Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Kumamaaeeee.... Wallah tena WANAUME tunazidi kupungua Dar-es-...
Kwahiyo akitokea kibopa akuweke ndani poa TU [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]LGBT+Q bhana wanajidhihilisha. Kwa style Tofauti

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini

Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Hata hayo Mafanikio aliyo nayo kidog Kama anavyodai atakua wamemkula huyuu....

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Uzi wake umekuwa kama hakikisho la dhana ya wengi juu ya huyo jamaa.

Alishaonyesha kila hulka za kike katika maandiko yake. Mengi yalikuwa na mrengo wa kutaka attention ikiwa ni moja ya trait kubwa ya watu wenye tabia za kike.

Anyways ni maisha yake hakuna wa kumpangia japo sasa kaweka wazi upande wake ni upi. cocastic mpe guidance jamaa jinsi ya kuishi pasi kukera watu na chaguzi ya maisha yake.
 
Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini

Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Hahaha Hii kali
 
Nikwambie kitu mashoga ni wengi zaidi ya unaowajua mtandaoni na mtaani.....

Narudia tena mzungu hakurupuki kuskuma jambo lake... nakukumbusha mzungu alipoacha utumwa, alileta ukoloni na alipo acha ukoloni alijua kuna ukoloni mamboleo....

Mzungu anafanya utafiti kabla yaku announce ni hivi more than 80% ya wanaomiliki smartphone wanafuatilia homosexial content kwetu ni siri ila kwao sio siri..... so don't be surprised mashoga ni wengi wengi na ni public figures trusted kabisaaaa

So huyu jamaa ni shoga don't be surprised
 
ulitakwa kuwa unaingia leba eee πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…