Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Huu si ubinadamu, huwezi mfungia mwenzako nje kisa nyumba ni yako, hii tabia ni za akili za kimaskini. Katika maisha yangu, sitaki dhulma kabisa. Kama umechangia kwenye mali hata kama ni nyumba, chako utakipata. Yaani tungejua kama utu ni zaidi ya mali hakuna binadamu angemfanyia mwenzake ubaya. Kwa ushauri tu, ni vyema kila mtu awe na umiliki wa mali yake, kama mmeamua kuwa na mali ya pamoja iwe kwa maandishi. Hakuna kumuamini mtu siku hizi maana nafsi zimakuwa mawe
Mwanamke mwanajeshi pngwe mwanaume anaendesha bajaji, mwanaume islam, Yule dada anakula kitimoto, anapika pale pale, Kaka zangu tafuteni pesaaa, natamani niongee nao Ila nitaonekana naingilia Mambo yao, na wafatilia yaaani.
 
Kiukweli wanawake hawaeleweki wanataka nini
20230309_141005.png
 
Umenikumbusha mbali. Kuna jamaa naye alikuwa na mke Mmachame Kila siku ugomvi jamaa anaamiwa aondoke nyumba yake. Mwamba katukanwa na kudharaulika sana ukizingatia wote wamechangia ujenzi . Walikuwa wamezaa mtoto mmoja, Jamaa akaona ni heri aondoke akaanze maisha upya.

Jamaa akaoa upya maisha yakaenda. Mwanamke aliyeona nyumba ndo Kila kitu, kaumwa Mwaka Jana amefariki. Jamaa kaudhulia msibani kiroho safi na heshima ya shada kapewa. Hii Dunia tunapita hakuna utakachoondoka nacho.

Neema tu ya Mungu tunapumua hatujui kesho yetu.
 
Mwanamke mwanajeshi pngwe mwanaume anaendesha bajaji, mwanaume islam, Yule dada anakula kitimoto, anapika pale pale, Kaka zangu tafuteni pesaaa, natamani niongee nao Ila nitaonekana naingilia Mambo yao, na wafatilia yaaani.
Huu ni unyanyasaji, kwa nini aliolewa sasa
 
Kataa ndoa , ndoa ni utapeli huu ni ujumbe wa kinabiii sna kwa kizazi hiki kiovu , hamsikii tu au mpaka mpate ishara ole wao kizazi hiki chenye kupenda ishara , na hamtapa ishara isipokuwa ishara ya Yona.
 
Wanawake wote huamini wanaume tunakufa mapema kabla yao
Ni majinga. Na ndiyo hayo yakiona unazeeka huku unanawiri yanashikwa na wivu yanaanza kuiwinda roho yako ili ufe kwa lazima.

NB;
Wengi wa wanawake wa hivi ni wembamba, slim thick, na wale wanene walio fake mwili, na wenye makalio ya kufake na kila kitu.

Wanawake wanene kiasi na wanene kabisa, wengi ni safi! Nawapenda sana.
 
Story yako haitofautiana na ya jamaa yangu mmoja. Yeye alijenga mwanzo mwisho nyumba kwenye kiwanja cha mkewe. Hakuchukua muda baada ya nyumba kukamilika na wao kuaamia vikaanza vitimbwi ndani, mara paaaap akapata ugeni mkubwa wa mashemeji zake jamaa.
Wakisisitiza jamaa ahame kwenye nyumba.

Jamaa aliondoka akiwa na begi lake tu, huku akiendelea kulipa mkopo wa benki alioingia kipindi anafanya ujenzi wa nyumba hiyo.

Wanakwetu karudi magetoni.
 
Mwanamme hupaswi kugombania mali na mwanamke. Kwanza mshukuru huyo mwanamke ana akili ya kujenga watoto wako wanakaa pazuri na hakuombi hela ya kodi.

Hupaswi kuwa inferior eti kisa mwanamke kakopa hela kajenga nyumba ndiyo maana anakunyanyapaa. Wewe timiza majukumu yako kama mwanamme, Na wala usiteteleke.

Kama akizidisha dharau na hakuheshimu, ondoka nenda kaanze upya. Hapo ujue ya kwamba hakutaki na hana mapenzi na wewe ila siyo kwa sababu anamiliki nyumba.

Ukiwa unapambana kivyako utakuwa na amani watoto wako wanalala pazuri na hela ambayo ingelipa kodi kwa ajili ya familia yako kuishi ifanyie maendeleo mdogo mdogo.

