Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Najuta kuzaliwa mwanaume, nilipenda kuwa mwanamke ila haiwezekani tena

Stress za maisha muhimu. Hapa nawaza ada ya April nipeleke shule.

Nawaza nikakope benki nimalizie kijumba changu. Yaani nina stresz chungu mzima.

Vikojozi wanaodoea ugali wa shemeji hawawezi kuwa na hizi stress. Wao ni KUJAMBA na KULA MATUNDA YA KIMASKHARA.
Hamna pamoja na kwamba stress zipo, ila zako ni stress za maisha magumu Mkuu !!.
 
Haipunguzi kitu ukiniignore lakini wewe kutokana na huu uzi umekupunguzia heshima uliyoijenga miaka na miaka Leo hii umeipunguza sababu ya huu uzi.

Sijaelewa nini tatizo limekukuta mpaka kuleta uzi wa namna hii?.

Ni kwamba umeshindwa au ulikosa namna nzuri ya kuwasilisha wazo ulilokuwa nalo au?.

Ulikuwa unatafuta attention kwa watu? Au labda akaunti yako ya JF inatumiwa na mtu mwingine anataka akuchafue jina?

Au ulichokiandika umejaribu kukisoma kwa kurudia ukaelewa ulichoandika?

Jitafakari.
Huna ujualo let me ignore you
 
Nenda ugenini ukose sehemu ya kulala tuone Kati ya wewe na mwanamke Nani atasaidiwa PA kulala haraka iwezekanavyo kuliko mwingine
Yaani wewe sijui una nini. Wewe mwanaume hata kwenye kalvati ,boma,jumba bovu,kwenye mitaro,gari bovu unalala. Wewe Ni mwanaume dunia Ni yako unaimiliki.
Waulize wanaume wakiwa vitani huwa wanalala wapi ndio urudi kuongea hayo Mambo. Unatamani kupewa lift ke Mana me anaachwa anatembea. Yaani hii kutamani position ya ke tayari wewe Ni ke. You're strong as your beliefs. Your beliefs acts as scriptwriters in background of your mind ,and you're acting according to your beliefs. Aisee kumbe ndio Mana unawatukanaga walimu Mana ukipewa mimba na ticha akakuacha sijui
 
Haipunguzi kitu ukiniignore lakini wewe kutokana na huu uzi umekupunguzia heshima uliyoijenga miaka na miaka Leo hii umeipunguza sababu ya huu uzi.

Sijaelewa nini tatizo limekukuta mpaka kuleta uzi wa namna hii?.

Ni kwamba umeshindwa au ulikosa namna nzuri ya kuwasilisha wazo ulilokuwa nalo au?.

Ulikuwa unatafuta attention kwa watu? Au labda akaunti yako ya JF inatumiwa na mtu mwingine anataka akuchafue jina?

Au ulichokiandika umejaribu kukisoma kwa kurudia ukaelewa ulichoandika?

Jitafakari.
Hata mie nimemwambia ivyo
 
Kwa sababu kasema Wana fursa nyingi kuliko yeye mwanaume. So issue hapa ni namna gani tunapo embrace mambo ya feminism na gender empowerment basi wanaume tusiachwe nyuma otherwise mwanamke anavyopandishwa Hadhi ndio mwanaume anazidi kupotezewa.

Mfano issue kama hii anashauriwa how akibaki mwanaume ataweza toboa bila "connection" au "advantage ya kuwa mwanamke". Sio kusema amekua shoga.

Nakumbuka Kuna mtu aliwahi anzisha thread humu akasema anatamani kufa na amekata tamaa ya kuishi. Watu wakaishia kusema anakufuru, mara aolewe, mara kachanganyikiwa n.k. bila kuangalia amesema hayo kwa muktadha upi. Baada ya miezi kadhaa ikapostiwa humu kuwa kafariki ndio watu wakaanza jutia comments zao.

