run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Kuna ticha mmoja alinunua kipindi hicho nimepanga next kwake..kila nikipita naona viatu, sendo na raba kama msikitini yaani karibu walimu wote walikuwa addicted mpaka saa saba usiku nasikia kelele na walikuwa wanakula mikate sana nahisi walimix na kamari maana sio kwa addication ile..nusura shule ifungwe ilibidi uongozi uingilie kati