Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Acha apate alichokitaka wala hatutoi ushauri wala nini, mwanaume unatamani kuwa jike? Serious? Nyie haki za binadamu naona mnataka kuvamilia uzi, mnataka kuhalalisha wazo la jamaa kutamani kuwa jike?.

 
Thread 'Watu hamjanielewa naposema "Mwanamke ni chombo Cha Starehe" Sasa nieleweke hivi !!.' Watu hamjanielewa naposema "Mwanamke ni chombo Cha Starehe" Sasa nieleweke hivi !!.

Ndio mwanamke ni chombo Cha starehe.
 
Leo ndio utajua km ni malofa kweli au la. Halafu ukizingatia wana kiburi cha kupokea mshahara hivi majuzi tu,lazima wakuvunjie yai viza baada ya kukulewesha na bia!.
Mshahara kadi imejaa madeni wakiappload salary ni ndefu kama nyoka
 
Unaweza kuvumilia kuvuja kila mwezi wewe
 
Vyakula vya kizungu vinalowwsaha m. K. U. N. Du saana sio vyakuzoea
 
Acha apate alichokitaka wala hatutoi ushauri wala nini, mwanaume unatamani kuwa jike? Serious? Nyie haki za binadamu naona mnataka kuvamilia uzi, mnataka kuhalalisha wazo la jamaa kutamani kuwa jike?.
Huna ujualo let me ignore you
 
Pole sana

I know how you feel!

Japo hicho unachowaza sio SAHIHI!

Mimi nime hustle sana Mkuu!

TOKA primary hadi udsm,Bila true mama or true Baba,kwa msaada wa walimwengu tu,mbeleni ya jk ikanibeba nikapata ajira ambayo umeitukana Sana humu jf,lakini muda sio mrefu naingia kwingine kwa connection fulani fulani !!

Lakini sijawahi waza kua mwanamke,bali nimewahit mlaumu Mungu kwaninie alinipatia wazazi wajinga wajinga vile!kwa MAAMUZI mabovu mabovu yale waliyoyafanya!!

Usilaumu jinsia yako Mkuu! hustler's tupo wengi usituone tnacoment kizungu humu mkuu!

"Wengi wetu tupo kama paulo mtume kwamba,anaijua njaa,anaijua na shibe,amepigwa Hadi ngumi katika hustle zake za kupambania kusudi lake Mungu!!


Nashauri Rudi katubu coz utafanya Mungu ahairishe mambo mazuri aliyoyaweka mbele ya MAISHA yako Mkuu!!

Rudi madhabahuni mkuu!!!


Namalizia

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"
 
Yananivaa tu automatically, shida akili zao Zipo kwenye kichwa cha chini sio juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…