Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #401
Ndio nikasema ni non existence, hakuna ufahamu huo ila ungekuwepo natunashuhudia ya Duniani wengi tungesema tuwe Samia hata wewe ungetakaKubali tu Leo umetoa boko, sasa uulizwe jinsia kipindi unazaliwa kwani unakuwa na utambuzi wowote? Unakuwa unatambua ugumu wa kuwa dume na ugumu wa kuwa jike?.
Itoshe tu kusema Leo umetoa boko, kubali yaishe.
Badala ya kupuliza ili azime yeye anakaza fuvu ana puliza huku anakokeza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2565005
SawaMkuu uandishi huu unakosa akisi ya kimaudhui ladha ya lugha yako mtiririko, rythm huna pesa umevaa koti sio lako, wewe ni wa kawaida sana sana, the complaining rythm iko so natural to equate the reality of yours. Money speaks so smooth and straight. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sente tewari, utali na mahera , mahera yalaheze
Acha kutafuta attentionWakristo kwakukufuru sasa muone huyu mpumbavu alichokiandika
Namba zake sina tena. Mtoto wa Kinondoni huyo.Connection mkuu tafadhali
mpwayungu si umepewa tuzo juzi wewe 😀 😀 unataka kuwaambia jf hawana akili au?? kuwasema kote waalimu kule leo unataka KULIWA JICHO kaka??? yani unatamani uwe mwanamke kisa maisha magumu??? daah
MaaaviNdio nikasema ni non existence, hakuna ufahamu huo ila ungekuwepo natunashuhudia ya Duniani wengi tungesema tuwe Samia hata wewe ungetaka
Mzee baba ulifaidi aisee. Kinondoni sehemu gani kama unakumbuka naweza nikatimbaNamba zake sina tena. Mtoto wa Kinondoni huyo.
Hizo ngoma hapo zimesha pigika wee alafu zimeambiwa hela kesho[emoji1787][emoji1787]Unaleta mchezo na Ugumu wa Maisha wewe..
Thailand inaongoza Kwa Wanaume kijibadili na kuwa wanawake fake ukiwauliza wanasema wanakimbia Ugumu wa Maisha..
It is not easy to be a man,Kuna Jamaa Huwa wanasafiri km 100 plus Kwa baiskeli wanasukuma mkaa usiku kucha ,Huwa nikiwakuta nasikitika ila ndio wanaume hawana jinsi..huo ni mfano mmja tuu Kati ya mifano Mingi ya shuruba za mwanaume.
So nikipata mtoto wa kiume Huwa nawaza sana.
[emoji23][emoji23] karibu.Naomba namie niongezeke kukupenda Mana utapendeka zaidi ukijumlisha upendo wako unavyojipenda na wa kwangu pia
Halafu mtu anasema bora kuwa mwanaume na kigezo kikuu ni ngono tuHizo ngoma hapo zimesha pigika wee alafu zimeambiwa hela kesho[emoji1787][emoji1787]
Mama hao wanao wa kiume unaonwaonea huruma wanunulie vimini mapema
Huku ni differentiation na intergration, kuna logarith na matrix bila kusahau siquence and seriesView attachment 2565013View attachment 2565031
Amina [emoji120]Ungekuwa mwanamke ningekuoa.
Unatamani kuwa mwanamke na wewe tungekuwa tunakutumia nauli unakula gheto utokei,Acha ulimbukeni
Hii mentality mbovu Sana, ndoa ni TAASISI hakuna taasisi ambayo Kila mtu ana malengo yake tofauti na TAASISI. Hivyo lazima ku share majukumu hta kupika, kufua, kuleta watoto ni majukumu ila kama ni mfanyakazi/biashara then lazima achangie issue za familia maana pia ni familia yake otherwise hakuna haja ya kuoa, tuzalishe tu tulee watoto wenyewe kuliko uishi na liability ndani.Wewe me ndiye mwenye familia Kama ke wako anayo kazi iyo Ni just bonus kwenye package ya ndoa yako,
Kwakwakwakwa hahahahYako
Uanaume mkuu, ni mateso bintaabanimpwayungu village shida ni nini kwani?
Sumeona mateso tunayopitia, tunatuma nauli hawaji tena wengine tunawatumia wa FacebookUnatamani kuwa mwanamke na wewe tungekuwa tunakutumia nauli unakula gheto utokei,