Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Hii ni comment bora kabisa niliyoisoma siku ya leo. You have my respect Madame!3. Kuna baadhi ya wanaume wanaofikiri kuwa mambo ni marahisi kwa wanawake, Swali ni je mtu hawezi kueleza changamoto za wanaume bila kutamani kuwa mwanamke?
Usituambie kuwa kwako wewe ni sahihi mwanaume kutamani kuwa mwanamke, okay inaweza kuwa sahihi sababu utasema kila mtu yuko entitled na anavyojisikia, lakini je ni normal...? Kama sivyo, basi ndio sababu ya watu kutoa comments hivi wanavyozitoa.
Mods wambadilishie jina, aitwe Mpwayungulicious!Huyu jamaa harakati kaamza kitambo. Cheki baadhi ya comments zakeView attachment 2565204View attachment 2565205
Wengi huwa wanawaza hivyo, nikamwambia kwahiyo ruksa mimi kuchapa yeyote akakubali, nilibaki nashangaaNiliwahi kuwa na demu fulani akanambia
" Natamani sana ningekuwa mwanaume....."
Nikamuuliza umefikiria nini hadi kutamani hivyo?
Akasema " Ningehakikisha natomb mademu wengi sana....."
Hakuna mwanamke anayependa kuwa mwanamke
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
3. Kuna baadhi ya wanaume wanaofikiri kuwa mambo ni marahisi kwa wanawake, Swali ni je mtu hawezi kueleza changamoto za wanaume bila kutamani kuwa mwanamke?
Usituambie kuwa kwako wewe ni sahihi mwanaume kutamani kuwa mwanamke, okay inaweza kuwa sahihi sababu utasema kila mtu yuko entitled na anavyojisikia, lakini je ni normal...? Kama sivyo, basi ndio sababu ya watu kutoa comments hivi wanavyozitoa.
Ni wewe kweli Mpwayungu tunaye mfahamu au mtu au mtu ka- hack account yako? Kama ni wewe, hili bandiko lako limekuja wakati mbaya sana. Wakati umma wa Africa unalaani na kupiga wimbi la LGBTQ. Mtu alisoma bandiko hili mtu anahisi unatamani vitu vyote ambavyo mwanamme anamfanyia mwanamke likiwemo swala zima la 'jigi jigi'. Sijui ni mimi tu nimekuelewa vibaya?Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Labda kagongwa ba walimu huko nyuma hewa wamechafuaKutwa kucha kutukana walimu kumbe UPINDE
Like lion in the jungle.Am proud to be born a man and I will never ever regrete, men we ur born yo hassle........I like it.
Harufu ya upinde[emoji16]
Ni mimi kiongozi, sioni baya nililoandika apoNi wewe kweli Mpwayungu tunaye mfahamu au mtu au mtu ka- hack account yako? Kama ni wewe, hili bandiko lako limekuja wakati mbaya sana. Wakati umma wa Africa unalaani na kupiga wimbi la LGBTQ. Mtu alisoma bandiko hili mtu anahisi unatamani vitu vyote ambavyo mwanamme anamfanyia mwanamke likiwemo swala zima la 'jigi jigi'. Sijui ni mimi tu nimekuelewa vibaya?
dalili za upindeKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]