Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #681
Nani anasema anataka kuwa shoga tumshambulie apa apaDuuh ila tuko tofauti sana!Asee mimi najivunia ndonga langu hili,najivunia ninavyo pambana!Hii yako tushaa jua ni promo ya [emoji2380]
Fikra zenu mbovu potofu, I said I would be woman not a gayHarufu ya upinde[emoji16]
PoteleapoteHALI INATISHA[emoji83][emoji84][emoji83][emoji84][emoji83][emoji49][emoji49][emoji49]
Kama mtoa mada ni mwanaume, basi ameshaleft group la wanaume.
Katika orodha ya viumbe walio hatarini kutoweka ukiachana na faru na wengineo, wanaume nao tuongezwe kwenye orodha.
NB:
Mtoa ukiweza futa post yako kwa faida ya wanaume wote.
haki ya nani hili jamaa unaweza kuta ni mtoto wa watuKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mpwayungu kazunguka sana kwenye huu Uzi ila kwasisi tuliosoma Cuba tumemuelewa vizur, kiufupi anataman kupelekewa moto.
Lofa kweli wewe Wapi nimesema mm shogaLabda kagongwa ba walimu huko nyuma hewa wamechafua
Ivi kumbe [emoji15][emoji15][emoji15]Mpwayungu kazunguka sana kwenye huu Uzi ila kwasisi tuliosoma Cuba tumemuelewa vizur, kiufupi anataman kupelekewa moto.
No wayLeo umeharibu mkuu umezingua sana
hatuji inbox hata iwejeKama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Japo hakuna mvuadalili za upinde
I'm honored mkuu!Hii ni comment bora kabisa niliyoisoma siku ya leo. You have my respect Madame!
Maudhui yake mtoa mada yalilenga kwenye wepesi wa kufanikiwa ukiwa Mwanamke kuliko mwanaume ambaye kwa sasa tunapitia msoto mkubwa wa kupata Kazi na kufanikiwa kwenye malengo
Haswaaaasema hizi ID zinaficha mengi, unaweza kuta jamaa ni binti flani mrembo tu
unaweza kuta ni pisi kali sema humu hatujui mengiHaswaaaa
Nitaendelea kukuheshimu kama ninavyo endelea kumheshimu Steve Jobs, Mandelson, Potilo. Kwani umekuwa ukitoa michango ya akili kubwa. Na bado nashawishika kusema umeona jamvi limedorola unataka kulichangamsha. Ona kwa muda mfupi zimefikia kurasa 30+Ni mimi kiongozi, sioni baya nililoandika apo