dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Bora upweke kuliko kumeza powerCefIla unakuwa karibu na stress, karibu na upweke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora upweke kuliko kumeza powerCefIla unakuwa karibu na stress, karibu na upweke
Mkuu ni mjinga tu ndo anae achana na mali yake mapema pambana upate haki yako, una watoto wa ngapi nae?Mkuu kiwanja aliandika jina lake maana yeye ndo alikopa hela ya kununua mimi nimechangia kwenye ujenzi lakini leo hii ananiambia sijachangia chochote hela yote ya kodi za wapangaji anakula pekeake so sitaki kuforce umiliki ila inaniuma tu pesa zangu nlizotupa hapa bora ningeenda kutafuta kiwanja changu hata kijijini huko
Kula matunda ya ujinga wako.Wana MMU,
Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.
Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nlimpa mimi
Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikua havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.
Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.
Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.
Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.
Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.
Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Ndo shuruba hizo mkuu, mwanamke havumilii penye dhiki...utaambulia dharau tuKama hakuna andiko litakalo-support hiki ulichoandika basi NDOA ITABAKI KUWA NI UTAPELI MKUBWA SANA....Kwa maana huwezi kusema kwamba kumtawala mwanamke yakupasa mwanaume kuwa na pesa,,vipi kwa wanaume wenye uchumi wa chini? [emoji848]
Mwanamke ni nyoko kwenye Mali🤣🤣🤣Ulikosea mwenyewe toka mwanzo, kosa uliwekeza kwenye uwanja wa mwanamke, kisa chako Kama Cha jirani yangu, mwanaume anafungiwa milango, anafukuzwa usku wa manane, Tena kwa sauti, uwanja wa mwanamke, ye kasapoti kwa kiasi chake Ila ananyanyaswa Sana anaomba msamaha Ila afunguliwi mlango na anaondokaga.
Watoto watatuMkuu ni mjinga tu ndo anae achana na mali yake mapema pambana upate haki yako, una watoto wa ngapi nae?
Nliamua kuchangia kwa kuona tuna watoto na pia tumefunga ndoa ila nashangaa mwenzangu kaleta ubinafsi wa hali ya juu.Kula matunda ya ujinga wako.
Ndo nina mpango wa kuanza kujichanga nitafute kwangu umri wangu bado unaruhusu kupambana kupata nyumba yangu hata kama kislop cha chumba kimojaMali ya mwanamke mkuu usiniwekee kwenye hesabu. Support uliyompa n sawa Ila ulitakiwa na ww kutafuta eneo lako ujenge
Umetema dini moja matata mrembo.Ukitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu,au Rudi kwangu....la sivyo u fail.Always mwanamke ni mbinafsi sana
Ndo ukweli broUmetema dini moja matata mrembo.
Ni makosa makubwa umefanyaNliamua kuchangia kwa kuona tuna watoto na pia tumefunga ndoa ila nashangaa mwenzangu kaleta ubinafsi wa hali ya juu.
Of course umesema kweli,, karne hii wanawake wengi wamekuwa ni Narcissists.Ndo shuruba hizo mkuu, mwanamke havumilii penye dhiki...utaambulia dharau tu
Kabisa, wachache Sana wenye Moyo wa imani., Basi Yule kijana kaondoka sijasikia vurugu Tena, akiwepo akiwa anafukuzwa atulali, mpaka aondoke anavyobembeleza, mpaka ma house girl wa mle ndani wanamzarau, utasikia mpaka dada,Mwanamke ni nyoko kwenye Mali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mimi hakifikia hatua ya kunifukuza kwa nguvu tutagawana majengo ya serikali. Hapa ninaondoka ila sio kwa kuniforce na naondoka kwa sababu anaona nategemea kuishi kwenye nyumba yake kana kwamba mi sina uwezo wa kwenda kupanga chumba.Ulikosea mwenyewe toka mwanzo, kosa uliwekeza kwenye uwanja wa mwanamke, kisa chako Kama Cha jirani yangu, mwanaume anafungiwa milango, anafukuzwa usku wa manane, Tena kwa sauti, uwanja wa mwanamke, ye kasapoti kwa kiasi chake Ila ananyanyaswa Sana anaomba msamaha Ila afunguliwi mlango na anaondokaga.
Ndio uoe wa uchumi wa chini kukuzidi😂😂Kama hakuna andiko litakalo-support hiki ulichoandika basi NDOA ITABAKI KUWA NI UTAPELI MKUBWA SANA....Kwa maana huwezi kusema kwamba kumtawala mwanamke yakupasa mwanaume kuwa na pesa,,vipi kwa wanaume wenye uchumi wa chini? [emoji848]
🤣🤣Kama mazuri vileKabisa, wachache Sana wenye Moyo wa imani., Basi Yule kijana kaondoka sijasikia vurugu Tena, akiwepo akiwa anafukuzwa atulali, mpaka aondoke anavyobembeleza, mpaka ma house girl wa mle ndani wanamzarau, utasikia mpaka dada,
Ukitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana