Elections 2010 Nakaaya arudisha kadi ya CHADEMA

Huyu jamaa wa CCJ inaonekana njaa inamsumbua, nadhani hata hilo koti kaazima kwa John Komba maana limemvaa- siyo saizi yake. Ni kipindi kifupi mno kwa mtu kuhama hama vyama. Aliona akatafutie umaarufu CCJ kisha adandie CCM. Hawatampa kitu zaidi wata mu-enjoy kwani CCM ina wenyewe. Tuna hitaji wazalendo wa kweli siyo watu wanao endekeza njaa zao. Tanzania Kwanza.
 
maweee, hii ni kweli? basi hapo hamna kitu tuna boya tu, yaani kama uwanjani tunasema goli halina golikipa ila kuna jezi tu, anyway ndiyo bye bye tena atakumbuka historia tu
 
Binafsi si mshabiki wala mwanachama wa chama chochote kile.Lakini ninavyoona hii thread inaonyesha wazi kuwa huyo mtu ni influential na ndio maana hata hapa mmechukua muda mrefu kumjadili .Kama Paka mweusi ndio angekuwa kaenda CCM wala msingejisumbua hata kuweka thread hapa.Hivyo kwa mtazamo wangu nawaomba Chadema nao watafute njia au propaganda yoyote kujibu mapigo jukwaani kama walivyofanya wao.Maana hapa tatizo si kuwashawishi wakereketwa wa vyama bali ni kuvuta hisia na mawazo ya watanzania ambao si wanachama wa vyama vya siasa na wale ambao hawajajua bado watamchagua nani.
 
umekosea. Kinajadiliwa kinachomhusu na wala si yeye
 
kaka SUGU endelea kuwakimbiza huko Mbeya.Lazima WAKAE mwaka huu.
 
amelamba matapishi yake...soma hii kutoka kwenye blog yake
Its been a min since i posted something fresh. i have just been swamped with all kinds of activities. In short, i have been on the hustle.

Over the weekend niliwaita waandishi wa vyombo vya habari mbali mbali. Nia yangu ya kuwaita... ni kuwatangazia watanzania wenzangu kuwa nimejiunga rasmi na chama cha demokrasia na maendeleo (chadema).Uamuzi wangu umefuatia muda mrefu wa kuangalia vyama vyetu tofauti tofauti na i decided that chadema was best for me. Ni chama cha vijana shupavu na jasiri. wana ndoto zinazoendana na za kwango. Most of all, they have real passion. Something i have not seen in other parties.

I have realized i need to start practicing what i preach. One very wise man said 'BE THE CHANGE YOU WANT TO SEE' Haileti maana kabisa sisi kama watanzania waliopevuka kunyamaza au kutofanya chochote kuhusu haya matatizo tunayoyapitia. Je, wewe unaona sawa wanawake wajawazito kujifungulia chini? unaona sawa wagonjwa kushare vitanda? Unaona ni haki kupewa maji au umeme watapojiskia sababu ya wananunua mashine feki?

Kwa kweli nimechoka kufanywa mpumbavu.Wewe je? Haiwezekali Tanzania ikawa na rasilimali nyingi kiasi hichi na bado watu wanasota hivi jamani!Eti katika nchi masikini duniani, na sisi tupo!! Wanaokaa arusha, jaribu kupitia pale mount meru hsp ujionee maajabu. au wa moshi, katiza pale KCMC emergency room uone Tanzania tunakoelekea. Pia pitia wodi za akina mama uone dharau wanawake tunaopewa. Have you forgotten kwamba WE ARE THE BACKBONE OF THIS NATION? Tupo sehemu ya kusikitisha sana. Its time to RISE!

Ni aibu kwetu sisi kufumba masikio, na kusema hatutahusika na siasa. hatuta piga kura wala kuwa na chama. AMKENI!!! Enyi vijana, huu ndio muda wa kufuta wizi wa mali zetu. Sisi sio masikini. Sisi ni matajiri. Na mkicheza tena mwaka huu, mtapewa dozi kali kuliko iliyotokea hii miaka mitano chama tawala iliyotupa. Nyerere once described Tanzania as a country "stinking with corruption."

"Corruption in Tanzania has no bounds. Every country I visit they talk about corruption in Tanzania. Tanzania is stinking with corruption," Nyerere told journalists gathered at the Tanzania Press Club.

