Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Unajua maumivu ya mwanamke kuzaa lakini amakwanini madam princess ariana unasema ninyi mnaona bora mngekuwa wanaume?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua maumivu ya mwanamke kuzaa lakini amakwanini madam princess ariana unasema ninyi mnaona bora mngekuwa wanaume?
Duuuh utaolewa tena?Nani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960] unampa chaka la kutokea wakati yupo huko anakaza fuvu na watoa povuAkaunti imedukuliwa nahisi.
Sure hii mamii kwa kweli kiuhalisia Ni one man down. Napitia magumu na kila me anapitia Ila sijawahi kuwaza ivyo. Huyu jamaa acha awe anapiga stori na ke stori za kuponda na kusengenya walimu, Mana labda anawazidi kipato so anawadharau. Huwezi dharau mwenzako kisa kipato. Ango mamii???One man down
Roger that!One man down, over, one man down, i repeat
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijui uongee nini leo ueleweke! [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Utatusamehe bureView attachment 2564979
Mwanaume halisi hadharau hustle za mwanaume mwingineSure hii mamii kwa kweli kiuhalisia Ni one man down. Napitia magumu na kila me anapitia Ila sijawahi kuwaza ivyo. Huyu jamaa acha awe anapiga stori na ke stori za kuponda na kusengenya walimu, Mana labda anawazidi kipato so anawadharau. Huwezi dharau mwenzako kisa kipato. Ango mamii???
Copy that Sir!One man down
Wewe mtoto wako wa kiume akiwa shoga nadhani utakua wa kwanza kumnunulia vi mini na kumtafutia wanaume wenye pesa wamkaze!Unaleta mchezo na Ugumu wa Maisha wewe..
Thailand inaongoza Kwa Wanaume kijibadili na kuwa wanawake fake ukiwauliza wanasema wanakimbia Ugumu wa Maisha..
It is not easy to be a man,Kuna Jamaa Huwa wanasafiri km 100 plus Kwa baiskeli wanasukuma mkaa usiku kucha ,Huwa nikiwakuta nasikitika ila ndio wanaume hawana jinsi..huo ni mfano mmja tuu Kati ya mifano Mingi ya shuruba za mwanaume.
So nikipata mtoto wa kiume Huwa nawaza sana.
Mbona mie nipo home muda mrefu Ila sijapata hizo feelingsShida ya kukaa nyumbani bila kazi hii
Tumchangie akafanye transplant ya jinsia ya kike[emoji23][emoji23].
Mimi tokea afungue Uzi anajaribu kujitetea lakini bado simuelewi mpaka sasa.
NotedCopy that Sir!
Mkuu unaifikilia mizigo kinyama so uliambiwa uwe tajiri hakuna mizigo wewe hukunbali naonaDaah mizigo ilivyo mikali hivi sijui huwa mnafikiria nini Wazee au mmerogwa...
Nimesema kabla ya kuzaliwa mkuu, huwez kuwa mwanamke abadani kama umezaliwa mwanaume. Maumbile ya nje sio kigezo cha jinsiaTumchangie akafanye transplant ya jinsia ya kike
Upo sahihi piaMwanaume halisi hadharau hustle za mwanaume mwingine
Iwe smart uwaze kuwa ke eti ungekuwa mbali. Na huwa unajitapa kuwa una hela hebu weka hapa bank statement ya miezi Kama sita sijui umeshawahi vuka 500MNimesema Kwa akili yangu ilivyo smart, MIMI sio mpuuzi
Daaaaaaah hiyooo Aya ya mwisho uliompa ndo azingatieeNani alikwambia uwanawake rahisi??
Sisi wenyewe tunaonaga heri tungekua wanaume
Kuwa mwanamke ni kugumu hamna mfano siku uje mkoleni tukufunde utajua uanawake ni nini
Anyway: Achana na habari za kuwa mwanamke Bro utaolewa Shauri yako.
Ndio, sioni faida yakuhangaika ili tu mwishowe nitoe manii zangu tena nazitoa Kwa gharama[emoji2][emoji2]
mpwayungu village hebu toa ukakasi kwenye mgegedo na penyewe unajuta kuwa dume?.