Najuta kwanini niliuza gari yangu

Najuta kwanini niliuza gari yangu

Hahah washkaji wananunua passo/starlet/march/sio kwa kupenda ni ili kuondokana na adha tu ya usafiri hapa jijini maana kushika bomba daily si mchezo,though anajua atakua anapondwa/kuchekwa lkn potelea mbali hahah.
Hahahah kununua Passo/Glanza/March sio tatizo mkuu. Shida ni kuvimba sana! Kwanini mtu avimbe kwenye bebi walker? Halafu ndio wanaongoza kwa kutundika funguo kwenye luksi za Cadeti!
 
Kuna ka corolla mwana mmoja anako no.AAT jamaa ametoka nako mbali na hakauzi ng'o amekatoa viti vyote kabakiza kiti chake tu,anaitumia hio corolla kubebea kreti za bia maana ana ka grocery na bero za mtumba huko kwny mishe zake.

Lkn akitaka kutoka kwenda batani ana gx 100 (cresta superlucent) anasema hio ndio ina afadhali kwake hahah.
Hahahah huyo jamaa lazma awe na asili ya u Mangi tu. Cresta ni 3.5M mkononi yenye hali nzuri ni 4.5M. Kitendo cha kumiliki Corolla kinaashiria jamaa ni mchumi sana.
 
Hahahah kununua Passo/Glanza/March sio tatizo mkuu. Shida ni kuvimba sana! Kwanini mtu avimbe kwenye bebi walker? Halafu ndio wanaongoza kwa kutundika funguo kwenye luksi za Cadeti!
🤣🤣 Sasa ndugu, akivimba, wewe inakuathiri nini? Ndipo alipoweza kujikunaaa! Cha mtu 💩. Samahani kama nitakukwaza.....tunatoka mbali na haya maisha, kununua tu baiskeli kwa wengine ni milestone kwake, ila wengine tangu wadogo, wanacheza na magari ya nyumbani. Ndio maisha tu.
 
Hahahah hivi ni lazima funguo ining'inizwe kwenye suruale luks za mbele zile!?
Hahah sa utajuaje kama mjomba 'ametusua' kimaisha hahah.

Huyo jamaa anakwambia cresta ndio 'benz' ya mjapan kuna kipindi alitoka nayo dar-kenya-uganda-kigali akarudi nayo mpk dar tena,alivyofika akasema chalii angu ama kweli baada ya Mungu ni mjapan si kwa utamu wa gari hii,nilicheka sana aiseee na sitamsahau 'mnama' kwa sentensi hio,hahah.
 
🤣🤣 Sasa ndugu, akivimba, wewe inakuathiri nini? Ndipo alipoweza kujikunaaa! Cha mtu 💩. Samahani kama nitakukwaza.....tunatoka mbali na haya maisha, kununua tu baiskeli kwa wengine ni milestone kwake, ila wengine tangu wadogo, wanacheza na magari ya nyumbani. Ndio maisha tu.
Hahah hii ni changamoto mkuu, unajua huwezi kufanya vitu ambavyo ni ridiculous kwakuwa tu una uhuru wa kufanya hivyo. Milestone ni sawa kila mtu anahit milestone at a time katika maisha ila ukumbuke wewe si wa kwanza kununua gari mkuu. So usiingie wazimu kisa umenunua gari ulimbukeni sio sifa mkuu. Kuna mtu anamiliki gari ya million 600 hapa hapa na huwezi muona anafanya hayo unayofanya mkuu. Hata tu kupiga picha amesimama pembeni ya hio gari yake na kupost hana hio time.

Lets strive to be rich and not look rich!
 
Hahah sa utajuaje kama mjomba 'ametusua' kimaisha hahah.

