General Nguli
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 1,190
- 2,508
- Thread starter
- #61
Dah acha baba...Tangu nizaliwe sikuwahi kuwa na Msongo wa mawazo kiwango hikiGeneral.. Umeng'atwa na mbuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah acha baba...Tangu nizaliwe sikuwahi kuwa na Msongo wa mawazo kiwango hikiGeneral.. Umeng'atwa na mbuzi.
😂😂😂😂😂Ahahahahh watu wa Facebook mna mambo
😂😂😂😂Mwanamke alitepoteza marinda Mara chache San kutulia kwenye ndoa
Pesa ukishaishika mkononi unafanya lolote hata ukitaka kuoa wake watatu kwa mpigo unaoa Pesa ipo sasa subiri Pesa iishe hakuna rangi utaacha kuionaUpwiru 😃😃🤣🤣🤣,, famchezo nini
Acha tuungane aseeHivi huwa mnaoa ili KUTAFUTA NINI?
#YNWA
Wanao ili kuushinda upwiruHivi huwa mnaoa ili KUTAFUTA NINI?
#YNWA
🤣🤣🤣🤣🤣Pesa ukishaishika mkononi unafanya lolote hata ukitaka kuoa wake watatu kwa mpigo unaoa Pesa ipo sasa subiri Pesa iishe hakuna rangi utaacha kuiona
✍️
Kweli nakumbia mkuu wee chunguza huwezi kupotezaa marinda alfu ukabaki ktk ndoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asante kakaKweli nakumbia mkuu wee chunguza huwezi kupotezaa marinda alfu ukabaki ktk ndoa
Mshukuru sna mungu Kama mwanmke ameondokaa kwako
Potelea mbali age siyo sababu
Kwakweli inaweza kua sababu pia😃Pesa ukishaishika mkononi unafanya lolote hata ukitaka kuoa wake watatu kwa mpigo unaoa Pesa ipo sasa subiri Pesa iishe hakuna rangi utaacha kuiona
✍️
Mwamba pia mwanamama alifosi sanaaKwamba ukaoa baada ya miezi mitatu .
Kweli wewe mwamba.
Ndio hivyo mahitaji yakizidi vicoba haviishi ulikua unatumia 200,000/- kwa mwezi kipindi upo bachela mara paap umeongeza jiko ndani sasa kwa mwezi unapukutisha 700,000/- mpaka 1,000,000/- mtu anachanga vicoba kila siku kichwa lazima kiwake MotoKwakweli inaweza kua sababu pia😃
Bora amestuka,, hajachelewa sana badoNdio hivyo mahitaji yakizidi vicoba haviishi ulikua unatumia 200,000/- kwa mwezi kipindi upo bachela mara paap umeongeza jiko ndani sasa kwa mwezi unapukutisha 700,000/- mpaka 1,000,000/- mtu anachanga vicoba kila siku kichwa lazima kiwake Moto
✍️
shida ni yeye mwenyewe kwani alikuwa anaharakisha nini? Pengine hata hawakuwashirikisha wazee.Sasa unailaumu Facebook kweli?
Hapo shida ni huyo demu wako tu. Unahisi hata ungekutana nae kanisani huyo demu baada ya kupoteana asingekupelekesha?
Ha ha ha Huwa wanafosi hivyo hivyo.Mwamba pia mwanamama alifosi sanaa
Wakuu sio poashida ni yeye mwenyewe kwani alikuwa anaharakisha nini? Pengine hata hawakuwashirikisha wazee.