GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,796
- 4,497
Hili la BMK la sasa, yaani Rasimu ya Sitta/Chenge ni wengi tu wa Lumumba hawaliungi mkono kwa vile limekaa kuwanufaisha watu fulani kiuongozi.
Na kwa vile walioliasisi wanajua hilo ndio maana wantaka kuingiza upigaji kura wa kitapeli ili iwe rahisi kulipitisha.
Kuna wakati unaongea vizuri sana mkuu