CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 528
- 800
Hii si kweli, akiamua kuuza inakuwaje ya watoto?Sjaona tatzo hapo,nguvu zako hazijapotea bure maana hiyo nyumba ni ya watoto hata kama sahv hufaidik nayo
Watoto hawana Chao hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii si kweli, akiamua kuuza inakuwaje ya watoto?Sjaona tatzo hapo,nguvu zako hazijapotea bure maana hiyo nyumba ni ya watoto hata kama sahv hufaidik nayo
😂😂Halafu kama anaitwaga hivi..utashtukia chap kashafika comment tano za kwanza hakosi😅😅😅😅 Mkuu hizi ndio nyuzi zako pendwa. Check ulivyokuwa wa kwanza kureply 😅😅
Hapa umenena vyema. Cheti halali cha ndoa kipo na mimi namwangalia tu nikiamua kufuata taratibu za kisheria patachimbika ila coz tuna watoto nitaondoka kistaarabu nimwachie nyumba akae na madogo wanapokuja likizoWe zarau zikizidi nenda mahakamani, Kama vipi pauzwe si umechangia na mmefunga ndoa, Kama mnaishiishi tu pagumu, japo mahakama wanaweza kusema Mali za watoto, Ila kumchemsha tu zarau zinapozidi.
Ameweka alert 😅😅😂😂Halafu kama anaitwaga hivi..utashtukia chap kashafika comment tano za kwanza hakosi
Hakuna wanawake wanaochakatwa kijinga wakiwa kwenye ndoa zao kama hao,, ni kheri kutokuoa kabisa,,,na ma-feminist wengi ndo hao hao wanaotoka familia maskini.. Aoe asiye na uchumi kabisa, no free lunch
Hakikisha hili suala linaishia mahakamani..Ukisema kirahisi tu unamuachia nyumba atakuja baba mwingine atamshawishi watoto awalete kwako hili astarehe vizuri na mke wako kwenye nyumba uliyojenga kwa jasho lako,,Hapa umenena vyema. Cheti halali cha ndoa kipo na mimi namwangalia tu nikiamua kufuata taratibu za kisheria patachimbika ila coz tuna watoto nitaondoka kistaarabu nimwachie nyumba akae na madogo wanapokuja likizo
Sent using Jamii Forums mobile app
nikiweka mods wanatoaSiioni hapo
Ndoa ni Ugaidi
Ha ha ha hanikiweka mods wanatoa
Hovyo sana wewe.Mwanamme hupaswi kugombania mali na mwanamke. Kwanza mshukuru huyo mwanamke ana akili ya kujenga watoto wako wanakaa pazuri na hakuombi hela ya kodi.
Hupaswi kuwa inferior eti kisa mwanamke kakopa hela kajenga nyumba ndiyo maana anakunyanyapaa. Wewe timiza majukumu yako kama mwanamme, Na wala usiteteleke.
Kama akizidisha dharau na hakuheshimu, ondoka nenda kaanze upya. Hapo ujue ya kwamba hakutaki na hana mapenzi na wewe ila siyo kwa sababu anamiliki nyumba.
Ukiwa unapambana kivyako utakuwa na amani watoto wako wanalala pazuri na hela ambayo ingelipa kodi kwa ajili ya familia yako kuishi ifanyie maendeleo mdogo mdogo.
Hiyo nyumba ata akiuza watoto wako hawatakufa njaa na pia kama hajauza hiyo nyumba watarithi watoto wako.
Mwanamme hupaswi kugombea mali na mwanamke, ni mwiko. Cha mwanamke ni cha watoto wenu.
Kuna jamaa lilikuwa business partner likaja kuniambia eti kwenye tuweke mambo Sawa kwenye kampuni hata akifa mke wake asipate shida.Wanawake wote huamini wanaume tunakufa mapema kabla yao
Hakikisha hili suala linaishia mahakamani..Ukisema kirahisi tu unamuachia nyumba atakuja baba mwingine atamshawishi watoto awalete kwako hili astarehe vizuri na mke wako kwenye nyumba uliyojenga kwa jasho lako,,
Fanya yote ila hakikisha kwamba mahakama inatoa statement ya kugawana mali hapo sasa ndio uamuzi wako wa kusema unamuachia nyumba akae na watoto utake place!!
Unaongea jambo usilolijuaHe he he, kasign mkopo, ana ushahidi, kanunua kiwanja kwa shida, kajenga, jamaa limekuja jazia rip, mahakama ipi kama sio kujizalilisha?
Umeambiwa uishi na mwanamke kwa akili.. Aoe asiye na uchumi kabisa, no free lunch
Kwanini unawalazimishe watu waoe?Mashoga kama wewe ndo mnakataa NDOA punga wewe
Ndoa maana yake wote wawili meaminiana na mnapendana ndip maana meamua muishi wote wawili.Unafikiri unajua sana, ila kuna wanaojua zaidi, unajua hata kama una ndoa, kuna kipengele cha sheria kinaruhusu kuwa na mali yako endapo wakati unanunua uli declare kwa maandishi kwamba ni chako binafsi?
Ndoa ni utapeli. Mwanaume au mwanamke anaweza kumtapeli mwenzakeHapa umenena vyema. Cheti halali cha ndoa kipo na mimi namwangalia tu nikiamua kufuata taratibu za kisheria patachimbika ila coz tuna watoto nitaondoka kistaarabu nimwachie nyumba akae na madogo wanapokuja likizo
Sent using Jamii Forums mobile app