Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

Upendo achakula mataapishi yako ww ulishaaa kataa utumwa wa chagadema bakia na msimamo huo
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

Dada yangu nilijua haya yataanza na usishangae kupokea mengi zaidi ya haya. Cha kuzingatia sasa ni lazima kuwa smart kwani kila kitakachotoka kinywani mwako kinaweza kuwa twisted ili kukuharibia njia nyeupe ambazo ziko tayari zinakusubiri kwa muda muafaka ujao. Ushauri: Uwe smart katika mambo yako hasa ya kisiasa kwani maadui/Shetani wako ni wengi na ajenda zao nyingine hazieleweki!!
 
Upendo peneza amekanusha kuwa yeye hauskii na id feki inaitwa shetani Mweusi amesema kuwa hawezi kuhalalisha na kulinajisi taifa kwa kusapoti katiba ilivyofolewa Minofu amesema kuwa sasa Yuko njiani kuja kuandamana kwa lengo la kupinga ushetani huo amesema kuwa anaungana na ukawa na kupinga bunge hilo la ccm linaotumia pesa za walala hoi kujadili maoni ya ccm na sio ya wananchi na amesema watu hao ni wasio mpenda na wanamhofia bure kama wanaweza wakutane field.

Hamta muweza upendo peneza ni chadema damu na Ana Mungu kumchua ni vijumu sana.

Makamanda nawapenda sana makamanda endelezeni mapambao.


Imetolewa na: Mhere Mwita Mwenyekiti wa Baraza la vijana la chadema wilaya ya Geita (Bavicha)
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
.

Dada Upendo, hivi kweli ulitegemea jambo lolote zuri/njema kutoka kwa mtu anayejiita Shetani Mweusi?!

Waswahili tunasema majina huumba .., Kama mimi ningekuwa wewe, wala nisingepoteza my precious time and energy kumjibu mtu anayejiita Shetani Mweusi aka Julina Shonza.
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

cc shetani mweusi , Jini mahaba Tema Mate , acer Mohamaed mwaupete Taswira
 
Last edited by a moderator:
hata asubuhi nilisema upendo naemjua mimi hawezi kuongea ujinga kama huo ma.ta.ko yake shetani mweusi. viva chadema
 
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!


Kama RASIMU ya CCM ni nzuri, basi SHETANI atawafanya watenda dhambi waonje uzuri wa mbingu!
Tangu lini Mwizi akajiwekea sheria ngumu ya kumzuia kuiba?
 
Kama huyu Shetani mweusi bado hajapewa ban lazima nijiulize hawa moods wanafanyaje kazi,, upuuzi kama huu wa kuzusha hautaisha kama hawa watu wataendelea kufumbiwa macho humu jukwaani, I hate this behavior!!
 
Hii mitoto ya Lumumba iliyokosa kazi hii,inatupotezea muda kujibu hapa!! useless kama sliyewatuma Nape'
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

huyo atakuwa ni dada j S ndo anapenda kutumia mambo ya shetani.
anataka akufanye jini kama yy ,,,mwisho wa siku uwe chakula cha vuvuzela kama yy alivyo wa SAVIMBI
 
Pole ndiyo UANASIASA wa bongo huo.Hongera kwa kujibu na jitahidi kuwa makini.
 
CCM ni wataalam wa kupika uongo wanaposhindwa kwa hoja. Achana nao,wako safarini kuelekea kuzimu.
 
Mkuu kulinda heshima yako naomba ukanushe hili la ukabila.
Mpwa naomba nikutake radhi wewe na Wahaya wote, sorry niliudhiwa na comment ya Rutashobolwa Tafadhali naomba msamaha kwa dhati kabisa. Tuendelee na mjadala
 
Last edited by a moderator:
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!

Acha ushabiki wa kijinga,wewe ni mtu mzima,hivyo visenti unavyopewa na mi ccm,vina mwisho wake,ipo siku ukombozi utakuja.
 
Last edited by a moderator:
Mpwa naomba nikutake radhi wewe na Wahaya wote, sorry niliudhiwa na comment ya Rutashobolwa Tafadhali naomba msamaha kwa dhati kabisa. Tuendelee na mjadala

Asante sana uncle. Ingawa miye siyo wa huko nimefurahi umefuta kauli.
 
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!

Huwa nafuatilia michango yako mingi hapa JF na nimebaini una tatizo moja: ungependa kila mtanzania awe CCM!! hivi unajua kwamba kikatiba (hata hii inayochakachuliwa) mfumo wetu ni wa vyama vingi?? Sasa hivyo vyama vingine unataka waende akina nani? Unadhani watanzania zaidi ya milioni 40 wataenda chama kimoja??
 
Back
Top Bottom