Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe
Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake
Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka
Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.
Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]
FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Unaye shida mahala sio bure I assure it. Kuna jamaa tukiwa olevo ameshawahi tamani kama wewe ulivyotamani kuanzia siku zile nilimuweka pembeni kiukweli huwezi amini.
Unapolalamikia nafasi yako Ina Kuna kitu hakipo sawa inside of your mental brain yaani inner core beliefs of your being,your in-built DNA, fiber,bone marrow,in your amygdala,limbic and cortez brain. Nimekuambia ivyo kwa sababu zifuatazo;
1- Jogoo hajawahi lalamika kuchimba ardhi kumpatia mtetea ale na hujawahi ona jogoo anakula akiwa anamtaka mtetea.
2- swala dume anaishi na majike 30 kazi yake Ni kutafuta malisho wale yeye kazi yake Ni kuwadunga sindano.
3-Suleiman alimiki ke 1000+ ,binafsi natamani niivunje rekodi ya Suleiman kwa kuoa hata ke 20000+.
4- Ndege, predators,jua,dunia,miti haiwajawahi lalamika kuwa Ni kazi mno kuwinda ama kufanya kazi zao ambaazo ziliumbwa zifanye mfano jua kutoa nishati,dunia kuzunguka,miti kuota ardhini bila ya kutembea na predators Ni kuwinda na wako adaptability na asili ya kazi yake Kama jogoo alivyo na makucha marefu na magumu ya kufukua ardhini kutafuta chakula tofauti na mtetea so hajawahi lalamika Ila wewe unajutia kuwa jogoo.
5--Do sharks complain/ask or afraid about Mondays?
No. They're up early biting stuff, chasing stuff, being bold and reminding everyone that they're a shark.
6- 🌞 halijawahi kufanya kazi yake ambayo imeumbwa lifanye.
So mkuu unatamani uwe unakojolewa Yale maziwa mtindi unayala unayameza halafu unapewa teuzi,kweli serious man?
Mbona mie zege nishabeba na sijutii hata ukiniambia chimba mtaro nachimba na hiyo hela Nampa mwanamke anakula na silalamikii ama kulia.
7-- kubwa kuliko yote ndio leo nimegundua why story zako humu always ni kuponda watu fulani wa kwneye maisha yetu utadhani dunia iko sawa kwa kila Jambo.
8- Elon musk,Bill gates,Warren buffet,Michael Jordan,Tyson, Mohamed Ali, akina Kobe Bryant waliokuwa wakikesha gym waki practice their craft skills hawajutii kuumia mazoezi ya kila siku. Hata Eliud kipchoge alikimbia kwa siku 365 akijiandaa na marathon ya London na alivyoenda tu akashinda taji Hilo,Usain Bolt alikuwa anakimbia amejifunga 20kg ya mzigo was tairi analivuta hajawahi jiliza.
9- Are you really real man ! Damn shit .
Kuanzia Leo sintohangaika hata kujibu ama kuchangia mijadala yako huku jukwani Mana utaniambukiza uuke huo. Mwanaume ama jinsia sio maumbile tu na Ile spirit ya kiume. Na ndio Mana unaambiwa mwanamke haisi humpenda mwanaume halisi. Mwanamke anapenda mwanaume mbabe,nayeunguruma Kama Simba na sio unaanza kuwa Kama wao unadhani ndio atakuelewa.
10- Ni sawa wewe kuwa mwalimu unajiliza Ina Mana hukuumbwa uwe mwalimu,sawa na msoja analalamika maslahi,ama daktari anajutia kazi anaona Ni heri angekuwa businessman. Elewa hao hawajaumbwa wawe kwenye hizo career. Yaani unaambiwa Kama kila jumatatu huifurahii kwenda kufanya kazi yako Ni sawa tu unapoteza muda wako hapa duniani. You've to be excited with your work,Kama vile unavyomuona Yule demu wako uliyempenda Mara ya kwanza Mana ulikuwa na uwezo wa kumsotea hata masaa 8 unamsubiria na hulalamiki Kama umechelewa. Iyo kazi unayofanya Kama huwezi ifanya bure bila ya malipo eti mpaka ulipwe ujue unapoteza muda hapa duniani.
Mana inatakiwa Ile kufanya kazi tu iwe ndio furaha yako,Kama Ni kwenda vitani Basi uwe proud kuonyesha skills zako na kuishinda maadui na kuokoa nchi yako,Kama wewe Ni mwalimu hauko proud na ufaulu ama uelewe wa wanatunzi wako Basi you aren't in your position, Kama wewe unafanya biashara you aren't focusing on your customers satisfication Basi biashara sio fani yako wewe unawaza hela tu.
Badili jinsia mbona hizo option ipo mkuu ama unaumwa labda usaidiwe madaktari wapo.