Elections 2010 Nakaaya arudisha kadi ya CHADEMA

Akichanganya na za kuvua nanihii, labda zitakuwa nyingi kidogo..........lakini ataweza kwenda kubadilisha damu kila mara kama mwenzake?

Bigirita: Ebu fafanua zaidi hapo maneno ambayo nimeweka rangi nyekundu!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mungu wangu Sipati picha kabisaaaaaaaaaa..............
 
Mi nadhani wangedai hela zao mapema kabla ya mwisho wa kampeni, wasije wakajuta huko mbele.........................
I am just trying to think, if kwenye uchaguzi MZEE akatoswa................., kweli hela itatoka?
Chukua Chako Mapema; si ndo slogan yao?
 
Jamani Nakaaya ametumia haki yake kama mtanzania. Tumwache aende!!

Mi sishangai maana niliyoyaona kwa wanafunzi wa UDOM ni mabaya zaidi!! Hii ni kama MV MAPENZI. Nahodha kachupa baharini sisi safari inaendela!!!:horn:
 

Ningeshukuru Kama mngenipa mwanga wa kunionyesha kile alichofanya hadi kuonekana mtu wa maana sana au wa hadhi ya aina yake.
 
Njaa jamani akale wapi?
Atleast she has shown her true colours
 
Hata wakati wa ukoloni walikuwepo Watanzania waliowavi=unja moyo watanzania wenzao ktk mapambano ua UHURU
Pole Nakaaya kwa kujiunga kwenye msafara wa MAMBA
 
Nadhani ameahidiwa kuwa meneja wa ule mradi wa mastering studio ya wasanii wa shs milion hamsini
 
Humjui huyo jamaa? huwa ni mkurupukaji na mropokaji na mdini

Mchungaji sasa mbona tunakoseana heshima. Sasa huo udini wangu umetoka wapi? And I apologize kama unaona naropoka. I try to be objective. And in that lens, mie naona chama cha demokrasia na maendeleo hakina watendaji ambao wako serious. And have incompetence across the board.
 
A beg a beg a geg....Nakaaya ni msomi? Kasoma wapi?

Selemani umekurupuka...au kujua kusoma na kuandika kiingereza ni usomi???

Haya basi mdau, nimekosea. Nakaaya hana usomi wowote. Hoja ya msingi inabaki pale pale.

So, Rais Dr. Slaa, Makamu wa Rais Said Mzee Said, and Waziri Mkuu DJ Mbowe. Hamko serious nyie. Mtapiga makelele humu ndani, lakini watu wenye busara na upeo wa kuona mbali hawawapi kura wala nchi. When you become serious, tutawapa kura. Mnatuwekea wagombea mamluki, mnachukua vibaraka wa CCM (Shibuda kamchangia Kikwete laki 2 majuzi tu hapa, leo mnamuona mkombozi wenu), mnachagua mgombea mwenza mchovu, mnapoteza muda kuongelea Mama Salma na Kinana badala ya kutuambia mtatoa vipi nchi kwenye umasikini. Vijana (Nakaaya) wameingia Chadema wakaona uozo wameondoka.

Jipangeni, mkiwa serious tutawapa nchi.
 

Sele

Remove lids from your eyes! Be objective. Got brains sawa?
 
ndio hivyo kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo, mapinduzi kazi ngumu wengi wanayakimbia
 
Nakaaya nje. CHADEMA inaendelea....
 
Sishangai kwa Huyo binti kuhamia ccm, Mwaka jana nilikutana nae nje ya tz. she is not as most of us think she is 'mentally'! Thanks to the guidences she is getting from her family, definetly angegombea kwenye jimbo langu nisinge mchagua. Kwa ustawi wa Chadema nawapa hongera. Unaweza imba wimbo 'Sofia si.. anakuzimia' na watu wakakuona upo ndani ya penzi kweli kumbe wimbo tu tena umetungiwa. Hongera Nakaaya
 

Mchungaji i can feel SADNESS Between your lines.. nikama unampa farewell speech.. bado muna mpenda na kumthamini !! yaani nikama chadema alikuwa undergraduate kaja ndani ya chama cha mapinduzi kufanya postgraduate !! Inshallah atafanya vizuri sana na atakuwa mwanafunzi mwema kwani naamini chadema kulikuwa na walimu wazuri!:becky:
 

Duu hujamsoma mchungaji! Haya mkuu kanyaga twende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…