Najuta sana kuharibu ndoa ya huyu jamaa. Nitumie mbinu gani kumuomba msamaha?

Najuta sana kuharibu ndoa ya huyu jamaa. Nitumie mbinu gani kumuomba msamaha?

Na wao wanafanya ila wanawaza hawatashikwa. Ila kwenye jumbe na majadiliano Kama haya huwa watu wanabadilika!
Watu hawajawahi kubadilika...hii story itamtisha kidogo kwa siku mbili tatu baada ya wiki kashasahau anadunda mule mule. Ndivyo binadamu tulivyo.
 
Poleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi.kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart,so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale mahusiano yetu lkn hayakudumu tukashindwana.
Tukapotezana tena na baada ya karibu miaka 10 hivi tukaja kukutana tena yeye akiwa kaolewa na mimi nikiwa nimeoa.kwa maelezo yake ni kwamba ndoa yake ilikua iko vizuri tu na mume wake alikua anampenda na kumjali kwa kila kitu,nikamshawishi baadae tukaanza kucheat,kwa kweli huyu mwanamke nikaanza kumdatisha as najua madhaifu yake,tumecheat kwa karibu miaka mitatu bila kushtukiwa na yeyote.sasa recently jamaa yake nadhani akashtukia kitu akaanza kufanya ujasusi kimya kimya akakamata mawasliano yetu.akambana mkewe na mkewe akakiri kila kitu ,hivi tunavyozungumza jamaa kamfukuza mkewe nyumbani tangu January mwaka huu.jamaa pia kanicheck mimi kanipa vitisho vingi mwishowe akaniambia ameniachia huyo mke nimuoe.sijapata bado mawasliano ya huyu ex wife wake nijue ana hali gani kwa sasa but najisikia vibaya sana kuivuruga hii ndoa ya huyu jamaa wakuu.
Najua kuonana na jamaa ni ngumu sana as yanaweza kutokea madhara makubwa,but natamani sana kumuomba jamaa msamaha na aelewe jinsi gani najutia hiki nilichokifanya.
Je wakuu nitumie mbinu gani kumfikishia jamaa msamaha wangu?
unajuta wapi wewe , miaka 3 yote hukujua ulichokua unafanya dawa yako itakufikia utakoma na uache unaa na wako nae akiliwa unaenjoy sio
 
Wale watu kwenye maandiko walimpelekea Yesu mwanamke mzinzi wakitaka Yesu awaunge mkono kumpiga mawe,

Lakini Cha ajabu hawakuja na mwanaume aliyelala naye 😀😀
 
Watu hawajawahi kubadilika...hii story itamtisha kidogo kwa siku mbili tatu baada ya wiki kashasahau anadunda mule mule. Ndivyo binadamu tulivyo.

Inasikitisha; Hauamini kabisa kwa Msaliti kubadilika? Unaamini pakitulia ataendelea?
 
Duh nimefurahishwa na comment nyingi humu
Wanawake wajue kwamba hata Kama mwanaume anacheat na wewe Ila hapendi mwanamke anayecheat
Ukiwa unacheat lazima ujiandae kisaikolojia kuwa hapa ikijulikana uwezekano wa kuachwa/kuuliwa ni asilimia 99. Wanawake wengi wanaocheat wameshajiandaa kwa hilo, ambae hajajiandaa ana matatizo ya akili.
Binafsi siwezi cheat kama bado namuhitaji sana huyo mtu niliye nae.
 
Acha ufala wewe unajutia nini bwana. Kuwa mwanaume kamili hapo hamna vha kujjtia. Wanawake ni wetu sote ulichofanya ni kitu normal kabisa ata mke wake nae anapenda kutaste mambo tofauti.
Kwanza huyo mume wake bwege tuu. Dunia ya sada hakuna mwanamke au mwanaume wako peke yako. Thats the harsh reality. Mzeya wee endelea na maisha na wala usiombe msamahaa
Dah!...we jamaa una mrengo mkali sana wa kihafidhina kwenye mahusiano.
 
Hayo uliyoafanya kwanza ni makosa ya kibinadamu.

Kitendo pekee cha kujuta kufanya kosa, ndivyo ustaarabu unavyoelekeza kufanya na Mungu anapenda.

Ungama na kujuta dhambi hiyo kwa Mungu, ndiye atakayekusamehe na kuendelea kukubariki, si binadamu.

Kusema uende kwa jamaa ukaombe msamaha, hilo jambo halifai maana jamaa ataona hiyo ni gia ya kumpoza, ndipo ghadhabu na hasira zake zitapanda maradufu.

Hakikisha unapomuungamia Mungu wako, hilo jambo usilirudie kamwe, si kwa hao tu, bali kuingilia ndoa yoyote usije kufanya tena.

Mambo ya hawara yako na ndoa yake, wala usisumbuke kuvifuatilia, iachie dunia itaamua mustakabali wao, wewe endelea na mambo yako mengine.
Maungamo yana malipizi yake - kuwajibikia uovu wako.

Mungu aliwasamehe Adam na Eva, lakini aliwafukuza Eden na mpaka leo vizazi vyao tunarithi matokeo ya matendo yao.

