Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahhaahMi sijaelewa kichwa Cha habar kinaeleweka ila yaliyomo ndan hayaelewek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahhaahMi sijaelewa kichwa Cha habar kinaeleweka ila yaliyomo ndan hayaelewek

Mna vituko sana nyie watuAisee
Anainama kama nini 😂
Atafaidi kwa muda mfupi. Akishaanza kuishi nae tu matatizo yataanzia hapo...Raha ya mapenzi msiishi wote.Sema lakini Tanga mafundi mwacheni jamaa afaidi
Raha ya mapenzi msiishi pamoja🦾🦾🦾Atafaidi kwa muda mfupi. Akishaanza kuishi nae tu matatizo yataanzia hapo...Raha ya mapenzi msiishi wote.
Hehehe!!!Maskini kuna wanawake wanateseka sana ndoani. Namuonea huruma mkeo
New Alert!!! Bro ni mtego huo shituka kabla hujanasa!!Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda
UPO SAHIHI. ndugu kakolea tanga na kujisahau, anahtaj kuamshwa yupo ucngznMapenzi ya nje matamu sana ndo maana unamuona mke wako hafai. Ila ni furaha ya muda mfupi hata huyo mchepuko ukishaanza kuishi nae siku si nyingi utamuona hafai utaanza kutafuta mwingine.
Ndoa ni commitment si mapenzi peke yake.
Watu wakishaoana tu vita huanza hapo hapo wanageuka kuwa maadui. Sijui tatizo niniRaha ya mapenzi msiishi pamoja🦾🦾🦾
Huyu atakua mwalm wa math hajui kuandka an.. Ila nmeelewa wanawake ni wawil, wakwanza hajui mapenz nawa pili wa tanga anajua mapenzKwani mkuu hii mada yako inahusu wanawake wawili au huyu Mmoja wa Tanga?
Cha nguruwe hiko bro, bao moja watoto 12🤣Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa
Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.
Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.
Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae
Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?
Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.
Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.
Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia
Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.
Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?
Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Ni La7Huyu atakua mwalm wa math hajui kuandka an.. Ila nmeelewa wanawake ni wawil, wakwanza hajui mapenz nawa pili wa tanga anajua mapenz
Si ndio hapo sasaWaoaji hawana akili kama zako.
Yaani hatujawahi maliza mwezi bila ugomvi kaka hasa kwenye tendo la ndoa nikinyimwa huwa navurugwa vibaya mnonimekumbuka huu uzi wako mkuu;
Natarajia kupata mtoto nje ya mke wangu
Ndo hivo imetokea japo sijutii kwasababu ya mgogoro wa hapo kipindi Cha nyuma ambapo ilinibidi kumtafuta wa kunipa furaha Sasa baada ya wife kugundua nataka kuoa mwingine Basi akarudisha upendo na kuwa mpole japo mimi sikutaka Tena kuwa naye kwani stim zilishakata kwake Akawa ananiomba...www.jamiiforums.com
sikumbuki kama ulisema mlikosana wapi, ni bora useme tu
Ooh kwel bhana ni La7Ni La7
Familiarity weaken desireWatu wakishaoana tu vita huanza hapo hapo wanageuka kuwa maadui. Sijui tatizo nini
Halafu nyie mbw(a) acheni kutuchafua wakataa ndoa.Kama Mwanaume hutaki kuoa basi Olewa wewe.
Ndivyo mnataka wazee wa visamvu