Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

HALI INATISHA[emoji83][emoji84][emoji83][emoji84][emoji83][emoji49][emoji49][emoji49]
Kama mtoa mada ni mwanaume, basi ameshaleft group la wanaume.
Katika orodha ya viumbe walio hatarini kutoweka ukiachana na faru na wengineo, wanaume nao tuongezwe kwenye orodha.
NB:
Mtoa ukiweza futa post yako kwa faida ya wanaume wote.
Poteleapote
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
haki ya nani hili jamaa unaweza kuta ni mtoto wa watu
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
hatuji inbox hata iweje
 
Hii ni comment bora kabisa niliyoisoma siku ya leo. You have my respect Madame!
I'm honored mkuu!

Wanaume wanachangamoto nyingi na kila mtu/watu wengi tunazifahamu. Itoshe kufundishana, kuelekezana na kusaidiana namna ya kuzitatua kuliko kuzikimbia.

Kuboresha afya ya akili ni pamoja na kuzifahamu changamoto zako na namna ya kukabiliana nazo.

Ngoja tuwekane sawa hapa, dunia inakabiliwa na tatizo la watu kuwa suicidal, kwa nchi zilizoendelea tafiti zinaonesha 60% ya attempt za suicides zinawahusu hawa ndugu na jamaa zetu waliokimbia jinsia zao, Swali ni kwanini? Pamoja na sababu zingine za ubaguzi inaonekana kwa kiasi kikubwa hawa wenzetu si wazuri katika kusolve changamoto zao zaidi ya kuzikimbia.
 
Back
Top Bottom