Pole chief inaonekana bado hujafikia level ya kuwa mndewa kwenye tasnia husika,
Miaka hiyo! Nikiwa bado kijana wa makamo nasoma (advance) mwanza wilaya X shule X, nilikua na desturi nikifika stend enzi hizo stend ipo nata magari yanaingia usiku nilikua naenda sehemu moja hivi inaitwa makoroboi nang'oa mchuchu.
Sasa basi siku hiyo tuliingia Na bus night kali, wakati huo kulikua na viroba vya konyagi nilianza kuvinyonya maeneo ya Tinde kwaiyo mpaka nafika mwanza town nilikua nimeanza kuwaka. nikachukua room alaf kama kawaida nikaenda zangu makoroboi nakachagua pisi moja nyeusi tii na imeenda hewani hivi, namkumbuka hadi leo yule mwanaharamu.
Kilichotokea huko room baada ya kumaliza kuchakata mbususu nilipitiwa na usingizi wa ajabu uliosababishwa na ulevi, uchovu wa safari na uchovu wa kushindana na nilipotoka.
Nilipoamka asubuhi yule binti hakuwepo,
Kilichoniuma zaidi ni yule mshenzi aliondoka na nauli ya kunifikisha shule, Pocket money pamoja na ada enzi hizo tunalipa cash kwa muhasibu, na mimi nilikua kiongozi wa dini pale shule hivyo nilikua na michango ya graduation ya shule nayo alipita nayo.
Toka hapo sikulala tena na mademu wa kuokota mpaka sahivi, hivyo ndugu yetu apo na yeye kapata funzo.