavyoweza kuwapangia ratiba ya kuangalia TVs.

Lakini kama nilivyosema, pia inahitaji nguvu za pamoja za jamii! Huwa nashangaa sana unaenda mahali unakuta Game Center na ndani wamejaa watoto kibao... tena wakati mwingine wakati wa shule!

Yaani hadi huwa najiuliza akili za wanaoendesha hizi game centers! Na zingine zipo kwenye makazi ya watu na raia wanaziangalia tu!

So, hapo home unaweza kuwadhibiti lakini unashangaa wakitoka shule wanachelewa kufika home kumbe wamepitia game center! Unajua mtoto akishakuwa addicted, utampa pesa ya kula shule lakini akaibana ili aitumie kwenye kucheki game!

Ningekuwa na watoto, nisingewazuia moja kwa moja bali ningewatafutia zile games zinazoaminika ku-boost uwezo wa kufikiri. Ukiwazuia moja kwa moja, kwa dunia ya leo lazima watatafuta alternatives... kama sio home kwa wenzao basi Game Centers!
 
TUNAFIKA ULIPO KWA DAR 0710701361 📞
FIFA 23 LA PS4 LIPO🔥🔥🔥
PES 23 LA PS4 LIPO🔥🔥🔥
PES 23 LA PS3 LIPO🔥🔥🔥
Pia tunaweka games nyingine kali kwenye PSP, PS2, PS3, PS4 pamoja na PC.
KWA PS4 NI 15000 KWA GAME KWA MASHINE ZILIZOCHIPIWA TU.
KWA PS3 NI 5000 KWA GAME, GAMES KUANZIA TANO KUNA OFA.
KWA PS2 NI 2000 KWA GAME KUANZIA TANO KUNA OFA PIA.
KWA GAMES ZA PC NI 5000 TU.
KWA GAMES ZA PSP KUWEKEWA KWENYE SIMU NI 1500 TU.
PIA TUNAFANYA WINDOWS INSTALLATION KWA BEI POA KABISA NA KUWEKA MOVIES NA SERIES KALI.
TUNAFIKA POPOTE ULIPO HASA KWA DAR.
Kwa mawasiliano zaidi 0710701361.
Instagram www.instagram.com/skygames_arena
 
TUNAFIKA ULIPO KWA DAR 0710701361 📞
FIFA 23 LA PS4 LIPO🔥🔥🔥
PES 23 LA PS4 LIPO🔥🔥🔥
PES 23 LA PS3 LIPO🔥🔥🔥
Pia tunaweka games nyingine kali kwenye PSP, PS2, PS3, PS4 pamoja na PC.
KWA PS4 NI 15000 KWA GAME KWA MASHINE ZILIZOCHIPIWA TU.
KWA PS3 NI 5000 KWA GAME, GAMES KUANZIA TANO KUNA OFA.
KWA PS2 NI 2000 KWA GAME KUANZIA TANO KUNA OFA PIA.
KWA GAMES ZA PC NI 5000 TU.
KWA GAMES ZA PSP KUWEKEWA KWENYE SIMU NI 1500 TU.
PIA TUNAFANYA WINDOWS INSTALLATION KWA BEI POA KABISA NA KUWEKA MOVIES NA SERIES KALI.
TUNAFIKA POPOTE ULIPO HASA KWA DAR.
Kwa mawasiliano zaidi 0710701361.
Instagram www.instagram.com/skygames_arena
Good move
 
Kukaba unataka au kucheza

Kukaba mm natumia tactical defending hii ni full control of your defender

Button unazotumia sana ni direction na box hutumii X kukaba katika hili jifunze sana

Then kupiga pass kuna vi technic kuna Triangle +L2 +R2 izo unapigia Kwa pass za kila aina kuna izo unashika na chop hapo ni kwa pass za mwisho sana sana lazima imkute striker unaua tu easy na shoot

Kama unapenda ku posses utachelewa mzee kuna mi pass ya X +R2 iyo inakuwa kama umepiga 0 inayotambaa


Lazima pia ujue vi skills kidogo vya kumtoka beki

Yangu napendelea sana ball rolling + ile zizou

Mm nina chenga bili na bila kusahau BOX+X

somo ni lefu boss
tactical defending ndo mwake defender anamfata opponent man to man ila sio ile legacy anakaba njia...

Na kuna zile pasi za R1+O naiona kama advanced TRIANGLE PASS
 
Mimi nina mpango wa kuinunua[emoji849] kwenye hii dunia kila kitu lazima ukijaribu ili ujionee mwenyewe utamu wake, kuna mda usiku nakosa usingizi, sasa nitakuwa nafanya ibada usiku na baada ya hapo nacheza game hadi nitakapo kuwa nahisi usingiz.

Kiukweli huwa naisikia tu kwa watu ila mm sijawahi icheza,kwa kuwa nina screen chumban nitacheza mwenyewe, watoto hilo si lao

Nitashangaa kama na mm nitakuwa addicted nalo
😂😂😂😂😀Unachanganya Ps na maombi wakati jamaa mmoja juu apo amesema ni mambo ya freemasons
 
There is any connections between Ps and Evil.
Did you want to ask the question "is there any connection between a Play Station and evil?If that is your question,the answer is yes!You see the Devil always wants to steel an individual's money and time and so disconnect the individual from God by not having time with Him through reading His Word and in prayer.

