Najuta! Madada Poa wa Morogoro sio poa kabisa

Najuta! Madada Poa wa Morogoro sio poa kabisa

Wakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba hata akipakwa rangi ya pundamilia tu hapa juzi nilikuwa nawasifia madada Poa wa morogoro kumbe siku yangu Ulikuwa Bado?

Aisee baada ya mavuno Niliamua kwenda kuvinjari pale samaki samaki aisee nikamuona chick mmoja amejazia na ana minyama Sana wacha nidate mie mlima mfuta nikamset manzi nikaondoka nae kwwnye mark x yangu mpaka pale lodge x

Nilikuwa na kibegi changu kilikuwa na milioni kadhaa Sasa bwana usiku Mzima Ulikuwa mizagamuano tu kwa kwenda mbele Sasa bwana nilikuwa na kinywaji cha Heineken tulikuwa tunakunywa mule chumbani Sasa nikapitiwa na usingizi nahisi yule dada Poa akanitilia dawa nikalala mazima mpaka Asubuhi kujisachi kwenye begi langu hamna hela hata kidogo Wakuu aisee sio Poa kabisa ila Uzuri pesa nyingine niliweka bank nikangekuwa fambwa ningepigwa pesa zote

Kweli nimeamini simba ni simba tu hata ageuke swala yeye ni simba tu NAJUTA.
mbona kama chai chai
 
Hotel za Moshi na Arusha ukiingia na demu haruhusiwi kutoka mpaka upigiwe simu room kwako utowe go ahead ndio anaruhusiwa kutoka.

Inshort mademu wa Moshi Arusha hawana tabia za wizi, wanakuza utalii kwao.
Hii mambo nilikutana nayo hotel moja ipo Dar maeneo ya tip top jina limenitoka nilienda kumchakata mtoto mmoja wa geti kali jirani yangu akataka kiwanja cha mbali na asubuh mnapewa ofa ya break fast na ilikuwa bdo mpya kabisaa hyo hotel
 
Wakuu hawa madada Poa sio Poa kabisa yaani Mimi mkulima wa ufuta ambaye almost miezi mitatu napambana na ufuta wanitapeli na kuniibia madada Poa wa morogoro wale washamba? Kweli simba ni simba hata akipakwa rangi ya pundamilia tu hapa juzi nilikuwa nawasifia madada Poa wa morogoro kumbe siku yangu Ulikuwa Bado?

Aisee baada ya mavuno Niliamua kwenda kuvinjari pale samaki samaki aisee nikamuona chick mmoja amejazia na ana minyama Sana wacha nidate mie mlima mfuta nikamset manzi nikaondoka nae kwwnye mark x yangu mpaka pale lodge x

Nilikuwa na kibegi changu kilikuwa na milioni kadhaa Sasa bwana usiku Mzima Ulikuwa mizagamuano tu kwa kwenda mbele Sasa bwana nilikuwa na kinywaji cha Heineken tulikuwa tunakunywa mule chumbani Sasa nikapitiwa na usingizi nahisi yule dada Poa akanitilia dawa nikalala mazima mpaka Asubuhi kujisachi kwenye begi langu hamna hela hata kidogo Wakuu aisee sio Poa kabisa ila Uzuri pesa nyingine niliweka bank nikangekuwa fambwa ningepigwa pesa zote

Kweli nimeamini simba ni simba tu hata ageuke swala yeye ni simba tu NAJUTA.
Bado hujasema mpaka useme. Utalalaje na dada poa na hela ndani? Unatakiwa uwe na kiasi kamili mlichokubaliana nadba na chahe za emergency tena asizione. Nilishawahi kulala na mmoja trick niliyofanya alipoenda bafuni kuoga nikafunua godoro nikaipachika sehemu ambayo hata afanyeje asingeshtukia. Mfukoni ikabaki tulokubaliana nayo na elf 20 za ziada.
 
