Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

Najuta kuzaliwa kwenye familia ya kilokole

Hizo bangi huwa unanunua wapi?, nielekeze kijiwe chako!
Unachukia ulokole ila unaamini ni maombi ya wazazi ndio yaliyokulinda kwa miaka yote 13!!!!! WEWE kweli uliishia form one.
Wao ndo wanaamini sio mimi faza! Alafu usiniwakie
 
Tafuta furaha yako mwenyewe

Mimi pombe ndo inaniba sababu ya kuishi..kwa sasa. Japo hapo awali sikuwahi kuwaga mlevi
Bado unanipiga chenga.
Sijamalizana na wewe...kazi niliyopewa na Mungu kwako sijaimaliza.
 
Wewe mwana mpotevu usijitie shababi sana kuleta kufuru zako kwa wazazi, baba yako knows the best wewe unadhani kuwa na mali za dunia nakufanikiwa ndo umemaliza!? Your father anataka roho yako isalimike sio mwili! nakuhakikishia dunia itakupiga utaikumbuka familia hii ya kilokole unayoijuta kuwa nayo
 
wewe mwana mpotevu usijitie shababi sana kuleta kufuru zako kwa wazazi, baba yako knows the best wewe unadhani kuwa na mali za dunia nakufanikiwa ndo umemaliza!? your father anataka roho yako isalimike sio mwili! nakuhakikishia dunia itakupiga utaikumbuka familia hii ya kilokole unayoijuta kuwa nayo
Faza usinilaani maana hata wazee wangu hawajawahi Fanya hivyo
 
Yote ufanyayo ni ya muda tu bado umejaa ujana na kupelekwa puta na umagharibi.
 
Faza usinilaani maana hata wazee wangu hawajawahi Fanya hivyo
Mimi nawajua walokole ni watu wa na wewe kuandika kujuta kuwa na familia yakilokole ni sawa umetukana ulokole..sasa mimi nimeshasema utarudi home kwenu siku moja na kukiri kuwa ulipotea..ila isije kuwa too late kwako ukakosa hata nafasi hiyo..sijawahi sema ambalo halijawahi kutokea..subiri
 
mimi nawajua walokole ni watu wa na wewe kuandika kujuta kuwa na familia yakilokole ni sawa umetukana ulokole..sasa mimi nimeshasema utarudi home kwenu siku moja na kukiri kuwa ulipotea..ila isije kuwa too late kwako ukakosa hata nafasi hiyo..sijawahi sema ambalo halijawahi kutokea..subiri
Ubarikiwe sana nabii Tito kwa maono yako
 
Uniite tito uniite toti ndo nakuambia kijana..mm kama ndumu nishatumiaga sana kitu cha arusha kabisa ila sijawahi leta mzaha na mambo ya Mungu na kiimani, uliza walioleta kejeli kama zako waliishia wapi!? Na ww njia nyeupe hiyo..it is just a matter of time hicho kiburi cha uzima kikitiwa kashkash utamtafuta mpaka mlokole wa tone la mwisho akuombee rehema na usimpate
 
uniite tito uniite toti ndo nakuambia kijana..mm kama ndumu nishatumiaga sana kitu cha arusha kabisa ila sijawahi leta mzaha na mambo ya Mungu na kiimani, uliza walioleta kejeli kama zako waliishia wapi!? na ww njia nyeupe hiyo..it is just a matter of time hicho kiburi cha uzima kikitiwa kashkash utamtafuta mpaka mlokole wa tone la mwisho akuombee rehema na usimpate
Una mkwara!
 
Back
Top Bottom