Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
It's more spirit and soulUnaongea kwenye sex Organi tu hujajua kuwa mwanamke ni internal structure based kuliko external structure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's more spirit and soulUnaongea kwenye sex Organi tu hujajua kuwa mwanamke ni internal structure based kuliko external structure
Umechoka kuwa mwanamume kwa sababu ya mateso?Uanaume mkuu, ni mateso bintaabani
Mm sio mwanamke [emoji6], please stop assumingTufanye wewe tayari ni mwanamke ,haya utaulizwa chura unayo? Uli upate hivyo unavyo taka.
Maudhui yake mtoa mada yalilenga kwenye wepesi wa kufanikiwa ukiwa Mwanamke kuliko mwanaume ambaye kwa sasa tunapitia msoto mkubwa wa kupata Kazi na kufanikiwa kwenye malengo yetuUmeeleza sababu nyingi tu zakukufanya upende kuwa mwanamke au mwajuma au Prisca ila inawezekana labda kuna sababu kuu inakufanya upende uwe mwanamke ambayo hujaisema.
Sijachoka, let us enjoy our menshipUmechoka kuwa mwanamume kwa sababu ya mateso?
Nani kakwambia wanaume ndo wanakufa wengi? halafu unaogopa na kufa?? mwanaume unakuaje muoga muogaSiwezi kukupinga Kwa kuwa sina uwezo wakufanya research practically, ila ukweli unaonekana. Jiulize Kwa nini vifo vingi nivyawanaume
anadhani uanawake rahisiMwambieni bwana
😂😂😂 et angeolewa na mwalimuBora kabisa labda ungeolewa na mwalimu na ukaacha kuwasema vibaya
Sana mana kama ukuta ushaanza kubomokaDaaaaaaah hiyooo Aya ya mwisho uliompa ndo azingatiee
Nawengine wamekuwa masikini wa kudumu Kwa sababu ni wanaumeMaudhui yake mtoa mada yalilenga kwenye wepesi wa kufanikiwa ukiwa Mwanamke kuliko mwanaume ambaye kwa sasa tunapitia msoto mkubwa wa kupata Kazi na kufanikiwa kwenye malengo yetu
Ndio nikasema ni non existence, hakuna ufahamu huo ila ungekuwepo natunashuhudia ya Duniani wengi tungesema tuwe Samia hata wewe ungetaka
Utaelewa tu baada ya kushughulikiwa na walimu. Ndio utajua sio rahisi kuwa mwanamkeSielew una maana gn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] muache tumlambishe [emoji533][emoji533] kwanzaAwaite moderator wafute uzi, kwanza tu mwanaume kufananishwa na mwanamke ni dhambi sana, lakini mwenzetu anatamani kuwa jike[emoji23]
Huwez mkuu, utabadili mwonekano tu. Kuwa mwanamke au mwanaume sio maumbile tuunaweza kuwa mwanamke wakati ukiwa mwanaume kaka rahisi tuu...!
Walimu malofa tuUtaelewa tu baada ya kushughulikiwa na walimu. Ndio utajua sio rahisi kuwa mwanamke
Unatema madini sana[emoji106][emoji106]Nani kakwambia wanaume ndo wanakufa wengi? halafu unaogopa na kufa?? mwanaume unakuaje muoga muoga
anadhani uanawake rahisi
[emoji23][emoji23][emoji23] et angeolewa na mwalimu
sema angekua anatumika na walimu anadhani hata uko kuolewa rahisi
Sana mana kama ukuta ushaanza kubomoka
[emoji15][emoji15][emoji15]NIMEJITHIBITISHIA RASMI HUYU JAMAA MLETA MADA NI PELO! A.K.A CHOKO A.K.A SHOGA! NILIKUWAGA SIMUELEWI SIKU NYINGI SANA!
NA-SIGN OUT...
#YOU'RE#OFFICIAL#BLOCKED#BYE!
Ndo maana wanaume tumeumbwa kuteseka,tupo tofauti sana nawanawake kwakila idara,mimi napitia msoto sana ila siwezi kutamani kuwa mwanamke hata kidogoMaudhui yake mtoa mada yalilenga kwenye wepesi wa kufanikiwa ukiwa Mwanamke kuliko mwanaume ambaye kwa sasa tunapitia msoto mkubwa wa kupata Kazi na kufanikiwa kwenye malengo yetu
Yaani we umepotoka pakubwa sana, Asharose kuwa VP wa UN ni kwasababu ya uanawake? mbona wanawake wenzie haujawa? To be precise Yule mwanamke ana bidii na juhudi kubwa sana katika maisha yake, Amesoma weruweru na wanawake kibao tu ambao wamefight katika njia zao na hawajawa kama yeye.Tunawaza fursa za maisha mkuuuu sio kuwaza uchafu wa ngono tuu, hujui kilichomfanya Asha migiro kuwa vice secretary wa umoja wa mataifa ni kwasababu ya kuwa mwanamke?