Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

Mimi ni mtoto wa tatu katika familia ya watoto 6, baada ya Dada na braza me nilifuatia. Faza etu ni pastor wa kanisa Fulani la kilokole na ni mcha

Una bahati sana unga haukukupitia!

Una bahati sana mabaya hajakukufanyia!

Umepita sehem hatari sana...

Ila bado kuna kitu kibaya sana kipo kichwani nacho ni psychological trauma!

Hiyo unayo na itakuja kukusumbua sana baadae utakapoanza kuzeeka!

Cha maana uje ufanye kanselin sessions uondoe hizo darksides,otherwise kuna siku unaweza chizi tu from nowhere!

Hayo ya kujenga nyumba nk ni materials hua hayataridhisha moyo wako,kuna siku utajisikia pungufu tena na tena!
 
Kiukweli kuna mambo mengine yanaweza kukufanya ukajuta kuzaliwa kwenye jamii flani
Kiuoande wangu najuta kuolewa na mlokole yaan yule aliyeshika imani mpaka kero,yeye ni mtu wa kuwaza miujiza tu kasi hataki kufanya,kila mtu mbele yake ni mchawi,kila kitu mbele yake kiovu akipatwa na matatizo haohao anaowaona wachawi ndio anaowaomba msaada ila wao wakiwa na ishu zao wakitaka mchango kutoka kwao oh mimi siwez kuwapa mchango watu wanaompa utukufu shetani ukiumwa wewe eti nenda kaombe toba umemtendea Mungu dhambi akiumwa yeye balaa tupu yaani ni kero kwa kweli kufikiria future hakuna ila miujiza imemkaa kichwan umri wake na kile anachokifikiria ni vitu viwili tofauti
 
Kitu usichokijua ni kuwa, mafaniko na baraka zote unazoziona ni kwa ajili ya wazazi wako. You are connected to your father's blessings. Mark my words, kuna siku Mungu atataka kukudhihirishia hili na utalia kwa kilio kikuu maana wazazi wako hawatakuwepo.

Live long Jf ili huyu anaejiona kapatia aje afukue huu uzi na kuona hii comment. All the best nigga
 
Mzazi huwa hakosei amini hivyo.Njia waliyopenda uifuate wanajua ingekufaa.
Mungu akusaidie uachane na madawa ya'kulevya.
 
Pole my dear
Kiukweli kuna mambo mengine yanaweza kukufanya ukajuta kuzaliwa kwenye jamii flani
Kiuoande wangu najuta kuolewa na mlokole yaan yule aliyeshika imani mpaka kero,yeye ni mtu wa kuwaza miujiza tu kasi hataki kufanya,kila mtu mbele yake ni mchawi,kila kitu mbele yake kiovu akipatwa na matatizo haohao anaowaona wachawi ndio anaowaomba msaada ila wao wakiwa na ishu zao wakitaka mchango kutoka kwao oh mimi siwez kuwapa mchango watu wanaompa utukufu shetani ukiumwa wewe eti nenda kaombe toba umemtendea Mungu dhambi akiumwa yeye balaa tupu yaani ni kero kwa kweli kufikiria future hakuna ila miujiza imemkaa kichwan umri wake na kile anachokifikiria ni vitu viwili tofauti
 
uniite tito uniite toti ndo nakuambia kijana..mm kama ndumu nishatumiaga sana kitu cha arusha kabisa ila sijawahi leta mzaha na mambo ya Mungu na kiimani, uliza walioleta kejeli kama zako waliishia wapi!? na ww njia nyeupe hiyo..it is just a matter of time hicho kiburi cha uzima kikitiwa kashkash utamtafuta mpaka mlokole wa tone la mwisho akuombee rehema na usimpate
Acha mikwara kuna watu kibao hawaamini hata huyo mungu wako kama yupo na wanaishi vizuri tu, hapo ndo mnapokosea wafia dini badala ya kumwelewesha mtu mnampa vitisho kama mungu wenu anavyofanya .
 
Kiukweli kuna mambo mengine yanaweza kukufanya ukajuta kuzaliwa kwenye jamii flani
Kiuoande wangu najuta kuolewa na mlokole yaan yule aliyeshika imani mpaka kero,yeye ni mtu wa kuwaza miujiza tu kasi hataki kufanya,kila mtu mbele yake ni mchawi,kila kitu mbele yake kiovu akipatwa na matatizo haohao anaowaona wachawi ndio anaowaomba msaada ila wao wakiwa na ishu zao wakitaka mchango kutoka kwao oh mimi siwez kuwapa mchango watu wanaompa utukufu shetani ukiumwa wewe eti nenda kaombe toba umemtendea Mungu dhambi akiumwa yeye balaa tupu yaani ni kero kwa kweli kufikiria future hakuna ila miujiza imemkaa kichwan umri wake na kile anachokifikiria ni vitu viwili tofauti
Piga chini huyo
 
Sawa..Huu wito unatoka kwa Mungu. .na utakurudisha tu toka huko ulipo.
Japo naona unaamua kuukwepa. . ila hakuna namna unaweza kukwepa.
Sawa..Huu wito unatoka kwa Mungu. .na utakurudisha tu toka huko ulipo.
Japo naona unaamua kuukwepa. . ila hakuna namna unaweza kukwepa.


acha likufe tu lipotee jf siku ziende tangulini walevi concentrated wakabadilika
 
Hahahaha... bado anayo nafasi ya kubadilika

aah wapi huyo pombe zishakuwa kweny system mda si mrefu zitamuua ngoja nusubirie kipind katoweka humu mazima 😁 niombe mods waandike r. I. p kweny profile yake najua atakuwa ameenda
 
Back
Top Bottom