Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Ndoa maana yake wote wawili meaminiana na mnapendana ndip maana meamua muishi wote wawili.

Sasa kila mtu awe na mali yake binafsi halafu bado mpo kwenye ndoa ndiyo utapeli wenyewe huo.

Ndoa ni utapeli. Ukizubaa kwenye ndoa mwanamke au mwanaume anaweza kumtapeli mwenzake.

Utajua mwenyewe, utaamua unaiangalia ndoa katika angle ipi.
 
Wanaume kama ninyi ndiyo mnafanya wanaume wote tuonekane maboya.
Hiyo nyumba siyo ya kwako ila ulichangia kwenye ujenzi wa nyumba ya mke wako.
Hati ya kiwanja ni ya mwanamke, unategemea nini?

Hii ilitakiwa upige kimya, ujipange kwa mambo mengine.
 
Back
Top Bottom