Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Najuta kumpa ndugu yangu PS (playstation), kawa kama Teja

Kuna ticha mmoja alinunua kipindi hicho nimepanga next kwake..kila nikipita naona viatu, sendo na raba kama msikitini yaani karibu walimu wote walikuwa addicted mpaka saa saba usiku nasikia kelele na walikuwa wanakula mikate sana nahisi walimix na kamari maana sio kwa addication ile..nusura shule ifungwe ilibidi uongozi uingilie kati
 
Mkuu ni freemason na agenda zao za siri. Walianzisha haya magemu kimaksudi tu. Haya ma whatsapp TikTok, fb, tinder l, mastercard, visa, visa electron, fifa, worldcup, epl, dstv, KFC, McDonald's, Netflix, western union etc ni wao. Yani freemason wanavuruga sana akili za madogo. Haya magemu ya ps Smart911 anayajulia sana.
Haya mawazo ya Kijinga. Hakuna kitu kisicho kibaya duniani ikiwa kitapitiliza. Kuna watu wanavuta ugolo au bangi mpaka wanakuwa mateja. Utasema freemason? Kuna watu wanapenda ngoma mpaka basi....miaka yetu sisi watoto walikuwa mpaka wanapotea kwa mdundiko wala si freemason. Waswahili mkishindwa kufikiri jibu rahisi ni freemason.
 
Pamoja na kukulia mjini lakini nimeishia kuona bro na dogo wapo busy na hizo mambo, binafsi sijawahi kujihusisha nayo hiyo ps hata kwa nusu dk ni sawa na movies tuu siwezi kukaa na kuangalia kabisa
 
Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
Hawatoki room ni Ronaldooo🤣🤣🤣
 
Akiachiwa acheze Hadi imkinai hapo inategemeana na mtu Sasa, wengine Hadi iwakinai ni Baada ya miaka.

Hili tatizo nimejaribu ku google linaitwa gaming addiction, ni tatizo kubwa sana hili.

Nadhani inabidi dogo apelekwe bush huko hakuna hata UMEME akae miezi 6 hivi
Ukimuachisha chap, atapata matatizo ya akili
 
Kwani haya magame yana raha gani juzi nimeona graduate mmoja katika zawadi alipewa option mbilii achague kati ya iPhone 14 na ps5 aka chagua game dadeki
Simu za wanawake,ps za wajubaa
 
Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom