Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
[emoji1787]Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
Now kuna Call of Duty modern warfare II akina captain price wamerudi tena na Bravo six team.🙌😂😂Umkute sasa mpwayungu village na UMUGHAKA wakicheza assassin Creed utapenda.
Aisee hatari Sana kumbe Kuna uraibu wa haya mavitu itabidi niwapokonyeUnamsikia tu Martin Toiler[emoji23][emoji23]
Nina jamaa wanapenda kinoma kaja getto kaniambia yaani TV kali unakosa PS mwanangu yeye anazo kila version hata hii five anayo tayari.Kwani haya magame yana raha gani juzi nimeona graduate mmoja katika zawadi alipewa option mbilii achague kati ya iPhone 14 na ps5 aka chagua game dadeki
Hata mimi nacheza pia ila sijawahi kuwa addicted.Aisee hatari Sana kumbe Kuna uraibu wa haya mavitu itabidi niwapokonye
[emoji23]🫙Mkuu ni freemason na agenda zao za siri. Walianzisha haya magemu kimaksudi tu. Haya ma whatsapp TikTok, fb, tinder l, mastercard, visa, visa electron, fifa, worldcup, epl, dstv, KFC, McDonald's, Netflix, western union etc ni wao. Yani freemason wanavuruga sana akili za madogo. Haya magemu ya ps Smart911 anayajulia sana.
Bado wanasoma wapo kidato Cha pili suluhu Ni kuipokonya tu Kama ina huo uraibu nitawafanyia shambulio la kushtukiza wakiwa katikati ya mchezoHio mashine uwe unawaachia weekend tu hasa kama bado wanasoma, ikiwakolea inajenga uraibu mkubwa sana,
Mkuu kuhusu lile dundo lako CAG alikuja kulikagua? Nilitaka feedback na Mimi unitolee mojaHata mimi nacheza pia ila sijawahi kuwa addicted.
Matokeo darasani vp?Bado wanasoma wapo kidato Cha pili suluhu Ni kuipokonya tu Kama ina huo uraibu nitawafanyia shambulio la kushtukiza wakiwa katikati ya mchezo
Hapana mkuuMkuu kuhusu lile dundo lako CAG alikuja kulikagua? Nilitaka feedback na Mimi unitolee moja
Matokeo Ni mazuri tu so far, Sasa in a long run isije ps ikawagharimu au niwe nawapa Jumapili tu ndio waitumieMatokeo darasani vp?
Uzuri wa hii ps unaweza kuifanya kama fimbo, wakizingua kitu flan huwachapi wala kuwagombeza, unaxhukua ps unaifungia ndani hata siku 2, wakirudia unaifungia hata wiki.. Ile raha ya kucheza wanapoikosa inakuwa ni adhabu nzito kwao.
Dogo anahitaji tiba ya saikolojia Japan kuna soba houses za waraibu wa social media...Niliwahi kununua playstation Kwa mwanafunzi flan hivi wa chuoni alikuwa anadaiwa ada na hana pesa, aliniuzia hio mashine Kwa laki 3 na nusu, lengo langu lilikuwa niiuze hata kwa laki 5 maana hii mashine inauzwa takribani laki 8 madukani, kazi zilinitinga nikawa nimeiweka tu sebleni.
Sasa Kuna ndugu yangu huyu kamaliza form 4 mwaka jana anaenda kuanza chuo mwezi huu alikuja kunisalimia mwezi wa 7 hivi, aliiona hio ps na akaanza kuitumia, ilibidi akae siku 4 lakini game lilimnogea alikaa wiki, anavyoondoka aliniomba sana nimpe mashine, nikampa ila nikamwambia aitunze atairudisha akienda chuo.
Mwezi uliopita nimepigiwa simu na mama yake analalamika nimemuharibu mtoto wake, muda mwingi anacheza ps, kulala saa Saba usiku, kapoteza umakini na kawa kama Teja .
Ilibidi mama yake amnyang'anye hio ps kaifungia sehemu anayoijua yeye kaniambia siku nikiihitaji atanisafirishia.
Baada ya kufungiwa hio ps dogo akaanza kwenda kucheza kwa rafiki zake wenye ps, mda ambao marafiki zake hawapo kaanza kwenda kwenye frem za mtaani wanazochezesha ps kwa hela
Sasa huku kwenye frem wanazochezesha ps huwa wanalipia pesa kwahio dogo kaanza kuiba Hela nyumbani Ili aende kucheza, kukiwa hakuna pesa anaweza kuuza vitu vidogo vidogo, baba yake alipogundua alimtembezea kipigo cha haja lakini bado hasikii
Kama matokeo mazuri waachie tu watoe ushamba.Matokeo Ni mazuri tu so far, Sasa in a long run isije ps ikawagharimu au niwe nawapa jumapili tu ndio waitumie
[emoji106]Kama matokeo mazuri waachie tu watoe ushamba.
hizi ps huwa Kuna kipindi kinafika zinazoeleka.
Kwa Sasa itumie iwe kama kifaa cha adaabu, unaweza kuwapa kazi flani wasipoifanya unaifungia ps