Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

Joined
Aug 7, 2014
Posts
8
Reaction score
95
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
 
Tulifahamu kwamba ile habari ilipikwa Lumumba kwa gharama ya Buku saba! Waendelee na propaganda sisi tunasonga mbele!
 
Lumumba st,wana kitivo cha propaganda,watashindanaa,ila watashindwa tuu.
 
mtu mwenyewe anajiita shetani mweusi tabia zake za kishetani shetani hawezi kuwa binadamu
 
Last edited by a moderator:
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!
 
Last edited by a moderator:
Mti wenye matunda haukosi kupigwa Mawe dada wewe ni shujaa ulieshinda vita maadui wameshindwa kukumaliza mwaka huu lazima waombe po
 
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba![/QUOTE


HUU NDIO UKWELI WENYEWE, HATA USIPOIPENDA ILA IMESIMAMIA KUCHA, TIME WILL TEL
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.


Kunaviwanda vingi sana Pale Lumumba Vakupika Wongo kama vinavyopika Ufisadi lakini watashindwa tu Watanzania wa Leo si wale wa jana na Juzi
 
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!

Huyu si wewe huyu ni Mpinga Ufisadi na Rusha
 
Mtu mwenye akili lazima ajue tu kwamba imetengenezwa jina tu amekosea et upendo Ebeneza kwa hilo wameshindwa wajarbu jingine
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

safi sana umefanya la maana kujitokeza tena kwa haraka
 
assubuhi leo nilisema,jambo hili halijasemwa na upendo.japo mimi sizikubali siasa za cdm ila kwa bandiko lile nilingunduwa kunamchezo mchafu
 
Back
Top Bottom