Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haipo tena mkuu, maana mi mwenyewe jobless.Hyo fursa km bdo ipo si unipe mm mkuu,
Nime amini Hilo mkuu, Sasa hivi namuona Yuko bize kuchambua mpira 🙉Upele humpata aso na kucha
Ila namtafakari sana, aisee, ila ipo siku ata Kumbuka.Unamwacha tu aendelee kupambana kivyake
Usikute yeye alipo anakuona ulijipendekeza au unafatilia maisha yake unavyompigiapigia simu..ubinadamu kazi sana😃😃Ila namtafakari sana, aisee, ila ipo siku ata Kumbuka.
Nime liona pia Hilo🤒, so nime futa namba yake.Usikute yeye alipo anakuona ulijipendekeza au unafatilia maisha yake unavyompigiapigia simu..ubinadamu kazi sana😃😃
Kweli bora ujikalie tu kimya,, akikumbuka atakutafuta mwenyewe asipokumbuka wewe tulia tu ufanye mambo yako ya msingiNime liona pia Hilo🤒, so nime futa namba yake.
👉Acha Ni keep distance, siwezi sumbuka na binadamu mwenye manyoya mwili mzima 😀
Une maanisha nini mkuu🤔Kifo cha nyani miti yote huteleza
Hata aki nikumbuka, sijui Nita zungumza nae nini.Kweli bora ujikalie tu kimya,, akikumbuka atakutafuta mwenyewe asipokumbuka wewe tulia tu ufanye mambo yako ya msingi
Ndo inavyokuaga..hamna namna mwacheni tuHata aki nikumbuka, sijui Nita zungumza nae nini.
👉Kwani tayari kasha muharibia Kaka (y), kaonekana ni mswahili aliye changamka.
Yaani Bora Ange sema sihitaji, ila kakaa kimya aisee🤔.Wanaupuuzi sana....
Mkuu shida kafanya vitu vya kipuuzi Sana, watu wali hitaji mtu katika sehemu fulani.Mpotezee tu nae anajua kosa alilofanya.
Sometimes wanaume huwa hatuaniki matatizo au kushindwa kwetu kwa vitu vidogo vidogo ambavyo wengine huona ni vidogo sana.
Wewe ni rafiki yako bila shaka unamjua zaidi yetu.
Kabaki ana chambua ligi za mpira, Eti Simba Wana hujumiwa😀.Ndo inavyokuaga..hamna namna mwacheni tu
Ujue alipimia aina ya kazi yenyewe akaona ni upuuzi, labda yeye msimi....Yaani Bora Ange sema sihitaji, ila kakaa kimya aisee[emoji848].
[emoji117]Kashindwa hata kuomba radhi au kuonyesha kujutia
Lakini huwezi jua, labda alikosa nauli kweli na bando maana maisha haya watu tunatofautiana uwezo. Pengine pia aliona jau kukwambia umsaidie bando na nauli mngemuona Jau ndomana kaamua kukaa tu kimya maana hana namna😥😥Kabaki ana chambua ligi za mpira, Eti Simba Wana hujukuwa😀.
Bro ndio kasoma na ndo Mana Ali hitajika, yaani kazi ya 400k kai acha kisa ujinga🤔.Ujue alipimia aina ya kazi yenyewe akaona ni upuuzi, labda yeye msimi....