Bado hujasema mpaka useme. Utalalaje na dada poa na hela ndani? Unatakiwa uwe na kiasi kamili mlichokubaliana nadba na chahe za emergency tena asizione. Nilishawahi kulala na mmoja trick niliyofanya alipoenda bafuni kuoga nikafunua godoro nikaipachika sehemu ambayo hata afanyeje asingeshtukia. Mfukoni ikabaki tulokubaliana nayo na elf 20 za ziada.
So akakuibia elfu 20 siyo
 
Hii mambo nilikutana nayo hotel moja ipo Dar maeneo ya tip top jina limenitoka nilienda kumchakata mtoto mmoja wa geti kali jirani yangu akataka kiwanja cha mbali na asubuh mnapewa ofa ya break fast na ilikuwa bdo mpya kabisaa hyo hotel
Breakfast siyo offer, hotel ni bed and breakfast.

Unless una project zako five star hotel ndio unawaambia nahitaji bed tu wanaondoa breakfast unapata punguzo maana unaondoka hotelini asubuhi sana kabla ya muda wa breakfast.
 
Mmoja aliweka pesa ktk mkoba wa changudoa kisirisiri, demu usiku kaamka anaanza kusachi ili aibe aondoke, kakuta jamaa kalala fofofo, mabegi yake hayana hata mia.

Demu akaona huyu jamaa inamaana hata pesa ya kunilipa hana, itabidi amuamshe ili adai pesa usiku huo aone kama jamaa hana pesa ya kumlipa au kaficha wapi, jamaa alivyoamkq akamwambia demu lete mkoba wako, demu alijilaumu sana kukosa mapesa mengi vile, hakujua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu alicheza km Pelee, khaaaah
 
Pole chief inaonekana bado hujafikia level ya kuwa mndewa kwenye tasnia husika,

Miaka hiyo! Nikiwa bado kijana wa makamo nasoma (advance) mwanza wilaya X shule X, nilikua na desturi nikifika stend enzi hizo stend ipo nata magari yanaingia usiku nilikua naenda sehemu moja hivi inaitwa makoroboi nang'oa mchuchu.

Sasa basi siku hiyo tuliingia Na bus night kali, wakati huo kulikua na viroba vya konyagi nilianza kuvinyonya maeneo ya Tinde kwaiyo mpaka nafika mwanza town nilikua nimeanza kuwaka. nikachukua room alaf kama kawaida nikaenda zangu makoroboi nakachagua pisi moja nyeusi tii na imeenda hewani hivi, namkumbuka hadi leo yule mwanaharamu.

Kilichotokea huko room baada ya kumaliza kuchakata mbususu nilipitiwa na usingizi wa ajabu uliosababishwa na ulevi, uchovu wa safari na uchovu wa kushindana na nilipotoka.

Nilipoamka asubuhi yule binti hakuwepo,

Kilichoniuma zaidi ni yule mshenzi aliondoka na nauli ya kunifikisha shule, Pocket money pamoja na ada enzi hizo tunalipa cash kwa muhasibu, na mimi nilikua kiongozi wa dini pale shule hivyo nilikua na michango ya graduation ya shule nayo alipita nayo.

Toka hapo sikulala tena na mademu wa kuokota mpaka sahivi, hivyo ndugu yetu apo na yeye kapata funzo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikukomeshaaa!!!
 
Breakfast siyo offer, hotel ni bed and breakfast.

Unless una project zako five star hotel ndio unawaambia nahitaji bed tu wanaondoa breakfast unapata punguzo maana unaondoka hotelini asubuhi sana kabla ya muda wa breakfast.
Nimesema hivyo kwa maana niliambiwa kwa sasa hawatoi hiyo huduma so hata mim nkacomfirm pengne ilikuwa ni karibu wageni maana ilikuwa mpya ndiyo inafunguliwa
 
Swali ni moja tu unapata wapi ujasili wa kununua malaya?
 
Back
Top Bottom