Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
 
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Kifupi hujaeleweka mkuu, umeoa au unatarajia kuoa?
 
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Je ni utunzi au habari ya kweli?
Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?
Hiki kitu hakipo.
 
IMG_0526.jpeg
 
Vile ambavyo wewe mapenzi yamekuvuruga basi hata hiki ulichokiandika kinavuruga.
Shida nini kwenye ndoa, mke anachepuka, anakunyima papuchi, au ni gogo kitandani?
 
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Natamani ningekua wewe man!

Chukua mzigo weka ndani,Hadi uje ukubadilikie sio Leo mmeshakaa sana!ninkweli atabadilika lakini itachukua muda!!

Hawa viumbe ni vigumu kuwakwepa japo Wana inflict pain balaa!

Wewe mtumie nauli ishi nae!ndio ukubwa huo!Lea mtoto wako hata mmoja TU!wanaume hatupendwi na ulimwengu kwanini uongeze chuki zaidi Toka Kwa mtoto wako mwenyewe!!?Lea mimba just bet tu!life halieleweki!
 
Siajelewa kabisa asee ila umekurupuka kuoa asee aya oa tena
 
Back
Top Bottom