Hiyo nyumba ata akiuza watoto wako hawatakufa njaa na pia kama hajauza hiyo nyumba watarithi watoto wako.

Mwanamme hupaswi kugombea mali na mwanamke, ni mwiko. Cha mwanamke ni cha watoto wenu.
 
Mwanamme hupaswi kugombania mali na mwanamke. Kwanza mshukuru huyo mwanamke ana akili ya kujenga watoto wako wanakaa pazuri na hakuombi hela ya kodi.

Hupaswi kuwa inferior eti kisa mwanamke kakopa hela kajenga nyumba ndiyo maana anakunyanyapaa. Wewe timiza majukumu yako kama mwanamme, Na wala usiteteleke.

Kama akizidisha dharau na hakuheshimu, ondoka nenda kaanze upya. Hapo ujue ya kwamba hakutaki na hana mapenzi na wewe ila siyo kwa sababu anamiliki nyumba.

Ukiwa unapambana kivyako utakuwa na amani watoto wako wanalala pazuri na hela ambayo ingelipa kodi kwa ajili ya familia yako kuishi ifanyie maendeleo mdogo mdogo.

Hiyo nyumba ata akiuza watoto wako hawatakufa njaa na pia kama hajauza hiyo nyumba watarithi watoto wako.

Mwanamme hupaswi kugombea mali na mwanamke, ni mwiko. Cha mwanamke ni cha watoto wenu.
Huu upumbavu wa ndoa unasababisha wanaume wengi wanaishi kama wapangaji kwenye hii dunia yetu nzuri.
 
Wana MMU,

Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.

Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.

Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.

Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.

Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Katika mambo ambayo siwezi kufanya ni kuchangia mambo ya maendeleo na mwanamke.

Akinunua kiwanja, nawe nunua jenga.
Mwanamke akikuambia tuchangie pesa tununue kitu fulani. Kataa kwa herufi kubwa.

Mwanamke anakubali kuishi na wewe kwasababu unauwezo wa kumtimizia mahitaji yake si vingenevyo
 
Mwanamme hupaswi kugombania mali na mwanamke. Kwanza mshukuru huyo mwanamke ana akili ya kujenga watoto wako wanakaa pazuri na hakuombi hela ya kodi.

Hupaswi kuwa inferior eti kisa mwanamke kakopa hela kajenga nyumba ndiyo maana anakunyanyapaa. Wewe timiza majukumu yako kama mwanamme, Na wala usiteteleke.

Kama akizidisha dharau na hakuheshimu, ondoka nenda kaanze upya. Hapo ujue ya kwamba hakutaki na hana mapenzi na wewe ila siyo kwa sababu anamiliki nyumba.

Ukiwa unapambana kivyako utakuwa na amani watoto wako wanalala pazuri na hela ambayo ingelipa kodi kwa ajili ya familia yako kuishi ifanyie maendeleo mdogo mdogo.

Hiyo nyumba ata akiuza watoto wako hawatakufa njaa na pia kama hajauza hiyo nyumba watarithi watoto wako.

Mwanamme hupaswi kugombea mali na mwanamke, ni mwiko. Cha mwanamke ni cha watoto wenu.
Haya mambo uliyaandika ndiyo yanafanya ndoa za siku hizi kuwa ngumu sana.
Wazee wa zamani, mwanamke akizingua anaondoka na mabegi yake anawaacha watoto ila siku hizi wanaume kama mabinti.
Siwezi kuondoka nikaacha mali nianze upya.
 
Wana MMU,

Naandika huu uzi kwa masikitiko na kujuta bora ile pesa ningenywea tu bia na kula kitimoto.

Nina mke na watoto, mke alikopa hela bank na kazini kwao akanunua uwanja. Ushauri huu nilimpa mimi

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba.

Kipato changu cha kuunga unga ila kwa kutambua nyumba ni ya familia tuna watoto na ndoa tumefunga nikaona niendeleze ukarabati.

Sasa bwana umetokea mgogoro mdogo mimi na mke wangu kanitamkia hapa sijachangia chochote kodi yote anakula yeye.

Basi nimeamua nianze mdogo mdogo kujitoa kwenye hii nyumba.

Mchango wangu hajauthamini kabisa mwanamke amekua mbinafsi ghafla sana.

Wakuu tuwe makini kuwekeza hela na muda wako kwenye mali ya mwanamke ni kujichimbia kaburi.

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI

Nataman kusikia kutoka kwake pia

Nikasimamia ujenzi nyumba ikasimama ingawa kuna vitu vilikuwa havijakamilika nikaanza kuingia gharama kumalizia nyumba
 
Back
Top Bottom