Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Linda zipo hadi sasa? au unaongea tear wajuba washafanya yao
 
Provided
 
Nimesoma hii post kisha nikawazaaaa huyu mtoa mada amewaza nini walah
Anyways kila mbuyu na ubuyu wake aisee.

Mpwayungu kwani ulishawahi kuwa mwanaume wewe? lini?
 
Wewe ni SHOGA hata ukatae hadharani
 
Pamoja na kwamba sijuti kuzaliwa mwanaume ila napenda kuwa na Watoto wa kike wengi..

Ukweli ni kwamba Dunia sio salama na Haina huruma na mwanaume.

Hata kufanikiwa Kwa mwanamke ni rahisi kuliko Mwanaume licha ya Changamoto zao za hedhi,uzazi na kutokuwa na ubavu wa ku resist kuonewa.
 
Kumbe ndio maana[emoji134][emoji134][emoji134]

Haya sasa mmoja mmoja mmeanza kujiweka wazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi Kama ningepewa fursa ya kuchagua Kati ya kuzaliwa mwanamke au kuzaliwa mbwa Bora ningechagua kuwa mbwa.

Aisee kuwa mwanamke Ni shughuli pevu Sana.

A
Kwani Hakuna mbwa wa kike? Mwambie hivo mermar ako kuwa bora uwe mbwa kuliko mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…