Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

Bado una utoto wa kutaka kuona uko huru unaweza fanya chochote bila kupangiwa. Nakumbuka mwanzo namiliki subaru nilikuwa na ujinga wa kukimbiza ovyo sababu najua subaru ina uwezo huo baadaye ujinga ukaniisha nilipooma haina maana.
 
Acha mikwara kuna watu kibao hawaamini hata huyo mungu wako kama yupo na wanaishi vizuri tu, hapo ndo mnapokosea wafia dini badala ya kumwelewesha mtu mnampa vitisho kama mungu wenu anavyofanya .
We lofa kwanza mm sio mdini ila ninachoamini mungu adhihakiwi..wala haitaji mtetezi..hapa simpigi mkwara mtu nampa facts hata ww ukijifanya huamini mungu ila kimoyo unaamini...huyu dogo na ww bange zinawasumbua na hamjakua kuona maisha nyambafu zenu..
 
Msuba na utandawaz ndo unakudanganya..siku unahemea juu juu hiyo pumz inakata ndo utajua kusema you are just living your life...hayo maisha umeazimwa wewe na Mungu wa hao unawaowaita walokole
Simkomoi mtu I'm just living my life vile nataka
 
we

we lofa kwanza mm sio mdini ila ninachoamini mungu adhihakiwi..wala haitaji mtetezi..hapa simpigi mkwara mtu nampa facts hata ww ukijifanya huamini mungu ila kimoyo unaamini...huyu dogo na ww bange zinawasumbua na hamjakua kuona maisha nyambafu zenu..
Wapi kakwambia anamdhihaki mungu?na wanaoumwa ,kupata matatizo wenye dhiki na wanaokufa je hao wote wamemkataa mungu na kumdhihaki?huwa mnatumia nini kufikiri wafia dini?
 
Hii ni chai tu ya kijana aliyekua ameokoka Lakini sasa hivi dunia imemchanganya na shetani amefauru kumteka.

Uandishi wako una logical flow kitu ambacho ni nadra sana kukipata Kama umeishia kidato cha pili.

Pili umefeli kuprove the bad thing against your family.

Nini hasa ukipendi ?
Kusoma Biblia?
Kuzuiwa kuwa na bad company?
Kuzuiwa kuvuta bangi na kupenda totoz ukiwa bado hujajijenga kimaisha?
Kuzuiwa kwenda disco?
Kuambiwa tufunge kwa ajili ya kuuweza mwili na tamaa zake?

Sio mkamilifu sana kwenye dhana ya dini ila ukweli ni kuwa dini ni salama sana kuliko uendawazimu wa maisha ya anasa.
 
Wapi kakwambia anamdhihaki mungu?na wanaoumwa ,kupata matatizo wenye dhiki na wanaokufa je hao wote wamemkataa mungu na kumdhihaki?huwa mnatumia nini kufikiri wafia dini?
Shehe achana nalo hilo pumba kichwani
 
Hii ni chai tu ya kijana aliyekua ameokoka Lakini sasa hivi dunia imemchanganya na shetani amefauru kumteka.

Uandishi wako una logical flow kitu ambacho ni nadra sana kukipata Kama umeishia kidato cha pili.

Pili umefeli kuprove the bad thing against your family.

Nini hasa ukipendi ?
Kusoma Biblia?
Kuzuiwa kuwa na bad company?
Kuzuiwa kuvuta bangi na kupenda totoz ukiwa bado hujajijenga kimaisha?
Kuzuiwa kwenda disco?
Kuambiwa tufunge kwa ajili ya kuuweza mwili na tamaa zake?


Sio mkamilifu sana kwenye dhana ya dini ila ukweli ni kuwa dini ni salama sana kuliko uendawazimu wa maisha ya anasa.
Faza umenielewa sana ila unatamani ningeeleza deeply zaidi! Hakika amini wenye tuko na elimu ndogo tuna uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kwa ushawishi mkubwa kuliko wasomi!
 
Hizo bangi huwa unanunua wapi?, nielekeze kijiwe chako!
Unachukia ulokole ila unaamini ni maombi ya wazazi ndio yaliyokulinda kwa miaka yote 13!!!!! WEWE kweli uliishia form one.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Faza hujaelewa Mimi sio mtenda maovu naishi kwa protokali zangu sina choyo na mtu wala Mimi sio sababu ya mtu kuhuzunika kisa mimi
Hapo kwenye kuhuzunisha huoni kuwa unahuzunisha wazazi wako kisa life style yako?
 
nyumba kwako ndio umeona ushatoboa,wabongo bwana.
 
Back
Top Bottom