Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

Najuta kuoa, najuta kuoa, najuta kuoa

Sio kosa langu ni huyu mpumbav(u) mmoja 👇👇 anatukana sanaa sisi kataa ndoa.
Kama Mwanaume hutaki kuoa basi Olewa wewe.

Ndivyo mnataka wazee wa visamvu
Mwenyekiti nimepokea barua nyingii za malalamiko kutoka kwa wadau na wanachama wangu.

Sasa nimechoka kukaa kimyaaa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Sio kosa langu ni huyu mpumbav(u) mmoja 👇👇 anatukana sanaa sisi kataa ndoa.

Mwenyekiti nimepokea barua nyingii za malalamiko kutoka kwa wadau na wanachama wangu.

Sasa nimechoka kukaa kimyaaa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sawa mwenyekiti. Binafsi nawaelewa na hoja yenu. Kazieni hapo hapo
 
Ndio maana nikasema ndoa sio sex peke yake. Na msipokuwa na urafiki kati yenu basi hakuna lingine la maana mtakalofanya zaidi ya kuboana tu
Mambo ya mahusiano yapo complicated sana, mi naona ili ndoa idumu inatakiwa iwe kati ya Mwanamke aliependa sana Vs mwanaume alielelewa vizuri na mwenye Siha njema na pia kuwe na kitu common kinachowaunganisha
 
HIzo ndio hasara za kuwahi kuoa. Baadae ndio unakuja kuzinduka kwamba ulikulupuka. Vijana mkiwa 20's fanyeni maisha kwanza, hapo kwenye dating kaeni kijanja janja tu. Ukifika 30's ndo uanze kufikiria masuala ya kuoa
Always genius........
 
Mambo ya mahusiano yapo complicated sana, mi naona ili ndoa idumu inatakiwa iwe kati ya Mwanamke aliependa sana Vs mwanaume alielelewa vizuri na mwenye Siha njema na pia kuwe na kitu common kinachowaunganisha
Kupenda ni kwa mwanaume. Hakuna mahali pamesema mwanamke ampende mwanaume. Mwanamke akipendwa atatii.
 
Mwenye shida hapo ni wewe.

Huyo dada yeye ndio kapata hasara. Umemharibia Maisha yake tuu.

Hakuna kitu kirahisi kuelekezana kama tendo la ndoa.
Na mwenye uwezo wa kutoa maelekezo ya Mchezo ni wewe mwanaume.

Mpe Pole
 
Ma-changamoto madogo madogo kama haya sio lazima utafuniwe mkuu umiza kichwa hicho
 
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Kulala wapi? 😜
 
Mmh nimerudia kusoma had mara mbili ila nilichoelewa jamaa anamke pia anamchepuko wa TANGA unaompa penz la TANGA mpaka hupelekea ndugu yetu kumsaha mkewe na kumwona hajui PENZI.

ONYO..
Ji MIXX by YAS, Nipo MME MWENZA ntampoza mkeo mbna anajua
Kwani kati ya wale watoto wanne WA yule mme mweza boya wa kwako ni wangapi!!?

Hebu funguka heavyweight mdedili,namaanisha yule boya mwl ambae unamchukulia mke wake na mnajenga nae sasa hapo njia panda kwenye lami!
 
Kwani kati ya wale watoto wanne WA yule mme mweza boya wa kwako ni wangapi!!?

Hebu funguka heavyweight mdedili,namaanisha yule boya mwl ambae unamchukulia mke wake na mnajenga nae sasa hapo njia panda kwenye lami!
Yule tunaenda sambamba mkuu akipachika namii namvutia upepo nami napachika, kwahyo wapil na kamwisho kale kadog ni twangu tuwil
 
Hivi kweli Kuna mapenzi matamu kwa mke na mume kwenye ndoa

Au mm nilikosea wapi? Duniani kuishi ni maramoja tu. Je? Nikubali kwamba mm raha ya mapenzi nitaionea kaburini.

Au nifanye tu maamuzi magumu tubakie kulea watoto.

Nikiri tu kwamba NILIKURUPUKA kuchagua wa kuishi nae

Ndio maisha ni magumu pesa ni ngumu je? Mapenzi nayo yanahitaji pesa kiasi gani?

Mbona Kuna wengine wa hali yangu naona wanafurahia.

Ni mwanamke mvumilivu sana Ila kwenye mapenzi amefeli kidogo.

Nimepata demu nipo nae na mahusiano ndani ya miezi 3 amenipa mapenzi ambayo sijawahi kuyapata mpaka nikawa mgeni wa hii dunia

Amepata mimba ameniomba nimtumie nauli arudi maana alienda kwao tanga.

Sasa nawaza je akija nitaipata kweli hiyo furaha. Ukijumlisha na mzigo nitakao ubeba?

Ameniambia yupo tayari hata tuanze kulala chini Ila ni ananipenda.
Umesema Mke anakuzingua kabla hujasolve umejitumbukiza kwa Mdigo wa Tanga au sijakuelewa.
Sasa ww mpaka wakuue ndio utaelewa.
 
Back
Top Bottom