Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Naona haya yana uraibu mbaya nafuu ya kubeti. Naonaga sehemu fulani kinondoni sura fulani kila siku.
Bora sisi tunaobeti, siku nyingine tunapata chochote kitu. Pia tukiona mechi hazieleweki hatubeti.
Boss ata izo kuna kamali kama unaweza kuna looser nje hela hela wewe na ubongo wako kuna watu per day anaweza ingiza ata 30 kwa kamari
 
Huko kwenye hizo Ps kuna game zipi hasa ukiondoa fifa..mana wengine mpira ushatupitia kushoto.
Na kila nikienda kwenye ps wengi hucheza hizo fifa kitu kilichonifanya niondoe interesna Ps.

#MaendeleoHayanaChama
Basketball, Boxing,mieleka , spider na mengine kibao ya mission
 
mtoa mada unajua raha ya kuanza career mode na kijana kutoka academy mdogo mdogo mpaka anakua supastaa wa dunia?? acha kabisa raha ya game [emoji16]
Au uanaanzisha team unakuwa manager unashiriki kunazia championship hadi unaenda premier UEFA mixer kina ngolo kante kustaafu wewe upo tu nilichezaga adi ikafikia mwaka 2050[emoji16]
 
Sasa huku kwenye frem wanazochezesha ps huwa wanalipia pesa kwahiyo dogo kaanza kuiba Hela nyumbani Ili aende kucheza, kukiwa hakuna pesa anaweza kuuza vitu vidogo vidogo, baba yake alipogundua alimtembezea kipigo cha haja lakini bado hasikii.
Wale Old-Timers, sio kwa umri bali old timers kwa haya mambo bado wanaikumbuka Dangerous Dave back in 1990's and early 2000's!!

Wakati ule nilikuwa kijana mdogo, lakini nilikuwa Nusu Zombie Nusu Mtu! Ningeweza kukaa kwenye PC siku mzima, hata kula sili.

Nakumbuka PC yangu ilikuwa na ROM 1GB na RAM 576MB....

Thanks God nikaenda chuo, na karibu mwaka mzima sikuwa na access to PC. Baada ya kuanza kuisahau Dangerous Dave nikaapa kukaa mbali na games za aina yoyote ile manake nafahamu jinsi zilivyo too addictive!!

Leo hii, thanks God... nasikia tu mara Play kufanya nini, mara Play Station... zote hizo sijawahi hata kuzigusa na naziogopa kama ukoma!!

Kama upo poor kwenye time management, video and pc games ni msiba wako! Na ukishakuwa addictive, hakuna cha kuwa poor kwenye time management wala good...

Anyway, naona siku hizi nimeanza taratibu kurudi kwenye huo ufa'la manake simu yangu ina games 200 kidogo, na nimeshaanza uboya kwamba wakati wa kulala LAZIMA nipige round kadhaa za some games!
 
Em tupe techniques mzee...nmechoka kufungwa kila siku
Kukaba unataka au kucheza

Kukaba mm natumia tactical defending hii ni full control of your defender

Button unazotumia sana ni direction na box hutumii X kukaba katika hili jifunze sana

Then kupiga pass kuna vi technic kuna Triangle +L2 +R2 izo unapigia Kwa pass za kila aina kuna izo unashika na chop hapo ni kwa pass za mwisho sana sana lazima imkute striker unaua tu easy na shoot

Kama unapenda ku posses utachelewa mzee kuna mi pass ya X +R2 iyo inakuwa kama umepiga 0 inayotambaa


Lazima pia ujue vi skills kidogo vya kumtoka beki

Yangu napendelea sana ball rolling + ile zizou

Mm nina chenga bili na bila kusahau BOX+X

somo ni lefu boss
 
Kukaba unataka au kucheza

Kukaba mm natumia tactical defending hii ni full control of your defender

Button unazotumia sana ni direction na box hutumii X kukaba katika hili jifunze sana

Then kupiga pass kuna vi technic kuna Triangle +L2 +R2 izo unapigia Kwa pass za kila aina kuna izo unashika na chop hapo ni kwa pass za mwisho sana sana lazima imkute striker unaua tu easy na shoot

Kama unapenda ku posses utachelewa mzee kuna mi pass ya X +R2 iyo inakuwa kama umepiga 0 inayotambaa


Lazima pia ujue vi skills kidogo vya kumtoka beki

Yangu napendelea sana ball rolling + ile zizou

Mm nina chenga bili na bila kusahau BOX+X

somo ni lefu boss
Dah...Inabidi uje uanzishie uzi kabisa
 
Boss ata izo kuna kamali kama unaweza kuna looser nje hela hela wewe na ubongo wako kuna watu per day anaweza ingiza ata 30 kwa kamari
Mimi mwenyewe huwa napiga hizo mpaka 900,000 nilishawahi. But u cant beat a bookie in a row, na huo ndio ugonjwa wa punters wengi. huwezi kumchapa mhindi angalau siku 7 in a row.
 
Mimi nina mpango wa kuinunua[emoji849] kwenye hii dunia kila kitu lazima ukijaribu ili ujionee mwenyewe utamu wake, kuna mda usiku nakosa usingizi, sasa nitakuwa nafanya ibada usiku na baada ya hapo nacheza game hadi nitakapo kuwa nahisi usingiz.

Kiukweli huwa naisikia tu kwa watu ila mm sijawahi icheza,kwa kuwa nina screen chumban nitacheza mwenyewe, watoto hilo si lao

Nitashangaa kama na mm nitakuwa addicted nalo
 
Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka sana
 
acheni mchezo na FIFA nyie mimi nilinunuaga mpaka VR( virtual reality) yale mawani makubwa ya kuvaa utamu wake ni kama vile upo uwanjani unawaangalia live yani uwanja mzima unaona ..nilikuwa kama teja na mimi lakini baada ya kukaa nalo mda mfupi nikaanza kulikinai now nacheza weekend to weekend..
 
Ziko nyingi mkuu ipige screenshot iyo yenyewe sasa
Hii hapa
Screenshot_20221020-104553.jpg
 
Back
Top Bottom