Hayo yote ni kupoteza mda na pesa kamanda kama bodo hujafika miaka 50, mchie huweza kutafuta mari zako upya.Kama ni mke halali kisheria na unataka kuchomoka na kumkomoa, nenda mahakamani omba divorce na mgawanyo wa mali zote, acha kulia lia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yote ni kupoteza mda na pesa kamanda kama bodo hujafika miaka 50, mchie huweza kutafuta mari zako upya.Kama ni mke halali kisheria na unataka kuchomoka na kumkomoa, nenda mahakamani omba divorce na mgawanyo wa mali zote, acha kulia lia
itakuwa huelewi interpretation ya personality disorder ,,,but narcissist ni full person of egoism and pride.Narcissists. Means personality disorder.....kwahiyo mkuu tunaoa wanawake vichaa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ebu ni check Google ili nijifunze piaitakuwa huelewi interpretation ya personality disorder ,,,but narcissist ni full person of egoism and pride.
Kichaa utamkuta kwenye mentality disorder,, lakini mbinafsi ndo unamkuta kwenye personality disorder.Ebu ni check Google ili nijifunze pia
View attachment 2543001
Ni mke halali tumefunga ndoa ya kiserikali na cheti cha ndoa ninachoKama ni mke halali kisheria na unataka kuchomoka na kumkomoa, nenda mahakamani omba divorce na mgawanyo wa mali zote, acha kulia lia
Hivi mkuu unaelewa kweli maana ya Personality disorder in swahili ina maana gani???Mkuu naona wewe ndo hukujua interpretation halisi ya hilo nenoView attachment 2543002
Huu si ubinadamu, huwezi mfungia mwenzako nje kisa nyumba ni yako, hii tabia ni za akili za kimaskini. Katika maisha yangu, sitaki dhulma kabisa. Kama umechangia kwenye mali hata kama ni nyumba, chako utakipata. Yaani tungejua kama utu ni zaidi ya mali hakuna binadamu angemfanyia mwenzake ubaya.Ulikosea mwenyewe toka mwanzo, kosa uliwekeza kwenye uwanja wa mwanamke, kisa chako Kama Cha jirani yangu, mwanaume anafungiwa milango, anafukuzwa usku wa manane, Tena kwa sauti, uwanja wa mwanamke, ye kasapoti kwa kiasi chake Ila ananyanyaswa Sana anaomba msamaha Ila afunguliwi mlango na anaondokaga.
Ndivyo nilivyoelewa mimi 🤣🤣🤣🤣🤣🏃🏃🤸
Kwahoyo mkuu ndoa na wa uza unga ni kundi moja?Hakuna kuoa
Ndoa ni biashara haramu
Kwako ni ndogo, unaujua uchumi wake wewe, kwangu Mimi hata laki moja nikidhurumiwa nalalamika, wewe unapesa yeye hana. UsimpangieAfu mwanaume usilie lie kitu kidogo hivyo, yaani nyumba ambayo thamani yake hujachangia hata 20mil unalia.
Umejenga kwenye kiwanja cha mtu,
We zarau zikizidi nenda mahakamani, Kama vipi pauzwe si umechangia na mmefunga ndoa, Kama mnaishiishi tu pagumu, japo mahakama wanaweza kusema Mali za watoto, Ila kumchemsha tu zarau zinapozidi.Ila mimi hakifikia hatua ya kunifukuza kwa nguvu tutagawana majengo ya serikali. Hapa ninaondoka ila sio kwa kuniforce na naondoka kwa sababu anaona nategemea kuishi kwenye nyumba yake kana kwamba mi sina uwezo wa kwenda kupanga chumba.
Maana nimehamia hapa baada ya yeye kuforce nitoke kwenye kupanga ila sikua na mpango napo japo nimechangia kujenga hapa ilikua plan iwe nyumba ya wapangaji sasa nashangaa saa hivi ananiletea ubinafsi wa juu sana
Umeongea ukweli. Kuanzia leo hii tar. 9 March 2023, naanza rasmi kukuheshimu.Ukitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana
Oa wewe inatosha. Tuache unafiki watanzaniaBaby care haikusemi, haikudhurumu wala haikucheat [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kaoe ndugu yangu, acha kujitesa [emoji28][emoji28]
Sasa kati ya Mimi na ww nani mnafiki hapa mkuu?Oa wewe inatosha. Tuache unafiki watanzania
MmmmhHakukopa alihongwa