Najuta kumtia umasikini Mama yangu

Kudadeki,usijiwekee vikwazo kijana kula vitu mura
 
Sasa badala uchangamke wewe unaegemea na kuanza kutype humu .

Hiyo hali ingekuwa inakukera basi usingekuwa bado upo hapo.
 
Sasa badala uchangamke wewe unaegemea na kuanza kutype humu .

Hiyo hali ingekuwa inakukera basi usingekuwa bado upo hapo.
Nichangamkaje sasa. Kama kuhangaika nahangaika lakini Bado maisha yenyewe yanachanganya🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu lakini baba yako mzazi unamjua??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…