Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

Mapenzi ya nje matamu sana ndo maana unamuona mke wako hafai. Ila ni furaha ya muda mfupi hata huyo mchepuko ukishaanza kuishi nae siku si nyingi utamuona hafai utaanza kutafuta mwingine.
Ndoa ni commitment si mapenzi peke yake.
UPO SAHIHI. ndugu kakolea tanga na kujisahau, anahtaj kuamshwa yupo ucngzn
 
1738064100949.jpg
 
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Cha nguruwe hiko bro, bao moja watoto 12🤣
 
nimekumbuka huu uzi wako mkuu;

sikumbuki kama ulisema mlikosana wapi, ni bora useme tu
Yaani hatujawahi maliza mwezi bila ugomvi kaka hasa kwenye tendo la ndoa nikinyimwa huwa navurugwa vibaya mno
 
Kama Mwanaume hutaki kuoa basi Olewa wewe.

Ndivyo mnataka wazee wa visamvu
Halafu nyie mbw(a) acheni kutuchafua wakataa ndoa.
Humo kwenye ndoa zenu Mnafirw(a), kuna mashoga, mnatombew(a) balaaa ila mmekaa kututukana sisi tuuu.

Nyie fieni humo ndani kimyakimya.

Kuna mwenzako juzi kagawana mali na mkewe.

Umbwa nyie mmekumbatia maumivu mnakufa polepole.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom