Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Mkuu kiwanja aliandika jina lake maana yeye ndo alikopa hela ya kununua mimi nimechangia kwenye ujenzi lakini leo hii ananiambia sijachangia chochote hela yote ya kodi za wapangaji anakula pekeake so sitaki kuforce umiliki ila inaniuma tu pesa zangu nlizotupa hapa bora ningeenda kutafuta kiwanja changu hata kijijini huko
Mkuu ni mjinga tu ndo anae achana na mali yake mapema pambana upate haki yako, una watoto wa ngapi nae?
 
Wana MMU,

Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.

Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nlimpa mimi

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikua havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.

Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.

Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.

Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Kula matunda ya ujinga wako.
 
Kama hakuna andiko litakalo-support hiki ulichoandika basi NDOA ITABAKI KUWA NI UTAPELI MKUBWA SANA....Kwa maana huwezi kusema kwamba kumtawala mwanamke yakupasa mwanaume kuwa na pesa,,vipi kwa wanaume wenye uchumi wa chini? [emoji848]
Ndo shuruba hizo mkuu, mwanamke havumilii penye dhiki...utaambulia dharau tu
 
Ulikosea mwenyewe toka mwanzo, kosa uliwekeza kwenye uwanja wa mwanamke, kisa chako Kama Cha jirani yangu, mwanaume anafungiwa milango, anafukuzwa usku wa manane, Tena kwa sauti, uwanja wa mwanamke, ye kasapoti kwa kiasi chake Ila ananyanyaswa Sana anaomba msamaha Ila afunguliwi mlango na anaondokaga.
Mwanamke ni nyoko kwenye Mali🤣🤣🤣
 
Ulikosea mwenyewe toka mwanzo, kosa uliwekeza kwenye uwanja wa mwanamke, kisa chako Kama Cha jirani yangu, mwanaume anafungiwa milango, anafukuzwa usku wa manane, Tena kwa sauti, uwanja wa mwanamke, ye kasapoti kwa kiasi chake Ila ananyanyaswa Sana anaomba msamaha Ila afunguliwi mlango na anaondokaga.
Ila mimi hakifikia hatua ya kunifukuza kwa nguvu tutagawana majengo ya serikali. Hapa ninaondoka ila sio kwa kuniforce na naondoka kwa sababu anaona nategemea kuishi kwenye nyumba yake kana kwamba mi sina uwezo wa kwenda kupanga chumba.

Maana nimehamia hapa baada ya yeye kuforce nitoke kwenye kupanga ila sikua na mpango napo japo nimechangia kujenga hapa ilikua plan iwe nyumba ya wapangaji sasa nashangaa saa hivi ananiletea ubinafsi wa juu sana
 
Kabisa, wachache Sana wenye Moyo wa imani., Basi Yule kijana kaondoka sijasikia vurugu Tena, akiwepo akiwa anafukuzwa atulali, mpaka aondoke anavyobembeleza, mpaka ma house girl wa mle ndani wanamzarau, utasikia mpaka dada,
🤣🤣Kama mazuri vile
 
Ukitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana


Inasikitisha,baadhi huwaga wanajitahidi kuonesha kuwa ni wa tofauti ila mwisho fikra zenu ni hizi.….

Heri wanaojionesha wakaidi tangu mwanzo, madogo wa kataa ndoa kama wana make sense.
 
Back
Top Bottom