Ndio ukweli huwezi sema wajutia wakati miaka 3 ulikuwa waenjoy mbushsu na tena mbushsu za mke wa mtu zilivyo tamuuu....anakususia yoteeeeDuh wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ukweli huwezi sema wajutia wakati miaka 3 ulikuwa waenjoy mbushsu na tena mbushsu za mke wa mtu zilivyo tamuuu....anakususia yoteeeeDuh wewe
Njoo bby jamani leo ubadilishe ladha upate kibamia baadala ya bilinganya.Hebu nipishe...
Hasira nyingi sana mzee [emoji23][emoji23] na wewe umeumizwa?Ndio umuoe sasa huyo childhood sweetheart wako mbwa wewe. Tena shukuru Mungu mpaka sasa hujachanwa marinda. Mshukuru sana huyo jamaa wala usimtafute kuna hasira huwa zinarudi akaamua kukula kavukavu. Mshahara wa dhambi ni mauti nenda katubu kanisani au msikitini huyo mwanamke kamuoe sasa ndio umle vizuri sweetheart wako maana nae katimuliwa ameona wewe ni nuksi hajakutafuta mpaka sasa ndio ujue anajutia ujinga wake kujifanya childhood sweetheart upulusi tu.
Kuna ule msemo unasema malipo ni hapahapa dunianiPoleni na msiba wa kariakoo watanzania wenzangu.
Issue yangu iko hivi.kuna mwanamke ni rika langu tumekua nae toka utotoni huko kwa kifupi alikua ni my childhood sweetheart,so ktk harakati za maisha tukajikuta tumepotezana.tumekuja kukutana ukubwani tukiwa chuo kikuu tukayaendeleza yale mahusiano yetu lkn hayakudumu tukashindwana.
Tukapotezana tena na baada ya karibu miaka 10 hivi tukaja kukutana tena yeye akiwa kaolewa na mimi nikiwa nimeoa.kwa maelezo yake ni kwamba ndoa yake ilikua iko vizuri tu na mume wake alikua anampenda na kumjali kwa kila kitu,nikamshawishi baadae tukaanza kucheat,kwa kweli huyu mwanamke nikaanza kumdatisha as najua madhaifu yake,tumecheat kwa karibu miaka mitatu bila kushtukiwa na yeyote.sasa recently jamaa yake nadhani akashtukia kitu akaanza kufanya ujasusi kimya kimya akakamata mawasliano yetu.akambana mkewe na mkewe akakiri kila kitu ,hivi tunavyozungumza jamaa kamfukuza mkewe nyumbani tangu January mwaka huu.jamaa pia kanicheck mimi kanipa vitisho vingi mwishowe akaniambia ameniachia huyo mke nimuoe.sijapata bado mawasliano ya huyu ex wife wake nijue ana hali gani kwa sasa but najisikia vibaya sana kuivuruga hii ndoa ya huyu jamaa wakuu.
Najua kuonana na jamaa ni ngumu sana as yanaweza kutokea madhara makubwa,but natamani sana kumuomba jamaa msamaha na aelewe jinsi gani najutia hiki nilichokifanya.
Je wakuu nitumie mbinu gani kumfikishia jamaa msamaha wangu?
Mkuu wewe umepata kiasi gani ili tujifunze kabla ya kwenda hukuHii link itakupeleka kwenye tovuti ya payout. Bonyeza jisajiri uanze kutengeneza pesa mpaka 500$ usipuuze ni kweli PartTime Monthly - Make 3000 Bucks Monthly and Get Paid On-Time tengeneza pesa bila mtaji
Alafu eti namba ya x wake hana!! Inafikirisha hiiThe issue kwangu mie ni kwamba ushakula mke wa mtu, ameshaachika eti anajifanya anajutia mara anasema namba ya yule mwanamke hana. So angekuwa nayo inhekuwaje? He is not sorried for what he did kula tunakulaga lakini haya majanga ayakitokea unapaswa kuwajibika . Sasa anataka kuomba msamaha wa nini jamaa keshamuambia amuie yeye so its for him to decide sio kujifanya anajutia wakati anajua umalaya waliokuwa wqnaufanya. Take responsibility na ashukuru hajaliwa .
Mwanaume mwenye si ndio huyu [emoji23][emoji23][emoji23] wamejilekebisha sasa, saaii wamemtangulizaWale watu kwenye maandiko walimpelekea Yesu mwanamke mzinzi wakitaka Yesu awaunge mkono kumpiga mawe,
Lakini Cha ajabu hawakuja na mwanaume aliyelala naye [emoji3][emoji3]
Wewe si ni single Mather njoo tuishi hapaUkiwa unacheat lazima ujiandae kisaikolojia kuwa hapa ikijulikana uwezekano wa kuachwa/kuuliwa ni asilimia 99. Wanawake wengi wanaocheat wameshajiandaa kwa hilo, ambae hajajiandaa ana matatizo ya akili.
Binafsi siwezi cheat kama bado namuhitaji sana huyo mtu niliye nae.
Hata hapa naishiWewe si ni single Mather njoo tuishi hapa
Wapo wanaobadilika lakini ni wachache. Na hii story inaweza isimbadilishe mtu yoyote...na kuna mtu humu aliyecomment baadae anaenda kumla mke wa mtu
Unaishi unalala peke yako kama kambale njoo tuishi kama pelege [emoji23][emoji23][emoji23]Hata hapa naishi
Watu mna vituko.Umeongea point. Jamaa fala nini. Tena happo yeye ndio anatakiwa aisasambue mbususu ya huyo mrembo kwa raha zote.
Sii jamaa kasusa yeye anendelee kula manzi huyo vizuri kabika