Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
You will die poor.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wewe uliyerudisha simu ya Mjerumani akakulipia ada, akataka uende kwao ukakataa, ulipomaliza chuo wakakuunganisha kwenye shirika [emoji15]Fools still exists
Baada ya mzungu kurudishiwa bulungutu lake la pesa.....Ali m remark mama mmoja...... You will Die poorYou will die poor.
Ni kweli elfu4 ni ndogo ila ukweli ni kwamba hakuna aliyelazimishwaKama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Kwa kweli uwoga wao ndo umaskini wao. They will all (mama na jamaa) die poor.Baada ya mzungu kurudishiwa bulungutu lake la pesa.....Ali m remark mama mmoja...... You will Die poor
Bidhaa hamnunui afanyajeKama nafanya kwa Bakhresa yani nitazima na kumuhujumu bila huruma. Utalipaje vibarua elfu nne kwa siku? Na hukosi kuswali mara tano kwa siku?
Ingekua hivi zile cctv za pale kijiji cha wabunge ,lile tukio lingenaswa ndani ya cctv, mkuu hizi cctv zinawekwa na binadamu na ni binadamu anayejua pia the way kuizunguka, mfano magari mengi hasa SUV hapo SA yana systems nyingi za kiulinzi including camera, ila Zimbos anachukua 30s kuondoka nalo!Usijaribu hii kitu ndugu yangu, Camera zilizogungwa kiustadi kila kamera ina mlinzi wake so tangu unaisogelea ile ya awali kuipindisha tayari utakua umenaswa. Kuwa mwaminifu daima
Kwahyo saiv Unachomwa na jua ukiwa upande gan?Ilikuwa 2014 mgodini Bulyanhulu. Mimi nikiwa CCTV operator nilifuatwa na jamaa mmoja chamber akiniomba mida fulani ikitimia nizime camera ili wahujumu sehemu moja wapo ambayo ina hifadhi mali. Point zote walishakubali Mimi pekee ndiye nilikataa.
Jamaa walinimind sana na kusema wakinidaka mtaani nitaisoma. Yaani nilikuwa lofa sana kuipigania mali ya mzungu kwa malipo ya mshahara kiduchu. Jamaa waliweka advance ya sh. milioni 10 mezani nikaziogopa.
ashukuru bado anaishiKwahyo saiv Unachomwa na jua ukiwa upande gan?
Yeah ni kamba tu kama kamba zingine.Kwaiyo mjomba Hydoxo unataka kuniambia ihiii ni kamba kama kamba zingine....!!!