So tusiwe too serious Mitandaoni, tujifunze kuwa na ustahimilivu na positivity kuliko mawazo hasi tu.
Asante sana mungu akulinde, waeleweshe hawa watu. Mimi nimewahi kufanya kazi ya kusajili line za airtel tulikuwa tunatembea Kwa makundi mitaani, KWENYE kundi letu tulikuwa wanaume wawili wasichana watatu, tukianza kutembea kutafuta wateja unakuta wanaoitwa kusajili ni wasichana tu sisi tunapigwa dolo hata kama facial touch ilianzia kwako bado huyo mteja body posture ataelekeza Kwa mwanamke nakumwita baby njoo unisajilie line

Tunalikuwa tunabahatisha Kwa wamama na wazee nao niwachache, tena hawa Dada zetu walikuwa wanaachiwa mpaka chenji. Siwaonei wivu ila wana fursa kubwa kuliko sisi
 
Kwahiyo kazi ya mwanamke ni kupumuliwa kisogoni tu?

Mama ako alipumuliwa mara ngapi hadi akakuzaa wewe!?

Hii mitandao inafichua matatizo makubwa sana ambayo tulikuwa hatuyajui!
Achana nayo matahila hayo, ndohayo yananunua Malaya wachafu wa kimboka halafu wanakula kavu,
 
Kama tungekuwa tunaulizwa kabla ya kuzaliwa basi ningesema niwe mwanamke ila tu hii option haipo. Wajameni kuwa mwanaume ni misukosuko tena Kwa sisi wenye kipato kikubwa japo sio matajiri ndokabisa. Imagine kila kitu mwanaume inabidi upambane. Hapa nazungumzia kwanzia kwenye elimu yani mtoto WA kiume hupewi kipaombele kama wakike ndio maana kila foundation inayokuja nikumkomboa mtoto WA kike wewe wakiume utajijua mwenyewe

Uje kwenye kutafuta mwanaume unatafuta huku mwanamke anapewa. Kuna siku sitaisahau Enzi za umasikini wangu niliwahi kupata kibarua cha kuponda zege Kwa kutwa nikalipwa elfu saba baada ya kazi mpenz wangu akasema nimpelekee chipsi Yai na kidali cha kuku, pesa yote ikaishia kwake

Ukija kwenye mapenzi mwanaume inabidi upambane kuhonga tena ulie kweli kweli mbaya zaidi sisi ndotunashugulika kitandani mpaka jasho linatutoka

Ukija kwenye fursa unakuta una vyeti vizuri tu ila kwenye ajira anapata mtoto WA kike maana boss keshamega keki yake.

Haya yote ya nini Sasa, ningekuwa mwanamke Kwa akili zangu zilivyo smart ningewahi sana kufanikiwa kuliko Sasa tena ningekuwa zaidi ya hapa sema tu uanaume ndoumenichelewesha [emoji24][emoji24][emoji24]

FORGIVE ME JESUS [emoji120][emoji120][emoji120]
Wewe jamaa ni mjinga na lengo lako kutangaza ushoga yaani unataka kutuaminisha Tanzania napo eti kuna wanaume wanatamani kuwa wanawake jinga kabisa. Huu upuuzi mnalipwa kuupandikiza bongo. Naona kuna mipusa kibao ime like uzi wako jinga mkubwa.
 
Itoshe tu kukushauri Mkuu "Tafuta Pesa, tafuta Pesa, ukimtanguliza Mungu mbele''



hao Wanawake, walipewa Tobo Kwa sababu kuu tatu


[emoji117]Wampe Raha Mwanaume.
[emoji117]njia ya kuzalia mtoto .
[emoji117]Wawe wasaidizi wa majukum ya kifamilia wakati Mwanaume Yuko juani anapigwa na Jua, jasho linamtoka.




Kuukimbia Uanaume maana yake, unataka vya kupewa, mdebwedo !!.
Hakuna asiyetaka vitu rahisi, hata wewe
 
Back
Top Bottom