Najuta sana kuharibu ndoa ya huyu jamaa. Nitumie mbinu gani kumuomba msamaha?

Najuta sana kuharibu ndoa ya huyu jamaa. Nitumie mbinu gani kumuomba msamaha?

Acha ufala wewe unajutia nini bwana. Kuwa mwanaume kamili hapo hamna vha kujjtia. Wanawake ni wetu sote ulichofanya ni kitu normal kabisa ata mke wake nae anapenda kutaste mambo tofauti.
Kwanza huyo mume wake bwege tuu. Dunia ya sada hakuna mwanamke au mwanaume wako peke yako. Thats the harsh reality. Mzeya wee endelea na maisha na wala usiombe msamahaa
Duh wewe
 
Poleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi.kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart,so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale mahusiano yetu lkn hayakudumu tukashindwana.
Tukapotezana tena na baada ya karibu miaka 10 hivi tukaja kukutana tena yeye akiwa kaolewa na mimi nikiwa nimeoa.kwa maelezo yake ni kwamba ndoa yake ilikua iko vizuri tu na mume wake alikua anampenda na kumjali kwa kila kitu,nikamshawishi baadae tukaanza kucheat,kwa kweli huyu mwanamke nikaanza kumdatisha as najua madhaifu yake,tumecheat kwa karibu miaka mitatu bila kushtukiwa na yeyote.sasa recently jamaa yake nadhani akashtukia kitu akaanza kufanya ujasusi kimya kimya akakamata mawasliano yetu.akambana mkewe na mkewe akakiri kila kitu ,hivi tunavyozungumza jamaa kamfukuza mkewe nyumbani tangu January mwaka huu.jamaa pia kanicheck mimi kanipa vitisho vingi mwishowe akaniambia ameniachia huyo mke nimuoe.sijapata bado mawasliano ya huyu ex wife wake nijue ana hali gani kwa sasa but najisikia vibaya sana kuivuruga hii ndoa ya huyu jamaa wakuu.
Najua kuonana na jamaa ni ngumu sana as yanaweza kutokea madhara makubwa,but natamani sana kumuomba jamaa msamaha na aelewe jinsi gani najutia hiki nilichokifanya.
Je wakuu nitumie mbinu gani kumfikishia jamaa msamaha wangu?
Hayo uliyoafanya kwanza ni makosa ya kibinadamu.

Kitendo pekee cha kujuta kufanya kosa, ndivyo ustaarabu unavyoelekeza kufanya na Mungu anapenda.

Ungama na kujuta dhambi hiyo kwa Mungu, ndiye atakayekusamehe na kuendelea kukubariki, si binadamu.

Kusema uende kwa jamaa ukaombe msamaha, hilo jambo halifai maana jamaa ataona hiyo ni gia ya kumpoza, ndipo ghadhabu na hasira zake zitapanda maradufu.

Hakikisha unapomuungamia Mungu wako, hilo jambo usilirudie kamwe, si kwa hao tu, bali kuingilia ndoa yoyote usije kufanya tena.

Mambo ya hawara yako na ndoa yake, wala usisumbuke kuvifuatilia, iachie dunia itaamua mustakabali wao, wewe endelea na mambo yako mengine.
 
Hayo uliyoafanya kwanza ni makosa ya kibinadamu.

Kitendo pekee cha kujuta kufanya kosa, ndivyo ustaarabu unavyoelekeza kufanya na Mungu anapenda.

Ungama na kujuta dhambi hiyo kwa Mungu, ndiye atakayekusamehe na kuendelea kukubariki, si binadamu.

Kusema uende kwa jamaa ukaombe msamaha, hilo jambo halifai maana jamaa ataona hiyo ni gia ya kumpoza, ndipo ghadhabu na hasira zake zitapanda maradufu.

Hakikisha unapomuungamia Mungu wako, hilo jambo usilirudie kamwe, si kwa hao tu, bali kuingilia ndoa yoyote usije kufanya tena.

Mambo ya hawara yako na ndoa yake, wala usisumbuke kuvifuatilia, iachie dunia itaamua mustakabali wao, wewe endelea na mambo yako mengine.
Nashukuru kwa nasaha zako mkuu..nimeuchukua huu ushauri wako
 
Hizi comments za humu zinafurahisha sana. Eti wanaume wote walio comment hapa kasoro mzabzab hawajawahi kabisa kula mke wa mtu, leo wana mkana mwenzao. Maajabu haya

Kama ni wasaliti na wana comment hivyo; then kwa mtu mmoja mmoja mwenye Tabia hiyo anatakiwa ajue kwamba ni hatari sana na hata wanaofanya hivyo sio jambo wanalolifurahia!
 
Acha kulalamika mwamba kakuachia umuoe maana kaona mnaiba iba sasa ndo muda wenu wa kufaidi mapenzi kwa raha zenu.
Wanawake huwa hawajifunzi, mwanaume atakupenda ukiwa kwenye ndoa yako ukiachika hata yeye hakutaki tena.
Kama amem-cheat mumewe tafsiri yake ataku-cheat na wewe. Mwanaume gani anayajielewa yupo tayari kuoa malaya? 😂
 
Hizi comments za humu zinafurahisha sana. Eti wanaume wote walio comment hapa kasoro mzabzab hawajawahi kabisa kula mke wa mtu, leo wana mkana mwenzao. Maajabu haya
The issue kwangu mie ni kwamba ushakula mke wa mtu, ameshaachika eti anajifanya anajutia mara anasema namba ya yule mwanamke hana. So angekuwa nayo inhekuwaje? He is not sorried for what he did kula tunakulaga lakini haya majanga ayakitokea unapaswa kuwajibika . Sasa anataka kuomba msamaha wa nini jamaa keshamuambia amuie yeye so its for him to decide sio kujifanya anajutia wakati anajua umalaya waliokuwa wqnaufanya. Take responsibility na ashukuru hajaliwa .
 
The issue kwangu mie ni kwamba ushakula mke wa mtu, ameshaachika eti anajifanya anajutia mara anasema namba ya yule mwanamke hana. So angekuwa nayo inhekuwaje? He is not sorried for what he did kula tunakulaga lakini haya majanga ayakitokea unapaswa kuwajibika . Sasa anataka kuomba msamaha wa nini jamaa keshamuambia amuie yeye so its for him to decide sio kujifanya anajutia wakati anajua umalaya waliokuwa wqnaufanya. Take responsibility na ashukuru hajaliwa .
Ni kawaida kujuta baada ya madhara kutokea.
 
Jamaa kafanya jambo la maana sana huwezi kaa na mke msaliti.
Kwa kweli inauma sana kuharibu maisha ya watu angalia watoto wa huyo dada hapo wataishi maisha ya shida kisa nyege zako za muda.
Halafu bado kila siku mnashinda visiting na makanisani,kusali ujinga.
 
Back
Top Bottom