Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Katika watu JF na Melo pengine anawaheshimu kwa kujaza server zake mkuu na wewe umoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muhusika mkuu Ali mpigia, aka mwambia atume wasifu wake (cv).Lakini huwezi jua, labda alikosa nauli kweli na bando maana maisha haya watu tunatofautiana uwezo. Pengine pia aliona jau kukwambia umsaidie bando na nauli mngemuona Jau ndomana kaamua kukaa tu kimya maana hana namna😥😥
Hi naona Kama ni personal attack tu, kwa maana tuna Uhuru wa ku habarika.Katika watu JF na Melo pengine anawaheshimu kwa kujaza server zake mkuu na wewe umoo
Yaani Kashindwa hata kumjulisha Jamaa, angalau aombe radhi aisee.achana nae huyo, hana shida na kazi kwa sababu kama angekwama angeomba msaada kwako kwa ajili ya kumuandalia huo wasifu
Kuna kuishiwa my friend 😃😃, unaamka siku huna dakika wala sms, hata mb na unadaiwa kwenye simu😂😂🤭muhusika mkuu Ali mpigia, aka mwambia atume wasifu wake (cv).
👉Maana swala la nauli sio shida🤒
👉 Halafu cv Ina ukubwa wa kutumia hata mb 20 kweli😀
Hamna kijana..nothing personalHi naona Kama ni personal attack tu, kwa maana tuna Uhuru wa ku habarika.
👉 Infringement of privacy is a criminal offense.
Aikatai madam, hata Mimi napitia hayo.Kuna kuishiwa my friend 😃😃, unaamka siku huna dakika wala sms, hata mb na unadaiwa kwenye simu😂😂🤭
Kaka sema sitaki kumtaja, ila wahusika wapo kabisa.Hamna kijana..nothing personal
Umejqrbu kutafakari in negative way..which is not a bad thingHapa atapigwa mtu
Nimewaza sana nje ya box
Wapo humu?Kaka sema sitaki kumtaja, ila wahusika wapo kabisa.
Ila na yeye alizingua bhana...mnavyosaidianaga wakaka sidhani kama angewastua jamaa zake wangemchomolea..hakutaka tu kaziAikatai madam, hata Mimi napitia hayo.
👉Ila muda wa kuingia ma group ya mpira anayo😀, sio kutuma cv🙉
Yeah mkuu🤒Wapo humu?
Sasa mkuu Kama hutaki, SI una wajulisha wafanye utaratibu mwingine.Sijaona kama umemsaidia.
Au pengine kusaidia ina tafsiri pana sana. Bali ulikuwa na nia ya kumsaidia.
Hata hivyo, hajafanya lolote baya. Mungu ana njia kibao, kazuia mwenzako asipate ili mwingine apate. Hayo ndiyo maisha.
Shukuru Mungu na mengine yaende.
Ngoja ni Mwache aendelee kuwa sifia kina chama na feisaliIla na yeye alizingua bhana...mnavyosaidianaga wakaka sidhani kama angewastua jamaa zake wangemchomolea..hakutaka tu kazi
Halafu mkubwa kabisa 😀🤔Vijana wa jf wachache sana wako makini unaweza shangaa mtu anakuharibia kazi kabisa
sometimes kujuana hum ni hatar sana.Ona sasa unamsagia kunguni mwana.Yeah mkuu🤒
Pole mkuu, ila Jamaa kazingua aisee🙉Na bado hapa atafungua uzi kwa I'd mpya akihitaji msaada, binafsi mimi ni fundi umeme mwenye connection au kwenye utalii mountain guide nipo Kilimanjaro and Meru it's a high season now but things went wrong to me