asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
Hili la BMK la sasa, yaani Rasimu ya Sitta/Chenge ni wengi tu wa Lumumba hawaliungi mkono kwa vile limekaa kuwanufaisha watu fulani kiuongozi.Tulifahamu kwamba ile habari ilipikwa Lumumba kwa gharama ya Buku saba! Waendelee na propaganda sisi tunasonga mbele!
Umefanya vizuri kukanusha haraka tena kwenye jamvi hilihili, maana CV inajengwa pole pole tena kwa uongo na ukweli. Ukiukalia kimya uongo unakuwa sehemu ya CV yako.Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
Your wrong! Mimi napenda kila mtu aamini anacho amini lakini hasiburuzwe na mtu wala kikundi!
Sasa chadema inawafundisha vijana uoga na kuburuzwa na inawaaminisha kuwa wao wana fikira zinazo fanana ndio wanaogopa hata kuwakosoa viongozi wao kwa kuhofia kuitwa wasaliti!
Sasa ninapo ona hadi huyu binti mchanga Upendo Furaha Peneza ameanza uoga mapema nasikitika maana nilidhani ni binti jasiri na hasiye yumbishwa!
Alikimbilia kukanusha maana anaogopa kuitwa msaliti,sasa sina hakika kama ataweza kukanusha kila kitu.....
Mimi kwakweli roho ina niuma binti Mrembo kama huyu kuingia kwenye siasa za kuburuzwa na za uongo kama za chadema!
Natamani aache siasa hata kesho!
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
Umefanya vema kujitokeza tena kwa wakati kukanusha vikali ule uzushi uliotengenezwa na adui zako wasiokutakia meme ili kukuchafua. Mambo mengine haifai yaachwe yapite bila kutamkiwa. Go on kamanda,God bless you!
PJ unapaswa kubadilika!
jina la mtu linabaki kuwa jina tu, haliwasilishi kwa vyovyote uhalisia wa mtu. mfano mimi najiita mgombea ubunge lakini najikita zaidi kwenye masuala ya ndoa kuliko siasa!
usimhukumu NPL kwa sababu ya jina lake, jibu hoja yake.
yeye amesema ameolewa na mtu ambaye hakumtarajia maishani mwake. na hili ni jambo la kwaida. tumpongeze dada yetu kwa kuamua kuishi katika ndoa kwa amani na utulivu, kwa sababu aliamua kupuuza ukweli kwamba hakumpenda kabla. na hapa anakiri kuwa mumewe anampenda na wote wanapendana.
naona mwishoni umeonyesha kuwa unatamani kam ungekuwa wewe katika uhusiano huu, kama una tatizo na ndoa yako, sema hata kwa Pm usifiche, kama huna usitamani ndoa za watu, angalia yako isijegeuka ndoano
idumu ndoa hii na ijae baraka za Mungu. amina
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!
Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!
Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!
Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!
Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!
Inawasilishwa mdau
KISWAHILI KITUKUZWE
Wewe Binti mrembo hebu achana na siasa za chadema!
Kutofautiana na chadema sio dhambi! Hebu kapitie upya Rasimu iliyo wasilishwa na Chenge uone ilivyo mzuri!
Hivi uko chadema huwa mnafikiri sawa kwenye kila jambo?
Msalimie Rose Mayemba!