Hili la BMK la sasa, yaani Rasimu ya Sitta/Chenge ni wengi tu wa Lumumba hawaliungi mkono kwa vile limekaa kuwanufaisha watu fulani kiuongozi.
Na kwa vile walioliasisi wanajua hilo ndio maana wantaka kuingiza upigaji kura wa kitapeli ili iwe rahisi kulipitisha.
Nimepigiwa simu nyingi juu ya bandiko la mtu anayejiita shetani mweusi akijinasibisha kuwa mimi na kwamba napongeza rasimu iliyosomwa na fisadi Andrew Chenge hapo jana.Nianze kwa kusema sio kweli,sio mimi mwenye jina hilo la kishetani,na zaidi ya yote siungi mkono rasimu iliyonyofolewa minofu kwa maslahi ya misisiemu,
Naunga mkono juhudi za viongozi wangu wa chama na ukawa kwa ujumla na siwezi kugeuka ghafla na kusaliti juhudi zao.
Mwisho niwaonye vibaraka wa wasionitakia mema maishani kuwa hakuna matope yanayoweza kumchafua mtu mwenye dhamira njema....hii ni ID yangu ambayo ni verified,kama kuna jambo lolote hutumia account hii.
Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Pasko tupe jibu hapo, siyo like tu!Tulia wewe mwanaharamu!
Mlivyoiba kura hamkujua haya?
Pelekeni wake zenu, achaneni na chadema
Kumbe wa CHADEMA ni ujinga, unasemaje kile mlichokifanya CCM? Kimsingi, naunga mkono msimamo wao kwani hiyo ndiyo gharama ya kilichotendwa na ninyi wenyewe. Tuanze na takwimu mlizotoa, je, zaidi ya nusu ya watanzania ni watu wazima? Ilikuwaje wapiga kura wawe zaidi ya 29,000,000? Je,matangazo ya washindi wa ngazi zote yalikuwa pasina kuacha shaka au hata aliyetangazwa kushinda hakuamini alichosikia kutokana na dhamiri yake inavyomshuhudia?Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.
P
Hivi wabunge wa viti maalum hasa wa vyama pinzani huwa wanaweza kupinga hoja yoyote itakayoanzishwa na chama tawala ?Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.
P
Mjinga ni Wewe unaefikiri Ubunge ni zawadi ya Kupewa na Mtu.Nyie Chadema, hebu acheni ujinga wenu, pelekeni majina ya wabunge wenu 19 wa viti maalum, pimeni pros na cons za kususa muone nini kina faida zaidi, hata kama sio kwa Chadema as chama, then waachieni fursa za ajira wanawake wenu 19, tena nashauri priority iwe ni kwa wale waliogombea majimboni.
Just imagine, mtu kama huyu kukosekana Bungeni?.
Acheni hizo, pelekeni majina.
P