Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BHANGI. umempotosha.Vuta bangi humo ndani, Oga na maji ya chumvi bila kuacha. Yaani iwe sehemu ya maisha yako.
Nani kakuambia jini au pepo anaogopa bangi au kitimoto mengine hadi hivyo yanagonga bangi na kitimoto kama kawaidaFua mashuka
Usile sana usiku
Usilalie upande wa kushoto
Acha kuangalia movie za kutisha usiku
Lala na demu usiku
Vuta bangi ikibidi
Kula kitimoto
Mwenye nyumba kaweka mambo Ili wapangaji wawe wanahama wenyeweNitafanyaje sasa mkuu nishaamua kuachana nalo kulalake zake, Yani sometimes ni kama nakuwa macho ila siwezi kufanya kitu yoyote zaidi ya kujitahidi kutumbua mimacho. Ila kwangu nadhani tatizo ni hii nyumba ninayoishi coz nikilala sehemu tofauti sikutani na huu ujinga.
Ni kazi bure.Fua mashuka
Usile sana usiku
Usilalie upande wa kushoto
Acha kuangalia movie za kutisha usiku
Lala na demu usiku
Vuta bangi ikibidi
Kula kitimoto
Mwenye nyumba kaweka mambo Ili wapangaji wawe wanahama wenyewe
Yaani macho haya wacha nifungue Uzi chap hahahahahàhNikajua unabakwa kila siku usiku nikupe ushauri. Kumbe unakabwa dah! Nitarudi subiri kidogo
ZERO STOP
Yafukuze yaende kwa wenyewe.Hamna ni nyumba ya serikali nadhani kwa sababu wanapita watu wengi sana labda Kuna wengine Wanakuwa na mambo za kiganga coz humu maofisini Nako full kurogana tu asee mpaka jau.
Here comes the real issue.hakuna uganga wala uloziPole sana; hiyo kitu inaitwa sleep paralysis: kama cha malkia kinapanda kule Google kuna shule za kutosha; sio vibwengo wala nini.
Duh!!...Vuta bangi humo ndani, Oga na maji ya chumvi bila kuacha. Yaani iwe sehemu ya maisha yako.
🤣🤣🤣kachek malaria
Aiseee hii kitu kumbe inasumbua umma mkubwa sana., Mimi nilishaamua kuachana nalo likabe likimaliza lipite hivi.