Huyo jamaa anakwambia cresta ndio 'benz' ya mjapan kuna kipindi alitoka nayo dar-kenya-uganda-kigali akarudi nayo mpk dar tena,alivyofika akasema chalii angu ama kweli baada ya Mungu ni mjapan si kwa utamu wa gari hii,nilicheka sana aiseee na sitamsahau 'mnama' kwa sentensi hio,hahah.
Hahahah jamaa anainjoy sana lakini thats life mzee. Tuheshimu ni achievement yake and as long as he's having fun no problems mzee. Kila mtu na apendacho bwana mnama...ha ha! Siku akihamia kwenye Mark X ndio anaweza kwenda nayo hata Nigeria!
 
Hahahah hivi ni lazima funguo ining'inizwe kwenye suruale luks za mbele zile!?
mtanisamehe bure...nachukiaaaa hii tabia ya maufungua kwenye luks za suruali.....utafikiri mairizi[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
IMG_20190227_133015_627.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...

Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X

Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna

Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa


Sent using Jamii Forums mobile app
Bro! Nunua hata kibaiskeli cha gear kuepuka ukimwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikua na kagari kangu IST kalikua kananisaidia sana hapa mjini (DSM) mambo yangu yalikua safi kidogo,, visafari vidogo vidogo na kukutana na warembo ilikua simple sana...

Sasa nikajikoroga kuitamani MARK X ,,Aliku nayo rafiki angu,, nilimuona anafaidi sana
Kwanini mimi niwe na IST alafu yeye MARK X,,, nikaona bora niiuze gari yangu ili niongezee pesa na mimi nichukue Mark X

Kilicho tokea nikafanikisaha kuiuza gar yangu na hapo nikawa nimekaribisha matatizo
Mpaka sasa sijafanikiwa kununua iyo MARK X niliyo itamani na sijui nitainunua lini,, pesa yenyewe naona giza, Kwani nimeitafuna

Naandika huu uzi kwa uchungu sana ninapo jiona nipo standi ya mwendokasi na kila gari inayo kuja imejaa


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji16][emoji16]pesa shetani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtanisamehe bure...nachukiaaaa hii tabia ya maufungua kwenye luks za suruali.....utafikiri mairizi[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]View attachment 1033240

Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia ya kipumbavu sana hii mi pia najiskia kichefuchefu kuona mtu mzima anaefanya hivi. Ila cha kushangaza ni common kwa wale wenye mikebe ya less than 20M.
Huwezi mkuta mtu ana roll on a 100M+ whip halafu anafanya huo ushamba labda awe kaazima!
 
You can imagine kila mtu akinunua V8, maisha yangekuwaje.
Yaache maisha yaende kila mbuzi akiwa anakula kwa urefu wa kamba yake.
Wakati unaidharau corrolla kumbuka kuna mtu hana miguu ya kutembea, mwingine ana miguu lakini hana baiskeli, mwingine ana baiskeli lakini hana pikipiki, Mwingine ana pikipiki lakini hana gari walau hata starlet. Mwingine ana corrola lakini hana Prado, V8, Mwingine ana uwezo wa kuwa na kila aina ya gari, lakini hana furaha, ni mpweke. Mwingine ana vyote, ana mke lakini hana mtoto.

And that makes life enjoyable.
Huyo jamaa hovyo sana....
 
Aisee hizo ndio gari nilikuwa nikiziona uwani kwa mzee. By that time ilikuwa zinaonekana gari za maana kweli. Ila sahivi ninazipanda kama Tax hapa Mkoani. Aisee yani ni fupi na ziko chini dashboard ilivyoka na viti vilivyo vidogo utafikiri umekalia kigoda yani!
Sitaki kuongea vibaya ila Corolla gari ya ajabu sana mkuu. Walau hao akina Mark X seat zina manyama nyama kidogo japo zinakula mafuta.
Hata mi siongei kwa ubaya...ila gari za chini jamani sizipendi asee...utafikiri unaburuzwa kwenye lami!

SUV mpango mzima unadunda dunda kama kitenesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom