Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

Pole sana pendo...
Hata jina tu lilikosewa kwenye ule utumbo wao ,sasa umeshawahi kuona wapi mtu anakosea jina lake?
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

binti, hiyo kitu isha toka na itasomwa dunia nzima, kama ni mbofu mbofu dunia yoote itajua ccm wameandika kitu mbofu mbofu na kama ni nzuri pia dunia itajua so relax..hata kama ni kweli unafikiria ni nzuri! time will tell.
 
Wala usiumize kichwa, b7 wanatafuta kila namna wakuchokoze ili wapate pa kuanzia. Wewe wapuuze kwani mbinu zao zote za kuisambaratisha CDM zimeshindwa na CDM inazidi kustawi vyema baada ya pruning project kufanikiwa.
 
[QUOTE

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

![/QUOTE] Nakusikitikia hata Kiswahili hujui vema na bado wajidai kujua. Uzuri wa hiyo rsimu ni kama ifuatavyo; 1. kuwa na wabunge 360 badala ya 70 ili kupunguza gharama za uendeshaji kwa kuwanyonya watanganyika na kuwafaidisha wazanzibari. 2. kuwa na makamu wa raisi watatu badala ya serikali tatu eti hakuna gharama ya kuwa nao kama serikali tatu. Chakusikitisha mzigo huu wote ni gharama za kodi na maliasili za watanganyika. Naichukia CCM na ushetani wake milele.
 
Tulifahamu kwamba ile habari ilipikwa Lumumba kwa gharama ya Buku saba! Waendelee na propaganda sisi tunasonga mbele!
Hili la BMK la sasa, yaani Rasimu ya Sitta/Chenge ni wengi tu wa Lumumba hawaliungi mkono kwa vile limekaa kuwanufaisha watu fulani kiuongozi.
Na kwa vile walioliasisi wanajua hilo ndio maana wantaka kuingiza upigaji kura wa kitapeli ili iwe rahisi kulipitisha.
 
Rasimu iliyotolewa ni ya CCM ambayo imekataliwa hata kwa shetani.
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
Umefanya vizuri kukanusha haraka tena kwenye jamvi hilihili, maana CV inajengwa pole pole tena kwa uongo na ukweli. Ukiukalia kimya uongo unakuwa sehemu ya CV yako.
 
Hizo ndizo fitina zao zilivyo, wanataka eti uonekane na wewe ni msaliti !!!!!
 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

Umefanya vema kujitokeza tena kwa wakati kukanusha vikali ule uzushi uliotengenezwa na adui zako wasiokutakia meme ili kukuchafua. Mambo mengine haifai yaachwe yapite bila kutamkiwa. Go on kamanda,God bless you!
 
Your wrong! Mimi napenda kila mtu aamini anacho amini lakini hasiburuzwe na mtu wala kikundi!

Sasa chadema inawafundisha vijana uoga na kuburuzwa na inawaaminisha kuwa wao wana fikira zinazo fanana ndio wanaogopa hata kuwakosoa viongozi wao kwa kuhofia kuitwa wasaliti!

Sasa ninapo ona hadi huyu binti mchanga Upendo Furaha Peneza ameanza uoga mapema nasikitika maana nilidhani ni binti jasiri na hasiye yumbishwa!

Alikimbilia kukanusha maana anaogopa kuitwa msaliti,sasa sina hakika kama ataweza kukanusha kila kitu.....

Mimi kwakweli roho ina niuma binti Mrembo kama huyu kuingia kwenye siasa za kuburuzwa na za uongo kama za chadema!

Natamani aache siasa hata kesho!

1.Narudia tena bado una ''hang over'' ya ulevi wa uliopita wa mfumo wa chama kimoja!! Na hii siitoi kichwani kwangu bali ni kwa tathmini niliyoifanya kwa kupitia nyingi ya post zako hapa jamvini (kumbuka JF ni library ya kipekee), unapinga upinzani as if ni kosa la jinai!! Mapenzi yako kwa chama fulani yamekupa upofu wa kuchambua mambo kwa uhalisia wake; wewe ni kupinga tu upande wa pili, si Chadema, si CUF si NCCR, unapinga tuuu. Siku hizi vijana wanasema ni sheeeder!!

2. Unazungumzia mtu kuamini anachoamini na kutoburuzwa kwa huyu unayemuita binti mdogo.Wewe binafsi una sifa hizo? (jipime hapo nyuma ya keyboard/Avator ulipojichimbia una sifa hizo?? Mwanzako ametoka hadharani na kukanusha!!).
Je umeshawahi kulikemea jambo hilo kwa wengine, kumbuka jambo hili limeshindikana kwa wazee na wazoefu hata baada ya zaidi ya miaka 50 ya uhuru (kama tunavyoshuhudia kwenye BMK linaloendela Dodoma) Tumeshuhudia kikundi cha wenye uchu na wasaka madaraka wakiliburuza BMK (kwa vitisho!! kuhongwa!! makundi!! ufisadi!! kuficha maovu yao!!).
Mhe Kessy (Mbunge wa Mpanda) amelieleza vizuri sana jambo hili (jinsi wanavyoburuzwa!!), juzi tumemuona Sitta akiwaita wabunge wenzake waongo!! tena kwa kukosa uvumilivu na mapenzi yake makubwa ya ''kuburuza wenzake'' alikuwa anawakatisha wakati wanachangia. Vipi kuhusu wabunge wa BMK kila mara kuitwa kwa makundi (mara kwenye kiti wa kundi la 201 anawaita wajumbe...; mara wajumbe wanawake wa CCM wanaitwa....etc) ili wawekwe sawa na iwe rahisi kuwaburuza??

 
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.

Msalimie mchumba wako MNYIKA.
 
Umefanya vema kujitokeza tena kwa wakati kukanusha vikali ule uzushi uliotengenezwa na adui zako wasiokutakia meme ili kukuchafua. Mambo mengine haifai yaachwe yapite bila kutamkiwa. Go on kamanda,God bless you!

Chadema wamemtisha mpaka amekanusha maneno yake
 
PJ unapaswa kubadilika!

jina la mtu linabaki kuwa jina tu, haliwasilishi kwa vyovyote uhalisia wa mtu. mfano mimi najiita mgombea ubunge lakini najikita zaidi kwenye masuala ya ndoa kuliko siasa!

usimhukumu NPL kwa sababu ya jina lake, jibu hoja yake.

yeye amesema ameolewa na mtu ambaye hakumtarajia maishani mwake. na hili ni jambo la kwaida. tumpongeze dada yetu kwa kuamua kuishi katika ndoa kwa amani na utulivu, kwa sababu aliamua kupuuza ukweli kwamba hakumpenda kabla. na hapa anakiri kuwa mumewe anampenda na wote wanapendana.

naona mwishoni umeonyesha kuwa unatamani kam ungekuwa wewe katika uhusiano huu, kama una tatizo na ndoa yako, sema hata kwa Pm usifiche, kama huna usitamani ndoa za watu, angalia yako isijegeuka ndoano

idumu ndoa hii na ijae baraka za Mungu. amina

maandamano ya bawacha lini vile
 
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!

Komba udenda unakutoka.
 
Last edited by a moderator:
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!

Eti wewe ulifukuzwa CDM kwa usaliti? :angry::angry:
 
yale yale mr 6 anataka kuhararisha wizi wake wa 2/3 ya zanzibar eti kuna wajumbe wa 2 wa ukawa wamepiga kura kwa kumpigia simu
 
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!

Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!

Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!

Elfu saba inafanya kazi
 
Last edited by a moderator:
achakuji changanya wewe mtoto tayari ulishaaunga mkono katiba mbona au unawazuga wenzako
 
Back
Top Bottom