Referring to a tax fraud in the country that recently led to aid suspension by donor countries and organizations, Nyerere declared: "This was one quality of corruption."

"Any government that works for the wealthy does not collect tax, it chooses to harass small-time dealers," Nyerere charged. Je hamuoni haya mambo yanayofanywa na chama cha mafisadi yalishatabiriwa na Baba wa Taifa? Hicho chama sio cha mwananchi wa kawaida ndugu zangu, ni cha walionazo na wanaotaka kuzidi kutumaliza. Tunachohitaji, watanzania wenzangu, vijana wenzangu na wanawake wenzangu ni MATUMAINI na HAKI. Tumekuwa tukikatishwa tamaa kwa muda mrefu sana.Naona mwanga- CHADEMA. Napenda kuwahisi na nyie kujiunga na hichi chama chenye mwelekeo. Hebu tupiganie mabadiliko yetu wenyewe ndugu zangu. Tuchukue hatua kwa namna yoyote ile, tupate haki zetu.

Tukiuliza maswali sahihi, na kwa nia thabiti nina imani tutapata majibu tunayostahili na sio kuyeyushwa tunavyoyeyushwa.

Kuwa mabadiliko unayotaka kuyaona.

The harder the battle, the sweeter the victory!

I AM THE DAUGHTER OF NYERERE! And if he was alive today- trust me...angekuwa CHADEMA.
 
Kama sikosei ni mwezi mmoja uliopita alikabidhiwa kadi ya Uanachama wa CHADEMA now kajiunga na CCM; Tatizo ni Pesa nje nje CCM nadhani alipata record label SONNY ilienda wapi? Sasa kama kila mtu atakimbilia CCM kwa mali na kutajirika kwa milango ya nyuma Tanganyika itajengwa na nani? wote inaonekana hatuna moyo wa nchi yetu, tutabaki kuuza nchi yetu na madini yetu.
 
kazi kweli kweli mmefuta tena post yangu MOD please rudisha post zangu mbili
 
Hii kuhama chama inaweza hata kumnyang'anya washabiki wa muziki wake. Labda awe ameamua kufanya siasa kazi na ahadi ya uDC


Maangalizo mengine banaaa!!!! Watakaomuhama sio wapenzi wa muziki, bali ni wapenzi wa CHADEMA ambao waliupenda muziki wake kv alikuwa CHADEMA!!
 
]umekosea[/COLOR]. Kinajadiliwa kinachomhusu na wala si yeye



Umenielewa lakini nilichoandika?Usiseme tu kuwa nimekosea, mambo mnayoyaona madogo kama hayo ndio yanaweza sababisha mkakosa ushindi msione tu kuwa mnajaza watu mikutanoni mkajipa 100% ya ushindi bali rudieni somo la mzee Lyatonga-1995,na watu mnaowaona wadogo kama hao ndio wenye ushawishi mkubwa kwa ngazi ya chini.
 
Mimi nawasiwasi huyu binti kura jinsi atakavyo piga moyoni mwake kura atampa SLAA and that what she gonna cast her vote.

Sometime people get the offer which they cant refuse,refer "the God father movie"
 
Nakaaya aota magamba sugu ndani ya Chama cha Masharobaro.
Maana hasikiki na hata viti maalum alivyokuwa akivitarajia amevikosa.
 
Atii nini chama kisichojali masalahi ya taifa zaidi ya uvunjaji wa sheria.Upinzani si kuuana ni kuwa na chaguo ni vipi tuendeleze nchi yetu.CDM imefanya upinzani ni kuuana kwa sababu uchoyo wa viongozi wao wa ngazi za juu ambao ni wachoyo na wanachotaka ni kuingia Ikulu ili kupooza kiu chao.
 
Kweli mkuu,nakumbuka 1995 mnazi mmoja alipopanda jukwaani na kumwaga verse ya "mmachinga anasota,huku gabac**ri ankunywa juice!"...loong time.
 
Nakaaya Sumari amerudisha kadi ya Chadema jioni ya leo na kumkabidhi JK kwenye mkutano wake ulio fanyika leo mkoani Arusha, JK amempongeza sana kwa kitendo hicho na kumwambia karibu mama CCM ndicho chama pekee Tanzania.[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…