You will appreciate that once one is hooked to a PS, he/she won't have time with God,even if he/she once had a good relationship with Him.Once the Devil has done that, he has created a bridge to attack the individual, so he will sneak in other sins or forms of immorality which will lead to complete destruction and even death of an individual.We therefore have to be smart and deny the Devil access to our lives in any way or form.
 
Did you want to ask the question "is there any connection between a Play Station and evil?If that is your question,the answer is yes!You see the Devil always wants to steel an individual's money and time and so disconnect the individual from God by not having time with Him through reading His Word and in prayer.

You will appreciate that once one is hooked to a PS, he/she won't have time with God,even if he/she once had a good relationship with Him.Once the Devil has done that, he has created a bridge to attack the individual, so he will sneak in other sins or forms of immorality which will lead to complete destruction and even death of an individual.We therefore have to be smart and deny the Devil access to our lives in any way or form.
Kama ni pesa PS inasave sana fedha.
Kama ni akili ni mazoezi mazuri sana ya akili.

Kama ni kukuweka mbali na Mungu basi siyo katika PS coz PS ni computer special for game.
 
Kuna ticha mmoja alinunua kipindi hicho nimepanga next kwake..kila nikipita naona viatu, sendo na raba kama msikitini yaani karibu walimu wote walikuwa addicted mpaka saa saba usiku nasikia kelele na walikuwa wanakula mikate sana nahisi walimix na kamari maana sio kwa addication ile..nusura shule ifungwe ilibidi uongozi uingilie kati
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kawa kama zombi

Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu sebleni.

Sasa Kuna ndugu yangu huyu kamaliza form 4 mwaka jana anaenda kuanza chuo mwezi huu alikuja kunisalimia mwezi wa 7 hivi, aliiona hio ps na akaanza kuitumia, ilibidi akae siku 4 lakini game lilimnogea alikaa wiki, anavyoondoka aliniomba sana nimpe mashine, nikampa ila nikamwambia aitunze atairudisha akienda chuo.

Mwezi uliopita nimepigiwa simu na mama yake analalamika nimemuharibu mtoto wake, muda mwingi anacheza ps, kulala saa Saba usiku, kapoteza umakini na kawa kama Teja.

Ilibidi mama yake amnyang'anye hio ps kaifungia sehemu anayoijua yeye kaniambia siku nikiihitaji atanisafirishia.

Baada ya kufungiwa hio ps dogo akaanza kwenda kucheza kwa rafiki zake wenye ps, muda ambao marafiki zake hawapo kaanza kwenda kwenye frem za mtaani wanazochezesha ps kwa hela.

Sasa huku kwenye frem wanazochezesha ps huwa wanalipia pesa kwahiyo dogo kaanza kuiba Hela nyumbani Ili aende kucheza, kukiwa hakuna pesa anaweza kuuza vitu vidogo vidogo, baba yake alipogundua alimtembezea kipigo cha haja lakini bado hasikii.
Duuuuh
 
Kwanza nimepata wazo,

Ngoja nifanye mpango nirud kwenye magame maana Hizi mbususu Sasa zitakuja kunitoa roho.

Mwenye game za mpira aje pm tufanye biashara
Fundi nguo na mama j unataka uwamwage[emoji23]
 
Kama ni pesa PS inasave sana fedha.
Kama ni akili ni mazoezi mazuri sana ya akili.

Kama ni kukuweka mbali na Mungu basi siyo katika PS coz PS ni computer special for game.
Nilikuwa tu najaribu kukusaidia,ila kama umeamua kushupaza shingo sawa,kwa heri.Ila naomba ukumbuke kwamba mwisho wa kushupaza shingo ni kuvunjika shingo.Nimenawa mikono,damu yako sidaiwi.
 
Nakumbuka kipindi nipo chuo tulikuwa tunapiga mpaka saa tisa usiku ndio naenda kulala. Usifanye mchezo na addiction yake kuna jamaa alifuatwa na demu wake akamjibu anampotezea muda haoni yupo kwenye ligi.

Daah nakumbuka ile kauli ilimuuma sana demu sababu ilikuwa mbele yetu baada ya game kuisha jamaa akawa na kazi ya kubembeleza.
 
Nilikuwa tu najaribu kukusaidia,ila kama umeamua kushupaza shingo sawa.Naomba ukumbuke kwamba mwisho wa kushupaza shingo ni kuvunjika.Nimenawa mikono,damu yako sidaiwi.
Mkuu vipi kuhusu pombe a.k.a Beer a.k.a Gambe nayo imeletwa na Freemason?
 
Mkuu vipi kuhusu pombe a.k.a Beer a.k.a Gambe nayo imeletwa na Freemason?
Mkuu minions wa Shetani ni wengi,sio Freemasons tu.Ninaloweza kusema for certain ni kwamba Shetani ndiye mastermind wa ulevi.Kamtumia nani kuleta tabia ya ulevi sina hakika,maana watengeneza pombe ni wengi na wapo spread across the whole underground society spectrum.
 
Back
Top Bottom