Daudi alisamehewa na Mungu baada ya kumla mke wa Urio, lakini laana ilienda mpaka kwa vizazi vyake.

Mifano ni mingi.

Kujutia kwake:
  • Hakutabadili fact kuwa amemtombea jamaa
  • Hakutabadili fact ya kuharibu ndoa ya jamaa
  • Hakutarudisha imani ya jamaa kwa mkewe, n.k.

Awajibike.
 
Inasikitisha; Hauamini kabisa kwa Msaliti kubadilika? Unaamini pakitulia ataendelea?
Wapo wanaobadilika lakini ni wachache. Na hii story inaweza isimbadilishe mtu yoyote...na kuna mtu humu aliyecomment baadae anaenda kumla mke wa mtu
 
Dah!...we jamaa una mrengo mkali sana wa kihafidhina kwenye mahusiano.
Ni suala la kukubaliana na reality on the ground mzeya. Wake zetu wanagegedwa huko maofisini ni mwendo wa kushare tuu hizi mbususu. I am totaly against the falacy ya kwamba mwanamke hana matamanio ya kuonja de liboloz tofauti tofajti kama zie wanaume tunavyopenda kuonja mbusush tofauti tofauti. Huo ni ubinadamu na tuishi nao.

Furthermore...mtu anagegeda mke wa mtu kwa miaka mitatu alafu akishikwa ndio anasema anataka kuomba msamaa....we can not and should not accept such lame excuses
 
Hizi comments za humu zinafurahisha sana. Eti wanaume wote walio comment hapa kasoro mzabzab hawajawahi kabisa kula mke wa mtu, leo wana mkana mwenzao. Maajabu haya
Umeona tulivyokuwa wanafiki. Mie ndio haya mambo ya ayonikera sometimes kuhusu sie wanaume.
Wee mke wa mtu akijilengesha mgegede bwana sii ndio anachokitaka na mnaenjoy wote.
Alafu ufala wa kumlawiti mwanaume mwenzio eti kisa mmeo kampa mbususu bila kubakwa ndio upuuzi katika upuizi wote duniani.

Anyways vipi mrembo. Sii tunakuta pale baadae nile tamuu ya mumeo😜
 
Umeona tulivyokuwa wanafiki. Mie ndio haya mambo ya ayonikera sometimes kuhusu sie wanaume.
Wee mke wa mtu akijilengesha mgegede bwana sii ndio anachokitaka na mnaenjoy wote.
Alafu ufala wa kumlawiti mwanaume mwenzio eti kisa mmeo kampa mbususu bila kubakwa ndio upuuzi katika upuizi wote duniani.

Anyways vipi mrembo. Sii tunakuta pale baadae nile tamuu ya mumeo😜
Hebu nipishe...
 
Poleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi.kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart,so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale mahusiano yetu lkn hayakudumu tukashindwana.
Tukapotezana tena na baada ya karibu miaka 10 hivi tukaja kukutana tena yeye akiwa kaolewa na mimi nikiwa nimeoa.kwa maelezo yake ni kwamba ndoa yake ilikua iko vizuri tu na mume wake alikua anampenda na kumjali kwa kila kitu,nikamshawishi baadae tukaanza kucheat,kwa kweli huyu mwanamke nikaanza kumdatisha as najua madhaifu yake,tumecheat kwa karibu miaka mitatu bila kushtukiwa na yeyote.sasa recently jamaa yake nadhani akashtukia kitu akaanza kufanya ujasusi kimya kimya akakamata mawasliano yetu.akambana mkewe na mkewe akakiri kila kitu ,hivi tunavyozungumza jamaa kamfukuza mkewe nyumbani tangu January mwaka huu.jamaa pia kanicheck mimi kanipa vitisho vingi mwishowe akaniambia ameniachia huyo mke nimuoe.sijapata bado mawasliano ya huyu ex wife wake nijue ana hali gani kwa sasa but najisikia vibaya sana kuivuruga hii ndoa ya huyu jamaa wakuu.
Najua kuonana na jamaa ni ngumu sana as yanaweza kutokea madhara makubwa,but natamani sana kumuomba jamaa msamaha na aelewe jinsi gani najutia hiki nilichokifanya.
Je wakuu nitumie mbinu gani kumfikishia jamaa msamaha wangu?
Mwanaume kusamehe kwa hayo mambo hua ni ngumu

Muoe huyo ex wife uendelee nae mliyokua mnayafanya
 
Ni kawaida kujuta baada ya madhara kutokea.
Ndio ajute na kukaa kwa password mwanamke kamkalia kimya hapo ina maana amesharealize nani wa muhimu kwake. Huyu ameona hatafutwi so ule usweetheart aliokuwa anausema akijiona yeye ndio mwamba anaona tofauti sasa. Ukweli ndio huu na ndio inayomuumiza we unadhani huyo mwanamke angekuwa anamtafuta huyu jamaa angekuja kujiliza huku? Si ndio angekuwa anajiona mwamba na amepata ya burebure kabisa maana sio wa kuia na amemkubali jamaa??
 
Back
Top Bottom