Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio upe way uchumi wa chibi kukuzidi
Sasa hutoweza ishi bila msaidizi.Kuwa na mke wa kupigizana kelele home ni nzuri sanaInasikitisha,baadhi huwaga wanajitahidi kuonesha kuwa ni wa tofauti ila mwisho fikra zenu ni hizi.….
Heri wanaojionesha wakaidi tangu mwanzo, madogo wa kataa ndoa kama wana make sense.
We ni mjinga iwapo umejenga nyumba hiyo ukijua no ya kwake na hamjajenga nyumna yoyote kwa pamoja au ya kwako.Mkuu kiwanja aliandika jina lake maana yeye ndo alikopa hela ya kununua mimi nimechangia kwenye ujenzi lakini leo hii ananiambia sijachangia chochote hela yote ya kodi za wapangaji anakula pekeake so sitaki kuforce umiliki ila inaniuma tu pesa zangu nlizotupa hapa bora ningeenda kutafuta kiwanja changu hata kijijini huko
Huyu achana nae anza upya kamanda, ila usirudie kosa kama hilo ata ukipendaje.....Watoto watatu
Kujenga kwenyewe hajajenga yeye kasimamia tuAfu mwanaume usilie lie kitu kidogo hivyo, yaani nyumba ambayo thamani yake hujachangia hata 20mil unalia.
Umejenga kwenye kiwanja cha mtu,
Mkuu nimekoma asee na hapa nlipo kwa sasa simwamini mwanamke na hata kusema nitoe mia yangu kirahisi tu kwa mwanamke ni ngumu kabisa.Huyu achana nae anza upya kamanda, ila usirudie kosa kama hilo ata ukipendaje.....
wanaitwa waficha makucha hao, hao ogopa sana, nasema tena ogopa sanaila mwisho fikra zenu ni hizi.
Soma uzi vizuri usikurupuke nimesema nimechangia ujenzi na pia mimi ndio nimesimamia ujenziKujenga kwenyewe hajajenga yeye kasimamia tu
Kwani ndoa ni nini siujinga tu tulioambukizwa na washenzi wakizungu mbona mbwa hafingi ndoa na anazaa na kula maisha.Nliamua kuchangia kwa kuona tuna watoto na pia tumefunga ndoa ila nashangaa mwenzangu kaleta ubinafsi wa hali ya juu.
Mdanganye...Mkuu ni mjinga tu ndo anae achana na mali yake mapema pambana upate haki yako, una watoto wa ngapi nae?
Narcissists. Means personality disorder.....kwahiyo mkuu tunaoa wanawake vichaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Of course umesema kweli,, karne hii wanawake wengi wamekuwa ni Narcissists.
🤣🤣🤣🤣🏃🏃🤸Hapa ujumbe ulikua ni kataa ndoa ila ukaamua kuzunguka sana.
Mkuu mimi sina muda wa kuforce kumiliki nyumba ila naumia tu kutothamini mchango wangu wa kuimalizia hii nyumba naona nimepoteza hela zangu bure bora tangu mwanzo hizo hela ningefanyia kitu kingine binafsiMdanganye...
Nyumba haina jina lake....
It is not worth it.
Atakuja kuuliwa bure....
Mwache akaanze upya!...